Bernard Morrison aachwa rasmi na Yanga SC

Endelea Mkuu, mwaga hizo data….ndio maana tuko hapa JF, kwa ajili ya mambo kama haya..
 
alikuwa hajui soka la BONGO ndiyo SIASA za Bongo! Kazi anayooo
 
na alijimaliza mwenyewe pale stet haus
 
Huyo dj ni dj Mamiebaby nini???? [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kongole kwao,aende Simba sasa
 
Hiyo ndo sababu!?
Issue kubwa hapo ni utovu wa nidhamu tu hakuna kingine maana kama mpira jamaa anaujua hasaa, alikuwa anawadharau mabosi wake wakaweza kumvumilia ila kwa Mh Rais ni too much.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…