Best Quote: "Hata ingekuwa JM ningemtosa"

She needs to do her job and be consistent with substance, na tutaangalia mpaka uchaguzi ujao.

Mkuu Nzoka,

Heshima mbele, finally tuko the same page, now you are talking mkuu, tusichotaka ni uongo za uzushi dhidi ya mbunge.
 

Bob,

Hakuna aliekataza mama asisifiwe, lakini huyu mpambe wa mama ana over-do, kama hi ushajaa umefinywa na tume ya bunge na kuna chain ya watu waliosaidia kutufikisha hapa tulipo toka awali huko wakati watu hata hiyo Richmond watu hawaijui JF ikiwa mojawapo.

Cha kushangaza ES for the reasons best known to himself/herself anataka tuamini ni mama and only mama na kishampa na cheo cha "shujaa wa taifa"

Kazi kweli kweli...
 

Sina tabia hiyo kabisa mimi naweka hoja kama hoja zangu zina ku bully sorry I cant help...
 
Jamani angalieni nukuu mbalimbali kufuatana na sakata hili ili tuweze kuziweka hapa kama kumbukumbu.

"Nyuki hakumbatiwi"...

Inategemea ni nyuki wa aina gani. Kuna nyuki wadogo ambao hawaumi. Labda undesema siafu au dondola
 
Jamani angalieni nukuu mbalimbali kufuatana na sakata hili ili tuweze kuziweka hapa kama kumbukumbu.

"Nyuki hakumbatiwi"...

Inategemea ni nyuki wa aina gani. Kuna nyuki wadogo ambao hawaumi. Labda undesema siafu au dondola
 
Jamani angalieni nukuu mbalimbali kufuatana na sakata hili ili tuweze kuziweka hapa kama kumbukumbu.

"Nyuki hakumbatiwi"...

Inategemea ni nyuki wa aina gani. Kuna nyuki wadogo ambao hawaumi. Labda undesema siafu au dondola
 

So much kwa hoja na ku-bully, just nonesense mkuu sometimes busara ni pamoja na kukaa kimya, nimekwambia siku nyingi kuwa huna hoja, ila una viroja tu kama hivi hapa juu!
 
1.
Hakuna aliekataza mama asisifiwe, lakini huyu mpambe wa mama ana over-do,

Wakuu Slaa, Mwakyembe, Zitto, na Mama Anna, wamefanya kazi nzito na ni lazima tuwaenzi, na kuwapa moyo waendelee, kumpenda au kutompenda kwako hakubadili kitu chochote mkuu, hoja ya kuwasifia ni nzito kuliko chuki na hasira zako kwa viongozi wako wa taifa, aibu mtu mzima!

2.
kama hi ushajaa umefinywa na tume ya bunge na kuna chain ya watu waliosaidia kutufikisha hapa tulipo toka awali huko wakati watu hata hiyo Richmond watu hawaijui JF ikiwa mojawapo.

JF tunaijua Richimonduli, kabla hata wewe hujaingia hapa forum, na hata picha za kampuni hiyo huko Texas, zilitolewa hapa kwa mara ya kwanza, na media zote za bongo na serikali wakapata toka hapa, labda wewe ndio ulikuwa hujui kuhusu Richimonduli mpaka ulipojiunga hapa JF, sisi tulijua mapema mkuu, wakati hata viongozi wengi wa taifa letu hawajui, kwa hiyo hii sio hoja maaana unaonyesha uwezo wako mdogo wa kufikiri, kwamba kama wewe hujui basi dunia nzima haijui, hiyo ni very low IQ mkuu!

