Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

Shida yako Ni unaifanya betting kuwa kiteka uchumi chako( source of income) wakati kiuhalisia betting inachukulia tu Kama mchezo

N/B- Bet with what you can afford to loose
 
Kwa hyo unafikiri madrid akicheza na kibonde anapewa point inafika hata 1.2,thubutuuuuu,wakati mwingine anapewa hadi 1.07,sasa hapo kuna nini?
Labda Kwa single game sawa, ila ukizichagua hizo timu nne kama zilivyo na zikacheza na vibonde kwenye ligi hukosi 1.5.

Tuchukulie Madrid 1.07
Mancitiy 1.07
Yanga 1.16
Simba 1.15
JUMLA ODDS 1.52
 
Wewe huwezi kuniambia kitu kuhusu betting imenipa pesa nyingi sana kidampa kama wese huna Cha kunishauri ukiona umeshindwa wewe ujue huna bahati nenda kalime mzee
kama betting ingekupa pesa nyingi ukaacha kubet hapo hoja yako ingekuwa na mashiko, lakini kama unaendelea kubeti, niamini mimi, hiyo pesa itarudi tu ni suala la muda! pesa uliyokula kwa zaidi ya miaka miwili inaweza kurudi kwao ndani ya mwezi mmoja! hii itunze kama kumbukumbu
 
Labda Kwa single game sawa, ila ukizichagua hizo timu nne kama zilivyo na zikacheza na vibonde kwenye ligi hukosi 1.5.

Tuchukulie Madrid 107
Mancitiy 1.07
Yanga 1.16
Simba 1.15
JUMLA ODDS 1.52
Odds hizo zinaleta 1.42738 mkuu,haya tuassume zinatoboa zote,ili utusue uweke pochi neneee kidogo
 
Uongo huo.
Yaani uzipe timu zishinde Madrid, Mancity, Simba na Yanga halafu kwa ujumla ziwe na odds 1.12?

Kwa mahesabu ya betting hapo kwa ujumla wake hizo timu zote zikicheza na vibonde kwenye ligi zao hukosi odds 1.5 na hayo ni makadirio ya chini kabisa.
hebu twende taratibu; je una uhakika 100% mkeka utatiki?
na kama ukipoteza, utaweka dau la shil. ngapi kwa odd 1.5 ili laki mbili irudi?
 
Shida yako Ni unaifanya betting kuwa kiteka uchumi chako( source of income) wakati kiuhalisia betting inachukulia tu Kama mchezo

N/B- Bet with what you can afford to loose
kumbuka lengo la kubeti ni upate zaidi ya ulichoweka.(mapato/upate zaidi) Kama ungejua mapema kabisa kwamba timu unayoipa ushindi itashindwa ungebeti?
 
Tamaa mbele kuna jamaa anasema ods sita ni presha yeye anacheza na mbili hadi nne huyu jamaa anakulaga tu kuliwa ni mara moja kwa 10..
 
hebu twende taratibu; je una uhakika 100% mkeka utatiki?
na kama ukipoteza, utaweka dau la shil. ngapi kwa odd 1.5 ili laki mbili irudi?
Hapo ndio mahesabu ya betting yanapokuwaga magumu.
Utaweka 200,000 kwa odds 1.5 utakula 300,000 faida 100,000

Utarudia kutafuta odds 1.5 kwa dau la 200,000 halafu mhindi anatembea nayo yote yote unabaki na 100,000 ambayo siyo faida maana una hasara ya 100,000 tayari.

Baada ya hapo unapanick, unataka urudishe 100,000 yako upumzike.
Unaamua kutafuta odds 2 kisha unastake 100,000 yote ili upate 200,000 na vichenji.
Hapo mhindi anakushangaza anapita nayo yote.

Kwa ufupi huu mchezo unaitaji utulivu. Mhindi ametengeneza mahesabu ya kumbeba yeye, so kumla maana yake umefosi.
 
Sio lazima kutusua, ila walau ya supu haikosekani. Hapa nipo ninaweka mzigo mdogo mdogo katika Virtual ya BetPawa, nilianza na sh. 4000 ila hata saa moja haijaisha nishapata 20 na nadhani kwa leo inatosha

View attachment 3060656
hahah Lupweko bwana! kama virtual umeijua leo, nakushauri toa hiyo hela fanya mambo yako vinginevyo nakupa masaa kumi ya kubeti/ya kazi, lazima utadeposit tena.
 
Hapo ndio mahesabu ya betting yanapokuwaga magumu.
Utaweka 200,000 kwa odds 1.5 utakula 300,000 faida 100,000

Utarudia kutafuta odds 1.5 kwa dau la 200,000 halafu mhindi anatembea nayo yote yote unabaki na 100,000 ambayo siyo faida maana una hasara ya 100,000 tayari.

Baada ya hapo unapanick, unataka urudishe 100,000 yako upumzike.
Unaamua kutafuta odds 2 kisha unastake 100,000 yote ili upate 200,000 na vichenji.
Hapo mhindi anakushangaza anapita nayo yote.

Kwa ufupi huu mchezo unaitaji utulivu. Mhindi ametengeneza mahesabu ya kumbeba yeye, so kumla maana yake umefosi.
twende na hesabu za kikamalia sasa usikomee hapo nimeona uko vizuri! Ikiwa 200K ya mkeka wa kwanza kabisa imeliwa next unabeti vipi mpaka irudi?

Cc. M.Rutabo ChristopherPaul15
Mayu
 
Mimi nitaacha kubeti nikishinda 90M. Hakuna kazi isiyokuwa na changamoto. Hata mkiwa mnfanya kazi bank na wote mkawa mnapata mshahara mmoja, lakini kuna mmoja au wawili atakuwa vizuri kimaisha. Atakuwa na nyumba zaidi ya hata 3 magari n.k

Hapa tunaenda kwenye kitu kinachoitwa commitment na bahati. Kila mtu na bahati yake. Mimi Muhindi ananinipiga mia mbili au mia 5 lakini siku nikimpiga 90M nani atakuwa ameingia hasara?
Wewe acha kubeti kama umeamua kuacha lakini usiwatishe watu. Wewe huna hela ndio maana unalialia.
 
Mimi nitaacha kubeti nikishinda 90M. Hakuna kazi isiyokuwa na changamoto. Hata mkiwa mnfanya kazi bank na wote mkawa mnapata mshahara mmoja, lakini kuna mmoja au wawili atakuwa vizuri kimaisha. Atakuwa na nyumba zaidi ya hata 3 magari n.k
Hapa tunaenda kwenye kitu kinachoitwa commitment na bahati. Kila mtu na bahati yake. Mimi Muhindi ananinipiga mia mbili au mia 5 lakini siku nikimpiga 90M nani atakuwa ameingia hasara?
Wewe acha kubeti kama umeamua kuacha lakini usiwatishe watu. Wewe huna hela ndio maana unalialia.
hahah
Unabeti kwa miambili afu unasema una hela [emoji23]
Sawa mr Mbochong'a mimi nakuelewa vizuri tu
 
Back
Top Bottom