Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Better late than never, CHADEMA anzisheni YouTube Online TV haraka iwezekanavyo

Media wanatakiwa wawe neutral unless wanamilikiwa CCM. Ipo wazi kuwa hawamilikiwi na CCM ila wanaogopa utawala wa JPM.Na hii siyo uelekeo mzuri kwa taifa. Wananchi wanatakiwa wapate habari za Chadema kama wanavyopata za CCM ,wao ndo watachambua mbovu na mbivu.

Now you are talking.

Hili binafsi nakubaliana nalo kabisa...lakini tujiulize tunamajibu ya uhakika kwanini hawajareport habari za CHADEMA?

Ukitoa jibu moja linalovutia upande wako ili ujifanye victim utakuwa unakosea. Hapa ndipo shida ilipo.

Ushauri wako ni mzuri kabisa, CDM (na sio CDM tu tuna vyama kibao tunataka kusikia habari zao) wafungue chombo chao kitakachowafikishia wananchi kila walifanyalo. Kama alivyofanya Diamond.
 
Nadhani angejikita kwenye kusema ataifanyia nchi kuliko kumuandama Jiwe. Sasa Youtube channel watz wangapi interior huko watamuona? Aache siasa za vitisho watu waanze kumpa airtime.
 
..MwanaHalisi na Tanzania Daima walikuwa pro-upinzani, lakini sasa hivi wamefungiwa.

..vyombo vilivyoachiwa kufanya kazi ni vile ambavyo ni pro-ccm tu, hicho ndicho watu wanakilalamikia.
Hilo wala sipingi.

Vyombo pekee vya habari ambavyo labda vinapaswa kuwa ‘neutral’ ni vile vya umma tu.

Lakini hivi vya binafsi, vina haki ya kuwa na mrengo wowote ule viutakavyo.

Vibaya ni ile kujifanya uko neutral ilhali ni uongo, kama ilivyo kwa CNN siku hizi.
 
Now you are talking.

Hili binafsi nakubaliana nalo kabisa...lakini tujiulize tunamajibu ya uhakika kwanini hawajareport habari za CHADEMA?

Ukitoa jibu moja linalovutia upande wako ili ujifanye victim utakuwa unakosea. Hapa ndipo shida ilipo.

Ushauri wako ni mzuri kabisa, CDM (na sio CDM tu tuna vyama kibao tunataka kusikia habari zao) wafungue chombo chao kitakachowafikishia wananchi kila walifanyalo. Kama alivyofanya Diamond.
Jibu lipo wazi. Sababu kubwa ni wanaogopa Magufuli.
 
Media wanatakiwa wawe neutral unless wanamilikiwa CCM. Ipo wazi kuwa hawamilikiwi na CCM ila wanaogopa utawala wa JPM.Na hii siyo uelekeo mzuri kwa taifa. Wananchi wanatakiwa wapate habari za Chadema kama wanavyopata za CCM ,wao ndo watachambua mbovu na mbivu.
Kwa hiyo Wananchi hawajui kwamba lissu kachukua form Leo?
 
Chadema Media Tv ipo. Wito wetu kwao ni kuwa warekodi hotuba zote katika kipindi hiki na wazirushe, pili waanze kurusha live matukio yote ya mgombea wao.

Kama TCRA wakiwafanyia fitna still tuna plan B , hotuba zote za wagombea wa chadema na Lissu zitarekodiwa na kurushwa Twitter na facebook. Tutazichukua huko na kuzisambaza kwa njia zetu.


CCM hawatoki mwaka huu. Hata wafanye nini, tena ndo wanazidi kutupa hasira zaidi!!!
 
Lakini pia Victoire media yangu utaniamulia kuwa neutral na wakati sio ya umma ni yangu binafsi??

Mfano Azam akiamua anaisapoti CCM hatupaswi kulalamika hata kidogo.... ni media binafsi na yupo huru kutangaza akitacho.
 
