Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,916
- 43,505
Kusema ukweli tokea Lissu arudi,anzia mkutano wa kamati kuu na mkutano mkuu. Nilifuatilia matangazo Mwananchi digital Kila Lissu akiongea wakiona anaelekea kumsema Magufuli wanaanza kupungunza sauti na mwisho wanafinyia sauti ndani kabisa.
Leo sasa kituko nilikuwa naangalia Millard Ayo yaani habari ya Lissu sauti haisikiki kabisa na mwisho wakastop kabisa kuonyesha.
Ila Millard Ayo hiyo hiyo walionyesha Uchaguzi UVCCM sauti ilikuwa fresh tu.
Jamani eeeeh mwenye macho haambiwi tazama.
Chadema anzisheni YouTube channels nunueni vifaa kama hamna hela semeni tuwachangie. Na muajiri watu kwa kazi hiyo.
Kitengo cha mawasiliano CHADEMA amkeni huu muda wa mapambano acheni kulalamika wale kina Milard Ayo wanaogopa .
Hata mkianzisha You tube channel lazima mfate sheria na taratibu na pia lazima mpewe leseni na lazima mzingatie miiko ya uandishi wa habari ...mkiruhusu matusi na uchochezi sheria ziko wazi mtapigwa pin kama kawa !
Anzisheni lakini lazima mjue kuwa sheria ziko wazi hakuna mtu wa kirisk chombo chake kisa mropokaji