Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Nilitaka asimseme mtu aseme anachoenda kufanya.

Nadhani hapa tungeweka nadhani Azam wanafuta post za kuhusu Lissu kwasababu ya Magufuli tusingekuwa biased.

Otherwise mnisamehe kwa kusema hivyo kama Azam wenyewe wameshatoa taarifa ya kwanini wamefuta post.
Lazima amseme mtu aliyeharibu,kusema aliyeharibu haimaanishi kwamba hasemi anachokwenda kufanya.
 
Nilitaka asimseme mtu aseme anachoenda kufanya.

Nadhani hapa tungeweka nadhani Azam wanafuta post za kuhusu Lissu kwasababu ya Magufuli tusingekuwa biased.

Otherwise mnisamehe kwa kusema hivyo kama Azam wenyewe wameshatoa taarifa ya kwanini wamefuta post.
Wewe mjinga huoni anachoongea Magufuli mdomoni mwake? Mbona hakatiwi matangazo? Magufuli ni dikteta mbaya na wasaidizi wake wanafanya kumfurahisha period! Acha kutoa hoja za kijinga humu! Magufuli anafanya nchi yetu inadharaulika sana!
 
Pia CHAUMA, ACT , DEMOKRASIA MAKINI na CUF wasisahau ushauri huu.

Ila siasa za kuanza kutaja mtu au watu mwanzo mwisho sio nzuri. Uza sera unaenda kutufanyia nini. Au wewe shida yako kujifanya unajua kuyafanya vizuri anayoyafanya unaemtaja?

Yapo mengi ya kusema kwenye kampeni zaidi ya kuanza kutukana na kuwataja watu.
Acheni ujinga banaa! Rais si anajina?

Mungu tu anatajwa itakuwa huyo Magufuli wenu
 
Wewe mjinga huoni anachoongea Magufuli mdomoni mwake? Mbona hakatiwi matangazo? Magufuli ni dikteta mbaya na wasaidizi wake wanafanya kumfurahisha period! Acha kutoa hoja za kijinga humu! Magufuli anafanya nchi yetu inadharaulika sana!

Naona mnatoka nje ya mada mnaanza kujadili ujinga wangu.

Kwani mimi hata nimemtaja anayetaja watu au mmejipa majibu wenyewe.

Wewe ndiyo unaona nchi inadharaulika...binafsi sijaona hivyo zaidi ya kuona wakimsifia saana.
 
Waoongee na Maria Sarungi maana tayari ana online TV japo imefungiwa kwa sasa. Wakodi vifaa wabadili jina, wajisajili chap.

Ila wasome ile sheria mpya ya habari kwa umakini sana hasa kama channel ikisajiliwa kwa jina la chama, maana TL akiropoka tu anaweza futiwa chama kabla Oct. 28 haijafika.

Ikibidi vipi isajiliwe kwa jina la mtu binafsi ambaye atakuwa amejitoa mhanga kwa lolote lile.
 
Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.
Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.
Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.
Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.
Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.
Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Tulieni dawa iwaingie, mbona hapa JF tunapoweka habari za Tanzania kuhusu hatua nzuri iliyofikia kimaendeleo huwa haraka sana mnaziondoa/kubadilisha mawazo ya aliyeweka nk?
Mkuki kwa nguruwe binadamu uchungu. Tutaelewana tu.


CCM -JPM mbele kwa mbele - Hapa kazi tu!
 
Naona mnatoka nje ya mada mnaanza kujadili ujinga wangu.

Kwani mimi hata nimemtaja anayetaja watu au mmejipa majibu wenyewe.

Wewe ndiyo unaona nchi inadharaulika...binafsi sijaona hivyo zaidi ya kuona wakimsifia saana.
Ndiyo maana nasema akili zako ni zero! Endelea kuona wakimsifia. Besides, huyo anayemaifia kama siyo mlamba viatu basi anaogopa udikteta wake!
 
Huyu millard ayo atafute nchi ya kwenda kuanzia November mwaka huu maana huyu mtoto kazidi. Havumiliki tena
Jasho alilotoa mpaka kufikia hapo alipofikia unalijua? Tuache tabia kupangia watu maamuzi yakufanya wakati madhara yake hatuwasaidii kuyabeba.

Kama vipi anzisha chano yako ufanye utakavyo tuone.
 
Jasho alilotoa mpaka kufikia hapo alipofikia unalijua? Tuache tabia kupangia watu maamuzi yakufanya wakati madhara yake hatuwasaidii kuyabeba.

Kama vipi anzisha chano yako ufanye utakavyo tuone.
Unajielewa kweli wewe? Unajua maana ya chombo cha habari au unaharisha tu hapa? Millard siyo mtumishi wa ccm anapaswa kuwa mwandishi huru asiyependelea upande.
 
Pia CHAUMA, ACT , DEMOKRASIA MAKINI na CUF wasisahau ushauri huu.

Ila siasa za kuanza kutaja mtu au watu mwanzo mwisho sio nzuri. Uza sera unaenda kutufanyia nini. Au wewe shida yako kujifanya unajua kuyafanya vizuri anayoyafanya unaemtaja?

Yapo mengi ya kusema kwenye kampeni zaidi ya kuanza kutukana na kuwataja watu.
Sivyo, nataka uelewe nini maana ya siasa.
Hata mgombea wenu anapenda kutajataja upande wa pili sana hadi kututukana! Kama ni mtazamo basi unatakiwa utazame vizuri sio utazame kimakengeza
Sasa soma hapo juu nilichokiandika kisha niambie between you and me who suppose to go back to MMU.

Sijamtaja mgombea anayewataja wengine mwanzo mwisho. Nimetoa general comment ambayo inaweza hata kumhusu mgombe ubunge anayewataja wagombea wengine pasipo kunadi sera.
 
Back
Top Bottom