wala sikatai hiyo ndiyo bahati nasibu, lakini pia hiyo hela usishangae mwisho wa siku ikarudi yote!Betting Haina mchanga Wala mzoefu ni akili Yako tu na pesa Yako acha habari zako mtu anaweza akabeti Leo na akapata hela ambayo wewe hujawahi kuipata
na kwa imani hii hii utajikuta umeshapoteza pesa ambayo itakuchukua muda sana kuipata tenaBetting Haina mchanga Wala mzoefu ni akili Yako tu na pesa Yako acha habari zako mtu anaweza akabeti Leo na akapata hela ambayo wewe hujawahi kuipata
Labda wewe wenzio mbona tunapiga pesa sana sijui unafeli wapi au utakua huna nyota mzee nenda kalime ukiona unapata hasara Mimi sipati hasara Bali napata faida sanana kwa imani hii hii utajikuta umeshapoteza pesa ambayo itakuchukua muda sana kuipata tena
Kukuaaaaaa uende wapiiiii??Sidhani kama kuna mtu anabeti/alibeti kunishinda mimi!
Betting ina addiction ile mbaya, ikikukumba siyo rahisi kucomoka!
Hongera nyingi kwa aliegundua hii michezo, alitumia akili kwelikweli! Nimetumia kila mbinu, kila hesabu ninazozijua lakini kipigo kiko palepale!
Pia niwape pole wale mnaoamini kwamba ipo siku watatusua kwenye Betting, mnajidanganya, mtaambulia hasara kiuchumi na kiafya!
Namuona mtu mmoja anataka kusema ati "beti kwa starehe tu" "bet what you can afford to lose" pole sana.
Kadri unavyopoteza ndivyo unavyozidi kupambana ili uokoe ulichopoteza, aidha kwa kuongeza dau au odds. Wazee wa hizo kazi wananielewa
Kwasasa accounts zangu zote za kubetia nimeshazifunga japo kuna wakati nashawishika sana kufungua account mpya (addiction hiyo)najizuia.
Baadhi ya vitu vilivyofanya niamue kuachana na betting;
-Nilikuwa napoteza muda mwingi (hata wa kazi) kutengeneza mkeka (uchambuzi)
-Maumivu makali ya kihisia baada ya timu moja kunichania mkeka niliotumia muda mwingi kuutengeneza, (na hiyo timu iliyochana italaaniwa sana sana😮💨)
-Niliona kabisa hapa nikiendelea hivi, presha na kisukari vile palee!
Hakuna wakati mgumu kama pale timu uliyoipa ushindi inafikia dakika ya 70',80' ubao unasoma 0-0, mapigo ya moyo yanaenda mbio, umekaa tu cha ajabu unatokwa jasho kama vile unapanda mlima!!
-Ilifika hatua nikawa napumzika kwa muda mchache sana, muda wa kulala mimi niko live, siyo kwamba nachati wala nini, ni nabetika!
Hata ukinitumia ujumbe WhatsApp usitegemee kujibiwa, ukipiga simu kama sio mtu ambae namheshimu sana jibu ni moja tu "nitakupigia badae kidogo, nipe dakika tano" mpaka pale tukio ninalofuatilia litakapokamilika (tabia mbovu sana hii)
Leo nimemsikia mtu anasema anatafuta mtaji aanze kubeti😆😆
Kama hujawahi kubeti, wala usitake kujifunza.
Kweli betting ni haramu ni heri uraibu mwingine wowote ila sio betting/kamari, betting ni mufilisi janjaruka mapema.
hahahKama betting imekutia hasara ni wewe,kama umeamua kuacha acha kimya kimya sio kuanza kulumbana kutupigia kelele
Walogaji wale ingawa wapo wanaowapiga anyway kama likweni kichekesho kweli
Sasa hyo 1.12 ukiweka laki tatu au tano ni shilling ngapi unapataTatizo odds zake ni 1.12
Ni kwel mkuu lkn kosa lako ni kwamba ulikua na mararajio ya kutajirika kupitia betting..Sidhani kama kuna mtu anabeti/alibeti kunishinda mimi!
