best maandazi recipe

best maandazi recipe

Na mie napenda lilojaa nyama kama hili..ukiona andazi limevimba ujue ndani hamna kitu lol

Lol, mi lilokua halina nyama naliita kiraka. Na hua halilali, likilala asubuh linakua gumu tofauti na lilojazia nyama ndani
 
Asante mpenzi, weekend hii ngoja nimpikie mwanangu. Jumamosi vitumbua vya nyama, jioni maandazi ili yaliwe asubuhi jumapili.

Be blessed
 
Namsaidia. Siagi ni margarine/butter ile tunapaka kwenye mikate ya slices. Samli ghee ni ile tunatumia kupikia hata kwenye vitu vya kukarangiza pia tunatumia kama. Mfano wa samli ni aseel, cowboy, tanband kismayuu n.k.

Kuh tui la nazi au maji, ni makisii tu coz unakanda na dough yako iwe kiasi kama inavokua ya chapati. Kwa kuongezea atakuja mwenyewe chief cook farkhina

Asante Angel Nylon, dukuduku langu umelimaliza.
 
Last edited by a moderator:
Mm linone kabisaa nyama ndani ilimradi liive. Hapo nitahisi nakula andazi!! Na mate yalee yanatrremka kooni..lol

Hahahaaaa. Ll.

N seriously mwaya anddazi kwangu lisiwe na nyama ndani alafu softiiii. Acha tu.

Likiwa na nyama bado halijanivutia.

Ya Mombasa unayajua weye?
 
Lol, mi lilokua halina nyama naliita kiraka. Na hua halilali, likilala asubuh linakua gumu tofauti na lilojazia nyama ndani

Jamani munaniitia utamu wangu kiraka.

Yaani nitapika viraka vyangu, nitakula na siwakaribishi ng'ooooo.
 
Ahsanta habibty. Vp haya yanafaa kuweka ile bizari tam? Mana mi napenda kuweka bizari tam yanakua yana ladha nzuri.

Bizari tamu ndo ipi tena?

Hivi viungo vingefunguliwa thread yake special ya kuonyesha picha, Vinaitwaje in English na Kiswahili. Kiswahili chenyewe cha Pemba, Dar ama Mombasa manake vinatfautiana.

Tusije tia binzari kwenye chai, lol.
 
Asante mpenzi, weekend hii ngoja nimpikie mwanangu. Jumamosi vitumbua vya nyama, jioni maandazi ili yaliwe asubuhi jumapili.

Be blessed

Da Kaunga, where is faza hausi?
 
Bizari tamu ndo ipi tena?

Hivi viungo vingefunguliwa thread yake special ya kuonyesha picha, Vinaitwaje in English na Kiswahili. Kiswahili chenyewe cha Pemba, Dar ama Mombasa manake vinatfautiana.

Tusije tia binzari kwenye chai, lol.

Mwenzangu mie nashindwa ku upload picha sasa. Lkn bizari tamu ipo km uzile ( bizari ya pilau). Sema bizari tamu inakua nene, wengine wanaita bizari nene. Huwa inatiwa kwenye zile tosi za pemba pia
 
Asante mpenzi, weekend hii ngoja nimpikie mwanangu. Jumamosi vitumbua vya nyama, jioni maandazi ili yaliwe asubuhi jumapili.

Be blessed

Shukraan next week mpikie chicken nugget atafurahi sana na juice yake pembeni no soda plz
 
Mwenzangu mie nashindwa ku upload picha sasa. Lkn bizari tamu ipo km uzile ( bizari ya pilau). Sema bizari tamu inakua nene, wengine wanaita bizari nene. Huwa inatiwa kwenye zile tosi za pemba pia

Nimezimis tosi jamani ile smell yake nzuri acha tu ukienda pemba zawadi plz na halua ya mkebe lol
 
Jamani munaniitia utamu wangu kiraka.

Yaani nitapika viraka vyangu, nitakula na siwakaribishi ng'ooooo.

Hahaha unaanza uchoyo huo maandazi yale sana wanatengeza wauza maandazi ili apate faida nyingi mana kg 1 atapata hata maandaz 50 lol
 
Namsaidia. Siagi ni margarine/butter ile tunapaka kwenye mikate ya slices. Samli ghee ni ile tunatumia kupikia hata kwenye vitu vya kukarangiza pia tunatumia kama. Mfano wa samli ni aseel, cowboy, tanband kismayuu n.k.

Kuh tui la nazi au maji, ni makisii tu coz unakanda na dough yako iwe kiasi kama inavokua ya chapati. Kwa kuongezea atakuja mwenyewe chief cook farkhina


Kwa kuongezea kiwango cha tui kusema kweli ni makisio sababu kuna unga nyengine zinahitaji maji sana nyengine unakanda hadi unachoka
 
Last edited by a moderator:

Attachments

  • 1400175598548.jpg
    1400175598548.jpg
    8.1 KB · Views: 244
Last edited by a moderator:
Kwa faida ya wote kuna unga wa bakhresa unaitwa DAHARI mzuri sana sana nliwahi kutumia ni tofauti na ile sijui azam no 1 hebu ulizieni madukani mnaweza pata huo safi sana kwa chapati,maandazi n.k
 
Back
Top Bottom