Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Mkuu wangu JokaKuu juzi niliandika sana kuhusu makosa ya upinzani kuwekeza zaidi kwenye usafiri badala ya kuwekeza kwenye media hasa conventional media na contemproray (digital) media.

Wakatokea watu wenye mahaba na kupondea wazo langu na kusifia Ford Rangers, sasa ukweli wakati wote unajidhihirisha.
Huwezi kuwafikia watu milioni 8 hadi 20 kwa usafiri wa gari kwa siku 60 hadi 90 lakini unaweza kuwafikia watu milioni 50 kwa redio na kwa TV pungufu kidogo ya hapo.

Hili ni somo jingine litasaidia siku za usoni, but I thought opposition had a 'Hail Mary pass' this time around. Very unfortunate the pass has fallen short because we have people who didn't prepare themselves for the big and rare moment, couldn't capitalize the situation.

..I totally agree with you.

..idara ya habari na PR ya CDM imedumaa sana.

..hata matukio wanayorusha wanafanya hovyo-hovyo tu.

..Inawezekana hii kazi inafanywa na watu ambao wana majukumu mengine, na hili la kupasha habari wananchi ni ziada.
 
Kumbuka wale wateja wao,yaani sisi watazamaji tupo hatuna chama,wapo CCM,wapo CDM.Ndo maana na wao wapo neutral. Wao watupe habari tu.
At the end of the day...wanafanya biashara.

Hawawezi kutoa habari tu...wanaangalia factors nyingi.

Bado hatuna uhakika wa kwanini hawakuwapa CDM platform.
 
Bila NEC huru work done equals zero. Opposition inahitaji kufanyika kazi NEC huru, otherwise huwezi kuitoa CCM hata media zifunguliwe mia.
Kuna uchaguzi mbona ukiiba hadi unaona aibu.Yaani unashindwa vibaya mno mpaka kuiba hauwezi. Au wahesabu live kama walivyofanya kura za maoni CCM.
 
Hauwezi kuwa chama tawala halafu usitajwe na vyama vya upinzani katika kampeni. Twambie nchi moja tu ambayo kampeni za vyama vya upinzani upita bila kutaja chama tawala. Your proposal is not practical. It is hypothetical. Hata CCM/TANU ambayo imetawala kwa nchi kwa miaka 60 inavitaja vyama vya upinzani japo havijawahi kutawala Tanzania. Usidai mambo ambayo hayawezekani. Tumia akili yako kabla ya kuandika hapa.
Pia CHAUMA, ACT , DEMOKRASIA MAKINI na CUF wasisahau ushauri huu.

Ila siasa za kuanza kutaja mtu au watu mwanzo mwisho sio nzuri. Uza sera unaenda kutufanyia nini. Au wewe shida yako kujifanya unajua kuyafanya vizuri anayoyafanya unaemtaja?

Yapo mengi ya kusema kwenye kampeni zaidi ya kuanza kutukana na kuwataja watu.
 
At the end of the day...wanafanya biashara.

Hawawezi kutoa habari tu...wanaangalia factors nyingi.

Bado hatuna uhakika wa kwanini hawakuwapa CDM platform.
Unajua sana sababu. Mimi nimekuambia ni uoga hakuna lingine.
 
Hauwezi kuwa chama tawala halafu usitajwe na vyama vya upinzani katika kampeni. Twambie nchi moja tu ambayo kampeni za vyama vya upinzani upita bila kutaja chama tawala. Your proposal is not practical. It is hypothetical. Hata CCM/TANU ambayo imetawala kwa nchi kwa miaka 60 inavitaja vyama vya upinzani japo havijawahi kutawala Tanzania. Usidai mambo ambayo hayawezekani. Tumia akili yako kabla ya kuandika hapa.
Ulishamsikia mwaka 2015 mzee Lowassa anamtaja mtu mwanzo mwisho?

Mwanzo mwisho unataja majina ya watu lipi lingine unatengeneza zaidi ya chaos.
 
Wale mbona hotuba za Mbowe walionyesha bila tatizo. Ilipofikia Lissu wakawa wanafinya sauti na kukata kabisa. Baadae wanaachia.Hapo unaweza kuona kuwa wapo tayari kutoa habari tatizo wanaogopa.
Kuna ukweli ambao watu wengi wanaogopa kuusema au wanakwepa makusudi kuwatia watu moyo au wanajifariji.

Ukweli ni kwamba :
  1. Lissu hatabiriki ataongea nini ambacho kinaweza kuwagharimu warusha matangazo.
  2. Lissu anachukuliwa kama adui wa taifa na wenye dhamana na kwa baadhi yetu watu binafsi (raia tu) nikiwemo mimi, kwa hivyo kushirikiana na Lissu ni kujiweka kundi la adui wa taifa (Enemy of State).
Naomba nisichukiwe kwa kuona Lissu ni adui na wala siwachukii wanaomuona ni shujaa wa taifa, ndiyo demokrasia yenyewe hiyo.
 