Betting ina addiction ile mbaya, ikikukumba siyo rahisi kucomoka!
Hongera nyingi kwa aliegundua hii michezo, alitumia akili kwelikweli! Nimetumia kila mbinu, kila hesabu ninazozijua lakini kipigo kiko palepale!
Pia niwape pole wale mnaoamini kwamba ipo siku watatusua kwenye Betting, mnajidanganya, mtaambulia hasara kiuchumi na kiafya!
Namuona mtu mmoja anataka kusema ati "beti kwa starehe tu" "bet what you can afford to lose" pole sana.
Kadri unavyopoteza ndivyo unavyozidi kupambana ili uokoe ulichopoteza, aidha kwa kuongeza dau au odds. Wazee wa hizo kazi wananielewa
Kwasasa accounts zangu zote za kubetia nimeshazifunga japo kuna wakati nashawishika sana kufungua account mpya (addiction hiyo)najizuia.
Baadhi ya vitu vilivyofanya niamue kuachana na betting;
-Nilikuwa napoteza muda mwingi (hata wa kazi) kutengeneza mkeka (uchambuzi)
-Maumivu makali ya kihisia baada ya timu moja kunichania mkeka niliotumia muda mwingi kuutengeneza, (na hiyo timu iliyochana italaaniwa sana sana😮💨)
-Niliona kabisa hapa nikiendelea hivi, presha na kisukari vile palee!
Hakuna wakati mgumu kama pale timu uliyoipa ushindi inafikia dakika ya 70',80' ubao unasoma 0-0, mapigo ya moyo yanaenda mbio, umekaa tu cha ajabu unatokwa jasho kama vile unapanda mlima!!
-Ilifika hatua nikawa napumzika kwa muda mchache sana, muda wa kulala mimi niko live, siyo kwamba nachati wala nini, ni nabetika!
Hata ukinitumia ujumbe WhatsApp usitegemee kujibiwa, ukipiga simu kama sio mtu ambae namheshimu sana jibu ni moja tu "nitakupigia badae kidogo, nipe dakika tano" mpaka pale tukio ninalofuatilia litakapokamilika (tabia mbovu sana hii)
Leo nimemsikia mtu anasema anatafuta mtaji aanze kubeti😆😆
Kama hujawahi kubeti, wala usitake kujifunza.
Kweli betting ni haramu ni heri uraibu mwingine wowote ila sio betting/kamari, betting ni mufilisi janjaruka mapema.
Huwo ni uwongoooooooooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila shetani ana ushawishi sana nilipoamua kuacha kubeti mikeka yangu ya mwisho nlikula yote...ila nikaamua kwa dhati kuachana nayo.
Wakamaria wapo hatarini kupata magonjwa ya shinikizo la damu,msongo wa mawazo,kisukari na hata kujiua.
Simshauri mtu kujifunza kubeti ni uraibu mbaya sana. Yaani inafika kipindi huwezi kupata usingizi usiku. Unabeti kuanzia ligi za america kusini na kaskazini Usiku mpk alfajiri. Ukimaliza unaamia ligi za Australia, newzealand na japan asubuhi, ukimaliza upo ligi za india,nepal,iran mchana..jioni unaamia za uarabuni,usiku upo ulaya.
Kamari inaharibu mahusiano yako ya kifamilia na kijamii,kiuchumi,kiiamani n.k
ungekuwa unaijua formula bila shaka ungekuwa bilionaireIvi nini maana ya kamali? Au beting?
Mfano unazijua timu 13, then wewe ukajua kuwa zitashinda na hio ni betting,
I believe kuna formula ya kuzichukua hizo pesa/ unatumia akili .. ten kama hayo ma jackport ya bilioni, kila mwez unayachukua fresh tu,achan na betting, tumia formula japo kuitengeneza ni kazi kubwa saaan.