ulishawahi kulose 200K au zaidi kwa mpigo? kama ni hapana, wewe sio mcheza kamari.Ndio. Jackpot suchezi lakini na2eza kubet mikeka miwili au yote ikatiki au yote ikachanika au nikala mmoja na mwingine nikapoteza.
unaona sasa!Ndio. Timu za ushindi zipo. Man City, Real Madrid, PSG, Arsenal, Celtic, Ludogorets, Qarabag, HJK, Ferencovoros, AEK, PSV, na nyingine nyingi mkuu.
Ukichungulia kwenye betting ukakuta hizo timu hazipo, acha kubet siku hiyo. Usibet tu kama nyumbu unapoteza hela zako bila sababu za msingi.
Wewe hujielewi unajua kwahiyo mtu akipoteza pesa hiyo uliyotaja mfulilizo ndio mcheza kamari hivi kumbe umasikini unamfanya mtu anadataulishawahi kulose 200K au zaidi kwa mpigo? kama ni hapana, wewe sio mcheza kamari.
kama ni ndio, ulifanyaje kuirudisha?
miezi 11Uliacha pombe kwa muda gani hadi kuanza kunywa tena.
Upo sahihi kwa kiasi chake japo nilitegemea utaje makadirio ya hela ulioipoteza kwenye betting. Mimi kuna kipindi nilikua na pepo wa kupiga hela ndefu sijui na yule demu niliekua nae alikuwa na bahati sana maana nakumbuka kipindi kile Nimepiga hela ndefu karibu milioni tatu na kasoro kwa mtaji wa kuanza nao haufiki elfu 20. Ila nikaja kupigwa hela japo sio nyingi kama niliyopata faida, na hasara kubwa nilioipata kwa mpigo ni kwenye mechi ya world cup nilimewekea 150k Argentina ampigie Saudi Arabia ila kilichonikuta sina hamu.Sidhani kama kuna mtu anabeti/alibeti kunishinda mimi!
Betting ina addiction ile mbaya, ikikukumba siyo rahisi kuacha.
Hongera nyingi kwa aliegundua hii michezo, alitumia akili kwelikweli! Nimetumia kila mbinu, kila hesabu ninazozijua lakini kipigo kiko palepale.
Pia niwape pole wale mnaoamini kwamba ipo siku watatusua kwenye Betting, mnajidanganya, mtaambulia hasara kiuchumi na kiafya. Namuona mtu mmoja anataka kusema ati "beti kwa starehe tu" "bet what you can afford to lose" pole sana.
Kadri unavyopoteza ndivyo unavyozidi kupambana ili uokoe ulichopoteza, aidha kwa kuongeza dau au odds. Wazee wa hizo kazi wananielewa. Kwasasa accounts zangu zote za kubetia nimeshazifunga japo kuna wakati nashawishika sana kufungua account mpya (addiction hiyo)najizuia.
Baadhi ya vitu vilivyofanya niamue kuachana na betting;
Nilikuwa napoteza muda mwingi hata wa kazi kutengeneza mkeka (uchambuzi)
Maumivu makali ya kihisia baada ya timu moja kunichania mkeka niliotumia muda mwingi kuutengeneza, (na hiyo timu iliyochana italaaniwa sana sana😮💨)
Niliona kabisa hapa nikiendelea hivi, presha na kisukari vile palee. Hakuna wakati mgumu kama pale timu uliyoipa ushindi inafikia dakika ya 70'au 80' ubao unasoma 0-0, mapigo ya moyo yanaenda mbio, umekaa tu cha ajabu unatokwa jasho kama vile unapanda mlima.
Ilifika hatua nikawa napumzika kwa muda mchache sana, muda wa kulala mimi niko live, siyo kwamba nachati wala nini, ni nabetika.
Hata ukinitumia ujumbe WhatsApp usitegemee kujibiwa, ukipiga simu kama sio mtu ambae namheshimu sana jibu ni moja tu "nitakupigia badae kidogo, nipe dakika tano" mpaka pale tukio ninalofuatilia litakapokamilika (tabia mbovu sana hii)
Leo nimemsikia mtu anasema anatafuta mtaji aanze kubeti😆😆 Kama hujawahi kubeti, wala usitake kujifunza.
