Bernard Membe yupo kweli?

Kapotea hata kampen hazijafika muda wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]duh
 
Kwani campaign tayari shosti au
 
Bado anasubiri "Tsunami ya vigogo" na wanachama wapya toka mikoa ya Lindi, Mtwara, wanaokuja kunogesha kampeni pamoje naye. The question is: Kachero gani mbobezi asiyeweza ku-assess situation on the ground?!!
 
Dogo tuseme hili mara ngapi ili uelewe? Tume bado haijapitisha wagombea, kwahiyo hakuna kitu kama hicho. Ni propaganda za WAHUNI WACHACHE huko CCM, umeelewa sasa?

ITOSHE TU KUSEMA, MITANO YA UTAWALA HUU WA MKONO WA CHUMA SASA BASI..
Unachokisema na anachofanya muuzaji Lissu ni vitu viwili tofauti. Itoshe tu kusema Magufuli mitano mingine. Najua unaumia lakini haina namna vumilia tu Ikulu si mahali pa wauza nchi kama akina Lissu. Bahati nzuri hata yeye mwenyewe Lissu hatajipigia kura, atampigia JPM, the best of the best presidents in Africa.
 
Bernard Membe ana hali gani huko kwenye campaign trail?🤣
 
Membe yupo japo mambo sio mambo
 

Attachments

  • kumbushodawson_20200905_154128_0.jpg
    58.8 KB · Views: 3
CCM waliona mbali maana jamaa angeishia njiani kama hivi na kumuunga mkono mgombea wa upinzani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…