Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Betting ni hatari kubwa kwa wakamaria
Betting ni kwa watu wabishi wasio na tamaa na wanao weza kuji control
Betting inasababisha msongo wa mawazo
Inasababisha upungufu wa nguvu za kiume
Ina athari kubwa kisaikolojia
Siwezi kumshauri mtu aanze kubet ingawaje mimi nabet na ninaona faida zaidi ya hasara
Betting ni kwa watu wabishi wasio na tamaa na wanao weza kuji control
Betting inasababisha msongo wa mawazo
Inasababisha upungufu wa nguvu za kiume
Ina athari kubwa kisaikolojia
Siwezi kumshauri mtu aanze kubet ingawaje mimi nabet na ninaona faida zaidi ya hasara