Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Anatekeleza maagizo kutoka juu, kodi tunalipa sawa lkn linapo kuja suala la kugawana keki ya taifa wanatazama nani kavaa nini!
Ila Hassan Abbas atalipia huu ushenzi anaofanya. Lazima tuseme naye! Na ili heshima iwepo tutaanza naye na kumbuka kuwa tumeshajiapiza kufa na kila muhuni!