BET wamposti Diamond Platnumz Instagram

Akafe mbele huyo, mimi nina njaa saa hii ,nifatilie upuuzi wa eti Daimondi sijui kafanya hivi au vile...
 
Anaujini kwasababu hajaenguliwa kama mlivyokuwa mnataka, nyinyi na yule Mungu wenu wa Twitter.
Emu kuweni na utulivu basi mbona mnakimbiza mambo kuliko yenyewe yalivo ko asubuhi mchana anaenguliwa
 
Dola tumewachia Magufuli, Bashiru na Mahera... Ngoja tumshikishe adabu huyu mshabikia udhalimu kwanza. Baadae tutarudi huko kwenye dola. Halafu kumbuka kuwa kuandika kwa herufi kubwa ni ujinga. Unampa shida bure moderator kubadili herufi zako kubwa kuwa ndogo. Hivi huwa mnasoma wapi nyie... Ama ndio elimu bila karo?
 
Achana nae huyo mkuu anafata mkumbo tu, yani kisa yeye ni chadema basi kila watakachoanzisha hao wanaharakati basi na yeye anaunga tela. Na watu kama hawa niwengi sana humu jf. Wao huwa hawakosei na wanajua kila kitu, hizo ndo sifa zao na kingine ni wasomi. Lakini cha ajabu akili zao wameshikiwa na hao wakuitwa wanaharakati.

Naikubali chadema ila baadhi ya movements zao za kipuuzi huwa siungani nao.
 
Tuonyeshe kikao cha chadema cha kumkataa domo! Nae ajifunze aache siasa yeye apige music tu
 

[emoji15] hivi na wewe ushafuta ujinga [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tuonyeshe kikao cha chadema cha kumkataa domo! Nae ajifunze aache siasa yeye apige music tu

Post zote mmefuta baada ya kuona chama kilikurupuka [emoji38][emoji38][emoji38] sasa mmewaachia wapiga propaganda waendeleze ili kuua soo [emoji854] ila Diamond ni mkubwa kuliko Chadema aisee
 
Ili kupima ujinga wako, si muda mrefu moderator atabadilisha maherufi kubwa [KWA HALI ILIVYO DIAMOND AONGEZE KUJILINDA] yako kwenye title kuwa herufi ndogo.
[emoji15] hivi na wewe ushafuta ujinga [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…