Jimbo la mkunanazi mkoa wa mpaka tuseme ndani ya nchi ya jamhuri ya bei kupanda mkuu.Sawa mkuu....
Kwani huyo ni mteuliwa wa jimbo gani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jimbo la mkunanazi mkoa wa mpaka tuseme ndani ya nchi ya jamhuri ya bei kupanda mkuu.Sawa mkuu....
Kwani huyo ni mteuliwa wa jimbo gani??
HahaMi mwenyew nmezaliwa amana nmekulia Pittsburgh ila huniambii kitu kwa best naso
HaswaNey wa mitego aliwahi kusema hili
Jamaa huko anakubalika mbaya sanaaa anajaza sana wasukuma wanajaa hatari
In fact bestnaso anaishi vizuri kuliko hawa mabishoo wa mjini kina kusah sijui nani njaa tupu hawa
Kwa hiyo tukusaidieje?Mnamkumbuka Best Nasso?
Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.
Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo. Unakutaga majamaa au madenti wa mashambani wakiwa simu zao za memory card na zile redio ndogo wanagonga ngoma za best nasso.
Nimeshuhudia sana vijiji vya huku kanda ya ziwa.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Haswaa hata misondo bush ndio imempa jinaKipindi flani niliwahi kwenda mahenge (ulanga) ,,, nilikaaa pale almost two weeks,,,, kuna siku weekend mwenyeji wangu akaniambia twende viwanja,,,,
Kuna ukumbi flan (dancing hall) unamilikiwa na halmashauri( jina UDEKO) kama sijakosea,,,,,
Aloo mziki unapigwa tu watu wanacheza ovyo ovyo na vinywaji vinauzwa humo, humo, joto mtindommoja,,, !!!
Kuna msanii(bongo fleva) kutoka ifakara alialikwa kutumbuiza sikumbuki jina ,,watu walijaa sana hata nafs ya kupita,,,acha walobaki nje ni wengi sana ,,, ,,,
Ni kweli huko Bush kuna wasaniiii wanakubalika sana, wanajaza kumbi kinoma, !!!!
Kainamishwe ulikozoea mimi sifukui mitaro.
Braza una dharau sana wewe 😂😂😂😂😂Mnamkumbuka Best Nasso?
Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.
Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo. Unakutaga majamaa au madenti wa mashambani wakiwa simu zao za memory card na zile redio ndogo wanagonga ngoma za best nasso.
Nimeshuhudia sana vijiji vya huku kanda ya ziwa.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Hahahah ni reallity broBraza una dharau sana wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh kweli?Jamaa yake dijaro arungu kaacha kazi TBC !
Mamu WA dar ni balaa,jamaa ana niche yake ya uspastar WA vijijini,uyo akiingia bush anakimbiliwa na kuliliwa balaaMnamkumbuka Best Nasso?
Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.
Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo. Unakutaga majamaa au madenti wa mashambani wakiwa simu zao za memory card na zile redio ndogo wanagonga ngoma za best nasso.
Nimeshuhudia sana vijiji vya huku kanda ya ziwa.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Vipi kidato kimoja? Kuna masuperstar walitoka kwa hit Moja tu na wakapoteaHuyo ndo Diamond wa Usukumani. Sio huyo tu, kuna jamaa anaitwa Neyba. Niko naye hapa. Tokea ngoma yake ya uje itoke sokoni, amefulia sana
Ahahah ni kwel lakin na nimeopenda hii approach...tafuta ka market segment kako jibane hapo
HaahhahKumbe kweli, kuna jamaa mmoja msukuma hana muda toka aje kutoka Shinyanga siku aliyonunua simu tu jambo la kwanza alienda kuweka nyimbo za Best Nasso tu kwenye memory card. Jamaa anasikiliza saa zote.
Yupo anapiga show sana migodini kanda ya ziwa, pia kuna maduara anamiliki tuseme yuko vizuri.Huyu jamaa yupo sasa hivi?
Nyimbo zake mpaka leo bado nasikiliza jamaa alikuwa storyteller mzuri sana na maudhui ya kufundisha sana.
Sema ndo hivyo kwa sasa waimba pumba na matusi ndo wanapewa airtime na promo za kutosha.
Dj aro arungu kampaisha sana mwamba kwenye media za dar toka anaanza mziki ila wapi kaishia huko bush na umaarufu wakeMnamkumbuka Best Nasso?
Hakika huyu jamaa hauwezi msikia sana mijini lakini ingia bush huko na kokoroni kwa wavuvi jamaa ana hit sana.
Natumaini mimi sie pekee yake ambae nimegundua hilo. Unakutaga majamaa au madenti wa mashambani wakiwa simu zao za memory card na zile redio ndogo wanagonga ngoma za best nasso.
Nimeshuhudia sana vijiji vya huku kanda ya ziwa.
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
[emoji23]