Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia Mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.
Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.
Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.
Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.
CHADEMA anzisheni YouTube Channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.
Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Milioni 300 na zaidi wameshindwa hata kununua vikamera vya kujirekodi basi ujuwe wana matatizo, kwa hiyo wanazidiwa na Milad ayo pesa au ni upuuzi wao?
Milad ayo anafanya biashara hahitaji migogoro isiyokuwa na tija sababu mtaji katafuta mwenyewe, hivyo chadema lazima wajiongeze.
Unaenda kuchukua taarifa kwa mtu yeye kila kitu anazungumzia mtu mmoja tu, kila siku, lazima aachwe aongee mwenyewe.