Best umesahau kuweka hatua ya kuchanganya hamira. mdogo wangu Eiyer atapika bila kutia hamira hapo lol. na utukumbushe kuweka samli ya moto kabla hatujaweka hamira kusudi isife nguvu.
asante mamito, hadi likizo iishe mmh! maandazi na mie huwa nashibia jikoni, lol
Ahaa kumbe ni hivo? Pika hayo maandazi na harage lile ulotutumia picha kule kwenye mkesha....
gorgeousmimi walikumbuka lile harage?
Wapendwa leo niliandaa maandazi matamu balaa haya nlitumia hivi vipimo....jaribu na wewe uje uniambie kama hutashibia jikoni
Mahitaji
Unga kg 1
Sukari robo ila usijae
Samli 5 tablespoon + I tablespoon ya siagi (unaweka kwa sufuria inakua yamoto) siagi ni kwa ajili ya ladha nzur zaid
Hiliki 1teaspoon
Tui la nazi
Yai 1
Hamira 1 tablespoon
Mafuta ya kukaangia maandaz
Namna ya kutaarisha
Kwanza kabisa weka tui robo kikombe add sukar 1tablespoon na hamira (hiki ni hatua ya kuumua hamira na kuitizama kama bado ipo active ili usije haribu upishi wako kama itakua imeshapita mda) itafanya bubbles kwahiyo bado ipo active
Weka unga changanya na sukar na hiliki...changanya vizur
Mimina samli yamoto kiasi kwenye unga..changanya kwa mikono safi
Mimina hamira ulioumua
Weka yai then tui
Kanda hadi iwe laini...
Subiria 30 minutes iumuke
Katakata maandfazi yako
Acha yaumuke
Weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi yawe brown..
Maandazi tayar kwa kuliwa.
Asantew kwa maandazi yako bibie farkhinaMaandazi
Aiseee ......
Kumbe kuna kudokoa .....
Hivi ndo nini vile?
Hivi samli haya mafuta yapo tena DSM! ? mkuu fakhina kama usipopata samli mbadala yake ni mafuta gani?
Wapendwa leo niliandaa maandazi matamu balaa haya nlitumia hivi vipimo....jaribu na wewe uje uniambie kama hutashibia jikoni
Mahitaji
Unga kg 1
Sukari robo ila usijae
Samli 5 tablespoon + I tablespoon ya siagi (unaweka kwa sufuria inakua yamoto) siagi ni kwa ajili ya ladha nzur zaid
Hiliki 1teaspoon
Tui la nazi
Yai 1
Hamira 1 tablespoon
Mafuta ya kukaangia maandaz
Namna ya kutaarisha
Kwanza kabisa weka tui robo kikombe add sukar 1tablespoon na hamira (hiki ni hatua ya kuumua hamira na kuitizama kama bado ipo active ili usije haribu upishi wako kama itakua imeshapita mda) itafanya bubbles kwahiyo bado ipo active
Weka unga changanya na sukar na hiliki...changanya vizur
Mimina samli yamoto kiasi kwenye unga..changanya kwa mikono safi
Mimina hamira ulioumua
Weka yai then tui
Kanda hadi iwe laini...
Subiria 30 minutes iumuke
Katakata maandfazi yako
Acha yaumuke
Weka karai mafuta yakipata moto kaanga hadi yawe brown..
Maandazi tayar kwa kuliwa.
Hivi samli haya mafuta yapo tena DSM! ? mkuu fakhina kama usipopata samli mbadala yake ni mafuta gani?
Samli zimejaa tele mjini nzuri zinatwa aseel
Hivi samli haya mafuta yapo tena DSM! ? mkuu fakhina kama usipopata samli mbadala yake ni mafuta gani?
Sorry, hivi samli ni cheese?
Shosti asante hii ya weekend weraaaaa
Samli ni ile inafanana na siagi ila haina chumvi wazungy wanaita ghee..cheese kwa kiswahili ni jibini kama sikosei