Kweli betting ni haramu ni heri uraibu mwingine wowote ila sio betting/kamari, betting ni mufilisi janjaruka mapema.
Soma Pia: Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji
Mimi nimeshawahi kuacha mika miwili nikarudi tena. Ila kipindi hicho nilikuwa na miaka 17 na pombe zenyewe ulanzi na komoni..miezi 11
Daah hongera mkuu.Mimi nimeshawahi kuacha mika miwili nikarudi tena. Ila kipindi hicho nilikuwa na miaka 17 na pombe zenyewe ulanzi na komoni..
Bia nimeshawahi kuacha miaka miwili pia, pombe kali zote nimeziacha toka mwaka juzi.
Safari hii nina miezi miwili nimepumzika pombe zote.
Ha ha hakama betting ingekupa pesa nyingi ukaacha kubet hapo hoja yako ingekuwa na mashiko, lakini kama unaendelea kubeti, niamini mimi, hiyo pesa itarudi tu ni suala la muda! pesa uliyokula kwa zaidi ya miaka miwili inaweza kurudi kwao ndani ya mwezi mmoja! hii itunze kama kumbukumbu
Sidhani kama kuna mtu anabeti/alibeti kunishinda mimi!
Betting ina addiction ile mbaya, ikikukumba siyo rahisi kuacha.
Hongera nyingi kwa aliegundua hii michezo, alitumia akili kwelikweli! Nimetumia kila mbinu, kila hesabu ninazozijua lakini kipigo kiko palepale.
Pia niwape pole wale mnaoamini kwamba ipo siku watatusua kwenye Betting, mnajidanganya, mtaambulia hasara kiuchumi na kiafya. Namuona mtu mmoja anataka kusema ati "beti kwa starehe tu" "bet what you can afford to lose" pole sana.
Kadri unavyopoteza ndivyo unavyozidi kupambana ili uokoe ulichopoteza, aidha kwa kuongeza dau au odds. Wazee wa hizo kazi wananielewa. Kwasasa accounts zangu zote za kubetia nimeshazifunga japo kuna wakati nashawishika sana kufungua account mpya (addiction hiyo)najizuia.
Baadhi ya vitu vilivyofanya niamue kuachana na betting;
Nilikuwa napoteza muda mwingi hata wa kazi kutengeneza mkeka (uchambuzi)
Maumivu makali ya kihisia baada ya timu moja kunichania mkeka niliotumia muda mwingi kuutengeneza, (na hiyo timu iliyochana italaaniwa sana sana😮💨)
Niliona kabisa hapa nikiendelea hivi, presha na kisukari vile palee. Hakuna wakati mgumu kama pale timu uliyoipa ushindi inafikia dakika ya 70'au 80' ubao unasoma 0-0, mapigo ya moyo yanaenda mbio, umekaa tu cha ajabu unatokwa jasho kama vile unapanda mlima.
Ilifika hatua nikawa napumzika kwa muda mchache sana, muda wa kulala mimi niko live, siyo kwamba nachati wala nini, ni nabetika.
Hata ukinitumia ujumbe WhatsApp usitegemee kujibiwa, ukipiga simu kama sio mtu ambae namheshimu sana jibu ni moja tu "nitakupigia badae kidogo, nipe dakika tano" mpaka pale tukio ninalofuatilia litakapokamilika (tabia mbovu sana hii)
Leo nimemsikia mtu anasema anatafuta mtaji aanze kubeti😆😆 Kama hujawahi kubeti, wala usitake kujifunza.
Kweli betting ni haramu ni heri uraibu mwingine wowote ila sio betting/kamari, betting ni mufilisi janjaruka mapema.
Soma Pia: Vijana tuacheni kubeti, kindege (aviator) kimenimaliza milioni 7 yote ya mtaji
Wakoje hao insiderGo to the insider mkuu!! People zinakula maisha
Na harmonize nae naskia kaanzisha kampuni na weka nikuchambue 😂michezo ya matajiri hiyo....njia nyingine ya kuwachukulia maskini hela zao.