Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia Mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

CHADEMA anzisheni YouTube Channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .

Milioni 300 na zaidi wameshindwa hata kununua vikamera vya kujirekodi basi ujuwe wana matatizo, kwa hiyo wanazidiwa na Milad ayo pesa au ni upuuzi wao?
Milad ayo anafanya biashara hahitaji migogoro isiyokuwa na tija sababu mtaji katafuta mwenyewe, hivyo chadema lazima wajiongeze.
Unaenda kuchukua taarifa kwa mtu yeye kila kitu anazungumzia mtu mmoja tu, kila siku, lazima aachwe aongee mwenyewe.
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia Mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

CHADEMA anzisheni YouTube Channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Nimeona hayo hata mimi na naunga hoja kabisa.
 
Tulieni dawa iwaingie, mbona hapa JF tunapoweka habari za Tanzania kuhusu hatua nzuri iliyofikia kimaendeleo huwa haraka sana mnaziondoa/kubadilisha mawazo ya aliyeweka nk?
Mkuki kwa nguruwe binadamu uchungu. Tutaelewana tu.


CCM -JPM mbele kwa mbele - Hapa kazi tu!

Wacha1 mbona ulikuwa unaipondaga sana CCM nini kilitokea?!
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia Mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

CHADEMA anzisheni YouTube Channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Sijui kwanini huu ushauri CHADEMA huwa hawaufanyii kazi.Ni miaka nenda rudi wanashauriwa Hii kitu hawafanyi sijui kwanini.Inabidi pia wawe na wandishi wao wapiga picha wao ambao watachukua matukio yote.
 
Nilitaka asimseme mtu aseme anachoenda kufanya.

Nadhani hapa tungeweka nadhani Azam wanafuta post za kuhusu Lissu kwasababu ya Magufuli tusingekuwa biased.

Otherwise mnisamehe kwa kusema hivyo kama Azam wenyewe wameshatoa taarifa ya kwanini wamefuta post.

Wewe una mapungufu ktk ufahamu tu. Huwezi kutafsiri kitu ktk mantiki yake kusuduwa.....

Mfano; mgombea yeyote anayewania kumtoa mgombea anayetetea kiti chake hawezi kufanya kampeni zake bila kutaja madhaifu, makosa ya KISERA, MIPANGO na MAUMUZI ya utawala unaotakiwa kufurushwa....

Katika mazingira ya uchaguzi huu, hata kutaja na kuusema udhaifu binafsi wa mgombea wa CCM Bwana Magufuli kwa kweli ni ruksa kabisa. Na katika eneo hili Magufuli ataipata fresha maana ana nadhaifu lukuki yanayom disqualify kuwa kiongozi bora...

Katika video hii, Tundu yuko very clear kabda kwa wasitaka kuelewa kwa sababu zao binafsi....

Kaongelea UONGO na ULAGHAI aki connect na manunuzi ya Ndege, Mabwawa ya umeme na taabu za wakulima...

Ameongelea mahusiano ya kimataifa nini atafanya na nini kinafanywa na utawala wa sasa wa CCM ya Magufuli..

Mwisho kamalizia na nichagueni Mimi tuondoe tabia ya kudanganyana na kulaghaiana na kudhalilishana....

Wewe unataka atoe ahadi siyo? Kuwa mkinichagua nitatoa milioni 50 kila kijiji mkagawane? Nichagueni nijenge barabara? Niwajengee shule, hospitali nk no, au siyo?
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia Mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

CHADEMA anzisheni YouTube Channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Swadaktaaaa! Ushauri kuntu huu.
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi, anzia Mkutano wa Kamati Kuu na Mkutano Mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

CHADEMA anzisheni YouTube Channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Kumbe na wewe unamkubali Lissu?? Tangu lini?
 
Nafuatilia mkuu...

Yupo kwenye orodha ya watakaopata kura yangu mwaka huu.

Udiwani CCM
Ubunge Chadema
Urais CCM.
Mimi naona kabisa kura zangu mwaka huu inaenda kwa mkuu wa nchi tu. Sababu kubwa ni kuwa mkiwa na kiongozi wa upinzani hata maendeleo mnacheleweshewa. Jimbo nililopo Mnyika alibanwa mbavu balaa, actually hata kupitapita alishindwa. Kibamba mostly watu wanaona bora kuirudisha CCM tu ili maisha yaende, tuna changamoto kubwa ya miundombinu as hii bado ni wilaya mpya.
 
Huyu millard ayo atafute nchi ya kwenda kuanzia November mwaka huu maana huyu mtoto kazidi. Havumiliki tena
Haaaaaaa mwacheni jamani... fikiria azam,TV na ITV's wameshindwa kutangaza sembuse kaayo
 
....Ila siasa za kuanza kutaja mtu au watu mwanzo mwisho sio nzuri. Uza sera unaenda kutufanyia nini. Au wewe shida yako kujifanya unajua kuyafanya vizuri anayoyafanya unaemtaja?

Yapo mengi ya kusema kwenye kampeni zaidi ya kuanza kutukana na kuwataja watu.
Kweli kabisa.. tabia ya jiwe kusema watu vibaya hadharani siyo nzuri, ni ya kupuuzwa
 
Waoongee na Maria Sarungi maana tayari ana online TV japo imefungiwa kwa sasa. Wakodi vifaa wabadili jina, wajisajili chap.
Mkuu, wataruhusiwa KUSAJILIWA? Kumbuka walikuwa na gazetj TANZANIA DAIMA, kuelekea uchaguzi huu, Serikali ikalifuta, bila sababu ya msingi. Sasa, sidhani kama wanaweza kuruhusu kupatikana mdomo mwingine wa washindani wao!
 
Back
Top Bottom