Mkuu Nzoka,
Kwanza ninataka kuamini kuwa wewe sio Koba, Pundamilia, ameraise two important ishus ambazo zinagusa kwanza personal life ya kiongozi wa siasa, na amejaribu kuuua character ya a popular kiongozi of the time, inaonekana kuwa wewe na mimi tumesoma shule tofauti, wewe inaonekana umesoma English, na mimi nimesoma political sciense ikiwa ni pamoja na a lot of experience kwenye siasa za kweli,
Sikatai point yako ambayo kama mwenyewe unavyosema umeitoa kwa "nia njema", lakini tatizo ni kwamba kwenye siasa kuuua character ya kiongozi kama Pundamilia alivyofanya, sio lazima useme maneno mengi, hayo tu aliyoyasema Pundamilia yanatosha kuharibu jina la kiongozi wa siasa, Pundamilia amegusa sehemu mbili muhimu,
(1). Kwamba kiongozi ni opportunist, (2). Yeye anamjua binafsi Kiongozi kuwa ana tabia mbaya, kabla na hata baaada ya kuolewa ikiwa ni pamoja kumtaja mume wa zamani wa kiongozi.
Kwa mtizamo wako wa angle ya English school, mkuu anatakiwa kujibiwa kwa sentesi mbili au moja, ila kwa angle yangu ya siasa mkuu Pundamilia anatakiwa kueleweshwa (1). little history ya kiongozi, (2). kwamba hamjui, na tatu (3). kiongozi huyu hana hizo tabia alizozisema, (4). Kumsafisha mbele ya macho ya wananchi ambao wanaweza kumtizama kwa wasi wasi kutokana na maneno hayo ya Pundamilia, ambayo ni very damaging kwa mwananchi asiyemfahamu huyu mama vizuri.
Mkuu kwenye siasa, adui akikutupia mawe, ni lazima kwenye kumjibu umpelekeee mpaka nyumbani kwake, that is what I always do, kwa sababu ni lazima uelewe kuwa aliyeandika ana sababu, na hasa pale alipomtaja mume wa zamani wa mama, sasa kum-shut down lazima counter argument iwe strong with serious information kumuonyesha mtukanaji kuwa I know the person, ili kama kweli anazo damaging info zaidi lazima ziwe serious na strong, au aache kabisa ambayo ndio nia hasa ya kumjibu kwangu with details. huyu mkuu asingetaja mambo ya mume wa zamani nisingekwenda that deep,
again sina mpango wowote wa kuacha hiyo tabia pale atakapotukanwa kiongozi au mwananchi yoyote ninayemfahamu, mimi nilitegemea uwe outraged na matusi aliyotukanwa mama, lakini nashangaa kuwa umekuwa offended na majibu yangu ya kumtetea mama kiongozi kuliko matusi aliyotukanwa, anyways mkuu unajua hapa nia na madumuni ni kuelimishana, kuna ishu zinahitaji sentensi moja, kuna ishu mbili, na kuna ishus zinazohiatji essay, cha muhimu ni hoja, sio urefu wala ufupi wa maelezo au elimu, ila ni muhimu tunapoandika kuwa na ukweli, ushahidi, au dataz.
nia na madhumuni yangu ilikuwa kumuonyehsa mkuu Pundamilia, kuwa hamfahamu huyu mama Kiongozi, na kwamba huyu mama sio opportunist, na wala hana tabia mbaya kabla na baada ya kuolewa katika ndoa zake mbili, if I have to nitarudia tena kwa the same details, samahani sana mkuu kama unakwazika na style yangu ya uandishi, ila sina mpanfgo wowote wa kuibadili, especially at this time and age.
Ahsante Mkuu!