Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Peopleeeees.........Sasa.....,......twende na lisu
 
Media wanatakiwa wawe neutral unless wanamilikiwa CCM. Ipo wazi kuwa hawamilikiwi na CCM ila wanaogopa utawala wa JPM.Na hii siyo uelekeo mzuri kwa taifa. Wananchi wanatakiwa wapate habari za Chadema kama wanavyopata za CCM ,wao ndo watachambua mbovu na mbivu.
Wanatakiwa na nani au na nini kuwa neutral?

CNN ya Marekani, kwa mfano, ipo neutral?
 
Vifaa vinavyohitajika (camera 1 pekee)
1. Camera yenye tundu la sdi out.
2. Wireless mic ya camera.
3. Audio cable ya kuchukua sauti kutoka kwenye mixer hii ni ya kwenye events kubwa.
4. Sdi cable.
5. Live U solo (kifaa cha kurushia matangazo)
6. Modem ya 4g
7. Line ya 4g yenye bando.


Kama mnataka kuruka kwa zaidi ya camera moja. (Multicam livestream) hasa kwenye kampeni.
Vifaa ni
1. Camera zenye sdi out (2 na zaidi)
2. Wireless hdmi adapter(hii ni ya kulink camera na video switcher wireless, kuepuka nyaya kukanyagwa na watu au kukatika kwa nyaya) idadi inategemea na idadi ya camera.
3. Video switcher kama blackmagic atem hd, au roland hd switcher, atem mini pro. Ila blackmagic atem hd ni bora zaidi.
4. Preview monitor kwa ajili ya kuswitch camera.( inaweza kununuliwa hata tv ya kichina ndogo inatosha)
5. live u solo
6. Radio call za kuwasiliana kati ya mpiga picha na mtu wa kurusha matangazo. Zile earphone zinazopita nyuma ya kichwa.
7. Modem ya 4g
8. Line ya 4g yenye bando la kutosha.
9. Laptop yenye graphic card nzuri hasa gaming laptop ram iwe kati ya 8gb mpaka 16gb. Haswa alienware.


Hivi vinunuliwe fasta kabla ya kampeni. Wahusika watumie kufanya nayo mazoezi.
Nawasilisha.ii
Jogoo kawika ndio mnakumbuka shuka, khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Wacha uongo labda hufahamu You tube wamavyolipa au wanavyofanya kazi zao. Huyu kijana Millard Ayo anajitahidi sana na hakuna anachoweza kufanya bali kutumia fursa ili atoke kidedea. Inaonekana mnamwonea gere. Mijitu mikubwa zero brain, nyie mnazokula kutoka kwa walipa kodi nani anawapigia kelele? Mwaka huu ile ruzuku mliyokuwa mnaipata hamtaweza kuifikia come rain come sunshine.

..naelewa.

..fursa ziko ccm.
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Wauze gari moja
 
Wale wale asiye na mtazamo kama wako. Hana akili.
Kuna wakati ukweli tunabaki nao kama ukweli. Nikuambie kuwa mwaka 2015 nilimkata Magufuli huku roho yangu ikinisuta sana kwa Lowassa kwakuwa Magufuli aliongea sana kuaminisha umma kuwa ana jali na hana ubaguzi. Kiukweli nilikuwa namkata huku roho yangu inaumia. But nashukuru Mungu amemfunua ameonekana alivyo 100% na nimejikuta namchukia sana sana sana! Sina sababu nyingine ila zaidi ya matendo mabaya sana yaliyotokea ndani ya utawala wake wa miaka 5.

This time my friend, ninavyomchukia kutokana na chuki zake za waziwazi basi hata mabango yake nikiyaona nayachana chana achilia mbali kumchinjilia mbali huku namkodolea macho kodooo kwenye sanduku la kura. Yani tuombe uzima maana ndani ya box la kura hata matusi nitayatoa kwa sauti!
 