3.
Cha kushangaza ES for the reasons best known to himself/herself anataka tuamini ni mama and only mama na kishampa na cheo cha "shujaa wa taifa"

Hapa cha kushangaza ni wewe kurukia ishu usiyoielewa, MMJ ametoa quote ya mama, kuna waliomtukana, ndio niliokuwa ninawajibu wathibitishe ukweli wa matusi yao, wewe ukarukia comment ya Lunyungu bila hata kuelewa kinachosemwa, ukaishia kuona neno Shujaa wa taifa tu, na you have a problem, ndio uwezo mdogo wa kufikiri huo mkuu, mama Kilango, anaingia kwenye vitabu vya siasa na historia kwa kuweza kumchambua waziri mkuu wa nchi yetu uso kwa uso, na hata kumpelekea kujiuzulu, JF tumetoa dataz za Richmonduli, Mwakyembe amezifanyia kazi, mama kilango amemsulubu nazo lowassa mbele ya taifa, FULL STOP!
 
TzPride

Re: Dr. Mwakyembe on KLH News

Hey, achana na mambo ya Njozi, si wakati wa kuota ndoto huu. Lete shujaa Mwakyembe akate issues za kitaifa sio blah blah za kinjozi. JF is not Njozi type. Period!

Masatu,

Unaona, huwa wanaitwa mashujaaa wa taifa sio kuwarushia matusi tu, na kuwachukia bla sababu!

Ahsante mkuu TZPride, maneno yako mazito sana!
 
Tumtengeneze basi awe raisi atapong'atuka JK.
 

Wewe ndio usiejua na mwenye kurukia hoja, hakuna aliemtukana "mama" zimetolewa hoja za utendaji wake akiwa katika jimbo, lakini kama kawaida yako ya "kuwa karibu na wakuu" na "dataz" za uhakika ukanza kupayuka na kuweweseka.

Mama Kilango aingie ktk historia ya kisiasa kwa "kumchambua" waziri mkuu! give me a break na Mwakyembe na Selelii?


Si unaona ulivyo na mtindio... aliesema JF haiijui Richmond nani? umekuwa mvivu wa kufikiri thats fine basi hata kusoma kilichoandikwa nako taabu? Kujiunga kwangu na JF hakuna uhusiano wowote with the matter on the table.


Unaweza kumsifia utakavyo "mama yako" ofcourse she is ur mom!

Masatu,

Unaona, huwa wanaitwa mashujaaa wa taifa sio kuwarushia matusi tu, na kuwachukia bla sababu!

Ahsante mkuu TZPride, maneno yako mazito sana!

Mbona wajichanganya sasa "shujaa" wa taifa "Mama" au Mwakyembe?
 
MKUU FMES,
NIMEKUOMBA URUDI HAPA UKIRI KWAMBA UMEIDANGANYA FORUM JUU YA MAMA KILANGO, LAKINI INAONYESHA HUTAKI KUFANYA HIVYO. PLEASE RUDI UTHIBITISHE UONGO WAKO KABLA SIJATAMKA RASMI KUWA UMEDANGANYA FORUM KWA VILE NINA USHAHIDI WA KUTOSHA. SI NIA YANGU KUENDELEA KUELEZA ZAIDI YANAYOMHUSU 'MTEJA' WAKO LAKINI IKILAZIMIKA NITAFANYA HIVYO AND I DON'T WANT TO BE RESPOSIBLE FOR ANY DAMAGE ITAYOTOKEA.
 
Pundamilia07,
Mkuu hatushindani hapa lete hizo habari tutazipokea kwani mama huyu sii exceptional kwa hiyo hizi habari za kuomba mtu aseme kuwa amedanganya haziwezi kuwa na mvuto bila kuelewa ulichonacho wewe...
Mwaga manyanga mkuu, kwani hata Shujaa Mkwawa alikuwa na mapungufu yake!..haiondoi ukweli wa kila anachosimamia at the moment.
 
