Bernard Membe yupo kweli?

Subiri ana kuja. Usiwe na haraka maana kuna watu mtapelekwa hosipitali
 
Sasa kama unajua mahali Lisu alipo mbona 'sijui, au' zipo nyingi sn? Wewe siunafahamu exactly mahali alipo?
Nimetumia neno ‘sijui’ mara moja tu kwenye bandiko zima!

Hizo ‘sijui’ nyingi sana wewe umeziona wapi?

Nionyeshe tafadhali:
 
Tundu Lissu : Tunataka Uhuru na Kazi, Uhuru na Maendeleo ,Uhuru na Umoja. Utu wa mtanzania lazima urudishwe kutoka kwa hawa CCM Mpya hatuwezi kubezwa na kunyanyaswa katika nchi yetu Tanzania.

 
Mkuu, nikiyataja si nitakuwa nimetukana tena? Kwa kweli staji mkuu

Kimsingi hakuna matusi kwa maana ya matusi, ila ni ukweli mchungu unaowakilishwa kwa lugha kali. Kama Shetani angeweza kushitaki, usishangae angeenda kuwashitaki watumishi wote wa Mungu kwa jinsi wanavyomkemea kwa lugha kali kwa kuingiza watu kwenye dhambi. Nikuambie tatizo lilipo boss, ni kwamba Magu hawezi siasa za ushindani, na kwa bahati mbaya anapenda kusifiwa jambo ambalo sio baya. Ila anaamini kusifiwa ni haki yake ya msingi, hivyo anapokutana na mtu asiyemsifia kabisa, huku akitaja madhaifu yake waziwazi, tafsiri yake hayo ni matusi. Na kwa bahati mbaya hata wafuasi wake amewaambukiza udhaifu wake, kiasi hata nyie mnaona hayo ni matusi na mkikwepa ukweli anaopewa.

Kama kuna siku angekuwa ametukanwa kile kiungo uzazi cha mzazi wake wa kike, hapo ningesema kuwa kweli alitukanwa, lakini kuambiwa kuwa amepora uhuru wa bunge, mahakama, wa vyombo vya habari. Ama kuambiwa kuwa anamiliki makundi ya kihalifu, na hataki kukosolewa, hapo kuna matusi gani zaidi ya ukweli?
 

Jiwe naye yuko wapi? Jana alikuwa wapi na kesho je? Nani anajua?

Lissu tunafahamu kwa sababu yeye ni mfu aliyefufuka.

Hata pamoja na makatazo yenye ahadi za vipigo vya mbwa koko waungwana hawakuvumilia kwenda kumwona mfufuka tangia JKNIA.

Membe, Jiwe, Rungwe, Lipumba, yule wa TLP, NCCR nk hawa ni kina Harry na Tom tu. Binadamu wa kawaida wanaotafuta wadhamini.

Halipo jipya hapo.
 
Kama Shetani angeweza kushitaki, usishangae angeenda kuwashitaki watumishi wote wa Mungu kwa jinsi wanavyomkemea kwa lugha kali
😄😄😄😄😄

Daah, umefikilia nini mkuu, si unajua tena shetani yeye ni king'ang'anizi
 
Kwa nchi kama yetu, watu wengi ni wa hovyo Sana, ingawa ni Jambo la muhimu na lazima, Ila wengi badala ya kuongea ki staha, wanatukana tu Kwa kila Aina ya matusi

Na hata Mimi nigekuwa tu kama Magufuli,
Orodhesha hayo matusi hata matatu tu wanayotukana hao watu unaosema. Orodhesha tu labda hatuyasikii
 
Siku zote mahali pengi sana kachero mzoefu huwa hana kustaafu kazi bali upumzika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…