Mkuu wangu JokaKuu juzi niliandika sana kuhusu makosa ya upinzani kuwekeza zaidi kwenye usafiri badala ya kuwekeza kwenye media hasa conventional media na contemporary (digital) media.

Wakatokea watu wenye mahaba na kupondea wazo langu na kusifia Ford Rangers, sasa ukweli wakati wote unajidhihirisha.
Huwezi kuwafikia watu milioni 8 hadi 20 kwa usafiri wa gari kwa siku 60 hadi 90 lakini unaweza kuwafikia watu milioni 50 kwa redio na kwa TV pungufu kidogo ya hapo.

Hili ni somo jingine litasaidia siku za usoni, but I thought opposition had a 'Hail Mary pass' this time around. Very unfortunate the pass has fallen short because we have people who didn't prepare themselves for the big and rare moment, couldn't capitalize the situation.
 
Hilo wala sipingi.

Vyombo pekee vya habari ambavyo labda vinapaswa kuwa ‘neutral’ ni vile vya umma tu.

Lakini hivi vya binafsi, vina haki ya kuwa na mrengo wowote ule viutakavyo.

Vibaya ni ile kujifanya uko neutral ilhali ni uongo, kama ilivyo kwa CNN siku hizi.
Wale mbona hotuba za Mbowe walionyesha bila tatizo. Ilipofikia Lissu wakawa wanafinya sauti na kukata kabisa. Baadae wanaachia.Hapo unaweza kuona kuwa wapo tayari kutoa habari tatizo wanaogopa.
 
Wale mbona hotuba za Mbowe walionyesha bila tatizo. Ilipofikia Lissu wakawa wanafinya sauti na kukata kabisa. Baadae wanaachia.Hapo unaweza kuona kuwa wapo tayari kutoa habari tatizo wanaogopa.
Naam!

Wanachomfanyia Lissu si sawa kabisa.
 
Kuna wakati ukweli tunabaki nao kama ukweli. Nikuambie kuwa mwaka 2015 nilimkata Magufuli huku roho yangu ikinisuta sana kwa Lowassa kwakuwa Magufuli aliongea sana kuaminisha umma kuwa ana jali na hana ubaguzi. Kiukweli nilikuwa namkata huku roho yangu inaumia. But nashukuru Mungu amemfunua ameonekana alivyo 100% na nimejikuta namchukia sana sana sana! Sina sababu nyingine ila zaidi ya matendo mabaya sana yaliyotokea ndani ya utawala wake wa miaka 5.

This time my friend, ninavyomchukia kutokana na chuki zake za waziwazi basi hata mabango yake nikiyaona nayachana chana achilia mbali kumchinjilia mbali huku namkodolea macho kodooo kwenye sanduku la kura. Yani tuombe uzima maana ndani ya box la kura hata matusi nitayatoa kwa sauti!
Hapo ndio kura yako itakapoharibika.
 
Lakini pia Victoire media yangu utaniamulia kuwa neutral na wakati sio ya umma ni yangu binafsi??

Mfano Azam akiamua anaisapoti CCM hatupaswi kulalamika hata kidogo.... ni media binafsi na yupo huru kutangaza akitacho.
Kumbuka wale wateja wao,yaani sisi watazamaji tupo hatuna chama,wapo CCM,wapo CDM.Ndo maana na wao wapo neutral. Wao watupe habari tu.
 
Jibu lipo wazi. Sababu kubwa ni wanaogopa Magufuli.
Hapana ukisema jibu lipo wazi unakosea tena saana.

Ni media binafsi wana upande nao.. nadhani tuilaumu TBC na sio Azam na wenzake.

Kama hawakulipia? Kama nilikuwa na taarifa ya muhimu kuizidi ya CDM?

Kama mimi siipendi CDM?
 
Bila NEC huru work done equals zero. Opposition inahitaji kufanyika kazi NEC huru, otherwise huwezi kuitoa CCM hata media zifunguliwe mia.
 
Back
Top Bottom