Mkandara,

mama anne kilango ametoa kauli ya matusi hii hapa chini kwa wapiga kura wake wa jitengeni kihurio:-

"mimi anna kilango nasema hakuna shule itakayojengwa hapa Jitengeni. sitaki kusikia mtu anazungumzia suala hili tena. anayetaka kuliendeleza akazungumze na mkewe chumbani."

wanachama kama field marshall es wanajaribu kutufunga midomo eti kwasababu mama kilango ni shujaa wa taifa kwa wakati huu. ati huyu mama amekuwa maarufu mno hivyo wananchi wake hawana haki ya kumhoji kuhusu majukumu yake kama mbunge wao.

kwanini wananchi wa same mashariki haswa jitengeni wamvumilie mbunge anayekwamisha ujenzi wa shule? mama anne kilango anaweka kauzibe wakati serikali imeshaahidi kutoa pesa za ujenzi. mama kilango anapingana na maamuzi ya vikao rasmi. kwanini wananchi wavumilie udikteta wa waziwazi?

field marshall kama unampenda sana mama kilango basi mrithishe jimbo la jumanne malecela. same mashariki mama harudi tena 2010. wazee na wananchi waliamua kumuondoa daniel yona, sasa wembe huohuo utamnyoa mama anne kilango malechela.
 
You are very right Koba na wala hujakosea. Ninamfahamu vizuri sana huyu mama ni big talk kweli na ni 'opportunist'.
Kwa wanaomfahamu kabla ya kuwa na Charles Nyange hadi JM wanaelewa vizuri.




Mkuu ninakuelewa, kama point ya Pundamilia, ilikuwa ni hiyo yaaani oppportunist wa kisasa, basi asngetaja ndoa na waume wa mama, alipowataja hao ilikuwa ni personal sio siasa, tena.



Ahsante Mkuu







Mkuu Field Marshall ES,
Ahsante sana kwa maelezo yako. Je, uko tayari kuniomba msamaha kwa maneno yako 'makali' uliyonielekezea kwangu katika post yako ya kwanza?



Mkuu Pundamilia07,

Are you kidding me? or what?

I mean it!



Nipe tafsiri ya neno kutukana and then uniambie katika niliyoandika lipi ni tusi?

Pili, humu ndani ya JF kuna untouchables?


 
Quote: Pundamilia07

You are very right Koba na wala hujakosea. Ninamfahamu vizuri sana huyu mama ni big talk kweli na ni 'opportunist'.
Kwa wanaomfahamu kabla ya kuwa na Charles Nyange hadi JM wanaelewa vizuri.

Pundamilia,

Unasema haya maneno yako juu sio matusi ya nguoni? Mkuu naomba nikuambie one thing, hapa JF watu wazima huwa hatutishani nyau, ninaruida tena kauliza zangu kuwa simfahamu mama kabla ya kuolewa na Nyange, nilisema hivyo kwa kukuuuliza kama unamfahamu binadamu yoyote aliyekuwa malaika kabla ya kuoa na kuolewa,

lakini ninamfahamu toka baada ya kuolewa na Nyange, mpaka sasa, sasa mkuu wangu tatizo lako ni kwamba unaaamini kuwa hufahamiki, as long as husemi ukweli, na wewe usije laumu mtu hapa mkuu, ninasema kuwa usinitishie nyau mkuu, wewe umuombe radhi mama kwa kumtukana bila sababu, lakini usinitishe kabisa mkuu I hope sitahitaji kurudia haya!
 

Unamtisha nani hapa wewe? peleka vitisho bubu vyako kule darhotwire au nyozigi au kulewanakolialia.co.uzushinamajungu
 
Quote: Pundamilia07

NITAJIE JINA LA RAFIKI YAKE ANNA KILANGO AMBAYE ALIKUWA MCHUMBA WAKE CHARLES NYANGE?


Pundamilia,

Unasema haya sio matusi ya nguoni? Haya yanahusika vipi na maneno ya mama bungeni kwa lowassa?
 
Quote: Pundamilia07

NITAJIE JINA LA RAFIKI YAKE ANNA KILANGO AMBAYE ALIKUWA MCHUMBA WAKE CHARLES NYANGE?

Pundamilia,

Unasema haya sio matusi ya nguoni? Haya yanahusika vipi na maneno ya mama bungeni kwa lowassa?


WEWE UMESEMA UNAMFAHAMU VIZURI NA HAJAWAHI KUWA NA TABIA MBAYA KABLA NA BAADA YA NDOA ZAKE, JIBU SWALI AU BADILI SENTENSI ZAKO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…