Betty Mkwasa: Fani ya Uandishi wa Habari ipo ICU kwa sasa na Nasikitika Wahusika tumenyamaza tu, huku ikienda Kufa kabisa

Mtalaumu waandishi mtalaumu madaktari na Kila aina ya kada shida ni uwekezaji mdogo katika mfumo wa elimu
Je Betty na nguli wenzake waliongea chochote kuhusu mfumo wa elimu pale ambapo mwl mmoja mwenye njaa alifundisha watoto 1000 wenye njaa!?(Akiwa mkuu wa wilaya)
Je alihimiza upatikanaji wa walimu wa kutosha!?
Maabara za lugha na science
Viwanja vizuri vya michezo kukuza haiba za watoto n.k
Kifupi ni kuwa ukitaka kuharibu jamii haribu mfumo wa elimu na kwa hapa tulipo italaumiwa Kila kada huku wakitakiwa watoe kitu hawana
 
Huoni Aibu kudanganya na Wewe ukiwa ni Mkongwe fulani hapa? Leo umevuta kidogo Kitu cha Malawi au ID yako imedukuliwa?
Wee Genta, huyu mama si alikua mkuu wa mkoa juzi juzi hapa? Au nimechanganyaa files? Dooooh
 
Wee Genta, huyu mama si alikua mkuu wa mkoa juzi juzi hapa? Au nimechanganyaa files? Dooooh
Umeniangusha sana kwani nilikuwa nakukubali mno kama Mtu ambaye upo very up to date kwa Information. Nimesikitika.
 
Betty yuko sahihi kabisa,fani ya waandishi wa habari wakati huu inawatu wasiojua taaluma yao......FM RADIO'S ziko choka mbaya,hata mtu akionekana ni comedian tu,basi anapewa Mic, maneno yasiyo na staha yanasikika hewani bila shida,makelelee studio hata night club kuna nafuu.Television mambo ya hovyo yanaonyeshwa bila shida wala uoga,aaah yaani tasnia imekufa kabisa.Printing media huko nako magazeti huwezi kununua,ukakuta critical analysis ya jambo likiwa limenyooka,siku hizi ni praise team tu.

Kiufupi Media inachangia serikali legelege,mmomonyoko wa maadili,siyo 4th pillar of the government tena...... INASIKITISHA
 
Tatizo waandishi wenyewe wa habari wajinga

Fani zote mtu.kutambuliwa mfano mwanasheria, Engineering, mfamasia ,Daktari nk lazima mtu awe na digrii ya fani husika na husajiliwa na bodi inayosimamia weledi nk

Mswada uliandaliwa kuwa kuwe na bodi ya waandishi wa habari na wasajiliwe na kiwango cha kusajiliwa lazima awe na digrii kwenye fani ya uandishi wa habari wakapinga ohh hiyo ni kinyume cha katiba kuminya uhuru wa habari.Serikali ikazira kuwa basi nendeni mtakavyo

Sasa matokeo ndio hayo akina Mwijqku form four failures wanaoponda elimu iwe commerce nk ndio watangazaji nguli

Wachekeshaji wafanya vituko nk

Ndio maana uandishi wa habari sasa hivi ni kituko
 
You have got a point....
WaTz hatupo serious, kama vile akili ya kuwa serious haipo kwq vichwa vyetu. Hatuwezi kuachanisha entertainment, crap, serious issues.
Tupo kama Jokers tu..clowns of some sort.

Mpaka pale tutakapoacha kuwa ndezi ndipo mambobyataanza kuwa serious.
Hata viongozi tunapata vichekesho tu chini mpaka juu. Wale wenyenupeo kidogo wanatuangalia wanatuona kama puppets
 
Wanaoua tasnia ni Wana habari wenyewe
 
Wanachojua ku ripoti tu habari za wanasiasa, kutoa taarifa za raisi au waziri kasema hivi au vile kaamka kalala.Yaani hawana mpango wa kwenda kutafuta habari na kuibua kero za watu
 
Zembwela nae mtangazaji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…