Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

Na harmonize nae naskia kaanzisha kampuni na weka nikuchambue 😂
walishaona ipo hela huko ya maskini unajiokotea tuu.
wenye mihela ndio wanafaidi. timu zake mbili mzigo million anatulia zake. wikend nikula totoz threesome tuu
 
Tujifunze kwenda mbali zaidi kwa kuongea vizuri na magolikipa wa ligi yetu.
Unamwambia aruhusu goli 1 tu sio mbaya.
hahah hilo nahisi linafanyika mpaka sasa
 
Betting imewaliza wengi sana.
 
then it safe to presume that u usually shake hands with the one eyed milkman 😀😀😀😀😀😀😀
Big wrong, I have a best friend, he is not a man, and she is not a girl. Can you guess whome is
 
walishaona ipo hela huko ya maskini unajiokotea tuu.
wenye mihela ndio wanafaidi. timu zake mbili mzigo million anatulia zake. wikend nikula totoz threesome tuu
ikiliwa hiyo million kisa uliamini ktk timu chache hapo ubongo unaanza kupangika vizuri!
Mfano; unaweka timu zako tatu zenye jumla ya odds 1.5 au 2, au hata 1.3 kwa lengo la kupata zako faida ya 300K (1Mil.×1.34)
alafu inakanyagwa kiulaiini, matokeo LOST

Ili uweze kuipata million yako kwa mfumo wa team 3 na odd yako 1.3 kwa bet 1 itakubidi ustake kuanzia million 4, au uongeze odds nyingi zaidi (risk) ustake hela ndogo!

mara ooh tafuta timu chache odds mbili weka mpunga!
mpunga?!!
 
wewe tatizo unawaza kimaskini mzeya, wapo watu wanaweka hela na wanakula hela tuu. uzuri hapa duniani kila mtu na strategy yake ila mie nimeona jamaa yeye anaweka laki tano au million mechi zake mbili anatulia zake.
wikend yupo zake nyumbani park pale kihonda anapapasa misambwanda tuu
 
nawaza kimasikini ila wewe naona umenizidi! Kabla hujabet lazima ujue kabisa unatake risk! Ukiamini ushindi moja kwa moja presha ile palee
 
nawaza kimasikini ila wewe naona umenizidi! Kabla hujabet lazima ujue kabisa unatake risk! Ukiamini ushindi moja kwa moja presha ile palee
sawa mie sijakataa nawaza kimaskini zaidi. kazi yangu yenyewe kufukuza upepo na bodaboda
 
Sentensi zimesomeka, ila sijaelewa baada ya kuziunganisha
sorry,
... "tofauti 'na' kubeti! Kubeti ni tabia ya kujifunza ,na upole hukujifunza popote" (ndo ilikuwa maana yangu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…