Hivi tukio kubwa kama lile mbona sikuwaona wafuatao
Mbowe
Mnyika
Mdee
Bulaya
Jacob
Matiko
Sugu
Na hata Nyalandu angeenda kuonyesha ushirikiano, watu wakiona mko pamoja inawapa imani na hamasa, ila ilivyofanyika Leo inajenga maswali.
Ni ushauri tu. 🤣
 
Kazi kupost ela zetu za ruzuku zimenunua Magari [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Yan chadema mnafuraisha sana
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Watu wanaotapanya hela kule na huku watapata wapi hiyo jeuri angali tu office yao imewashinda sembuse hiyo hayo mengine

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Pia CHAUMA, ACT , DEMOKRASIA MAKINI na CUF wasisahau ushauri huu.

Ila siasa za kuanza kutaja mtu au watu mwanzo mwisho sio nzuri. Uza sera unaenda kutufanyia nini. Au wewe shida yako kujifanya unajua kuyafanya vizuri anayoyafanya unaemtaja?

Yapo mengi ya kusema kwenye kampeni zaidi ya kuanza kutukana na kuwataja watu.
Tatizo Watu wamekalili kila wimbo magufuli
 
Point kubwa sana. Tatizo la hawa jamaa hawajifunzi. Kwa ruzuku waliyokuwa nayo 2015-2020, wangekuwa na TV/Radio yao sasa kama ilivyo CCM. Sijui kwa nini hawaoni mambo ambayo yako wazi kabisa kama haya? Ndio maana mimi huwa nasema Mbowe amekwisharidhika na cheo cha mkuu wa upinzani. Wanatukatisha tamaa. Wangekuwa na TV yao, leo hii hili singekuwa tatizo. Sasa utashindaje uchaguzi kama ujumbe wako haufiki kwa wananchi?
Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Kitendo chenu cha kunajisi wimbo wa taifa kitawagharimu sana japo mnachukulia poa.Ombeni msamaha, wananci wana hasira na kiburi chenu
 
CHADEMA bila mbinu mbadala ya kupeleka habari mmekwisha. Msitegemee TV hata moja ya Tz itakayoonyesha kampeni za Lisu, Labda wataonyesha salaamu tu basi . Hawataonyesha chochote cha maana. Kama ikiwezeksna tumia TV za Kenya, lakini nazo zitanyofolewa ktk ving'amuzi. Dawa Labda YouTube, Aljazera, BBC, CNN, etc.

Alternatively, record hotuba kwenye flash na kusambaza flash. Au tumia wats app.
 
Ulishamsikia mwaka 2015 mzee Lowassa anamtaja mtu mwanzo mwisho?

..well, ulisikia Jpm na wapiga debe wake walivyokuwa wakitaja majina wakati wa kampeni?

..Jpm alifikia mpaka kudai ndugu yake Lowassa amepeleka kesi mahakamani na kuzuia bomba la maji kutoka ruvu lisipite.

..pia upo mkutano wa kampeni wa Jpm ambapo Lowassa alitukanwa kwamba amejisadia haja kubwa jukwaani.

..na huko tunakoelekea sina uhakika kama Jpm atafanya kampeni bila kuwatukana au kuwakashifu wapinzani, ila tujue kwamba ni mtu ambaye ana rekodi ya kufanya kampeni chafu na matusi.

..lingine tunalopaswa kujiuliza ni kama Jpm ataweza kuhimili na kuvumilia kashfa na matusi yatakayoelezwa kwake.
 
Kuna ukweli ambao watu wengi wanaogopa kuusema au wanakwepa makusudi kuwatia watu moyo au wanajifariji.

Ukweli ni kwamba :
  1. Lissu hatabiriki ataongea nini ambacho kinaweza kuwagharimu warusha matangazo.
  2. Lissu anachukuliwa kama adui wa taifa na wenye dhamana na kwa baadhi yetu watu binafsi (raia tu) nikiwemo mimi, kwa hivyo kushirikiana na Lissu ni kujiweka kundi la adui wa taifa (Enemy of State).
Lissu Ana ilani yake binafsi kwenye kichwa. Na anaamini yeye ni bora na anajua kuliko chadema wote, hakuna anayeweza kumshauri, anatakiwa aeleze sera na aache personal attack. Usitegemee TV ya taifa irushe maneno ya jazba na uchochezi.
 
Chama chake ni CCM. Yeye mwenyewe kasema CCM ni nyumbani. Atakisemaje CCM vibaya? Mimi nimesma nchi. Nitajie nchi (km Afrika Kusini - Malema, Uingereza - Labour Party, USA - Biden, Uganda - Boby Wine nk) ambako wanafanya kampeni bila kutaja Rais ama chama kilichoko madarakani. Tumia akili - huwezi kufanya kampeni bila kumtaja mpinzani wako na chama chake. Usipendekeze mambo yasiwezekana.
Ulishamsikia mwaka 2015 mzee Lowassa anamtaja mtu mwanzo mwisho?

Mwanzo mwisho unataja majina ya watu lipi lingine unatengeneza zaidi ya chaos.
 
Binafsi nimeishauri cdm ifanye hivyo lkn nikajibiwa si kwamba wanashindwa bali licence hawatapewa
 
Back
Top Bottom