Msiwe mnapost kabla ya kufanya research.
Chadema wana online Tv na ipo muda mrefu sana, ila hadi leo subscribers aapo 1112 .
Tatizo sio online tv, bali chadema wenyewe. Wanajinasibu sana kufanikiwa kwenye mitandao ila hali uhalisia haupo hivyoView attachment 1531224
Basi hawaitilii maanani. Na walitakiwa wawe nazo zaidi ya moja. CCM wana Channel 10,Ikulu mawasiliano,TBC. Sasa ukijumlisha na kina Global,Mwananchi,Millard Ayo,Azam,ITV n.k
 
Bado sio sababu ya kuwabania sauti, kama wanalofanya ni kosa sheria iwahukumu kama wanatumia haki zao kuyaongea hayo wanayoyaongea wacha waongee labda ndo kitu wapiga kuwa wake wanataka kusikia.


Maana huwezi mpangia MTU cha kusema.
Pia CHAUMA, ACT , DEMOKRASIA MAKINI na CUF wasisahau ushauri huu.

Ila siasa za kuanza kutaja mtu au watu mwanzo mwisho sio nzuri. Uza sera unaenda kutufanyia nini. Au wewe shida yako kujifanya unajua kuyafanya vizuri anayoyafanya unaemtaja?

Yapo mengi ya kusema kwenye kampeni zaidi ya kuanza kutukana na kuwataja watu.
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Hili ni kweli kabisa, Inashangaza kama Chadema hawajafikiria na kufanya kitu kama hichi! Ni muhimu sana wapinzani wawe na vyombo vyao vya kijitangaza wenyewe!
 
Wanatakiwa na nani au na nini kuwa neutral?

CNN ya Marekani, kwa mfano, ipo neutral?

..MwanaHalisi na Tanzania Daima walikuwa pro-upinzani, lakini sasa hivi wamefungiwa.

..vyombo vilivyoachiwa kufanya kazi ni vile ambavyo ni pro-ccm tu, hicho ndicho watu wanakilalamikia.
 
Kitengo cha mawasiliano chadema kimejaa vilaza pale sijui hata wamewekwaje, just imagine hata photographers wa chama hatuna, youtube channel ile chadema media ipo very week, ina matukio machache sana cha ajabu hata yenyewe ni nadra kukuta inarusha live matukio muhimu ya chama.
 
Hili ni kweli kabisa, Inashangaza kama Chadema hawajafikiria na kufanya kitu kama hichi! Ni muhimu sana wapinzani wawe na vyombo vyao vya kijitangaza wenyewe!
Kabisa huu muda ni kuhakikisha Lissu anakuwa Popular na kuuzika kwa sera zao. Na wayaseme matatizo ya Mukulu live bila chenga.
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.

Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.

Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.

Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.

Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.

Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Ushauri mzuri sana.
Ingawa kwa sasa haiwezekani kwani wakati huu ni wa Chadema ni msingi, na sio chadema ya ICT.
Chadema ICT imebaki kwa wanachama elites na kutegemea huruma za bloggers.
 
Naungana na wewe kwa 100%.Kwa sasa binasfi sitegemei na wala sijihangaishi kufuatilia matukio ya Chadema kwenye vyombo hivi vya habari.Vimekuwa vyombo vya habari vya kijinga sana.
Ni mwendawazimu pekee ndo atampa airtime huyo mropokaji anayetangazia ulimwengu kwamba Tanzania watu mitaani wanakufa kwa korona.
 
Hivi unanua chadema hawana hata photographer wao?? Picha wanasubiri watu wanazotumia simu, shame!
Basi hawaitilii maanani. Na walitakiwa wawe nazo zaidi ya moja. CCM wana Channel 10,Ikulu mawasiliano,TBC. Sasa ukijumlisha na kina Global,Mwananchi,Millard Ayo,Azam,ITV n.k
 
Back
Top Bottom