Thanks Mkuu umemaliza kila Kitu na Topic Closed.Kujipendekeza kwa waandishi wahabari upande serikali ili kupata teuzi nako kumechangia kuharibu tasnia hii
Sahivi ni mkuu wa mkoa.Huyu dada alipewa ukuu wa wilaya kabla ya jiwe kumuweka benchi. [emoji504] mpeni
Huoni Aibu kudanganya na Wewe ukiwa ni Mkongwe fulani hapa? Leo umevuta kidogo Kitu cha Malawi au ID yako imedukuliwa?Sahivi ni mkuu wa mkoa.
Wee Genta, huyu mama si alikua mkuu wa mkoa juzi juzi hapa? Au nimechanganyaa files? DoooohHuoni Aibu kudanganya na Wewe ukiwa ni Mkongwe fulani hapa? Leo umevuta kidogo Kitu cha Malawi au ID yako imedukuliwa?
Umeniangusha sana kwani nilikuwa nakukubali mno kama Mtu ambaye upo very up to date kwa Information. Nimesikitika.Wee Genta, huyu mama si alikua mkuu wa mkoa juzi juzi hapa? Au nimechanganyaa files? Dooooh
Basi kwa leo nimetelezaa mkuu!! Ni leo tyuuh.Umeniangusha sana kwani nilikuwa nakukubali mno kama Mtu ambaye upo very up to date kwa Information. Nimesikitika.
Na bado Fools wanamsikiliza na hata kumkubali pia. Ni aibu mno Mkuu.Siku hizi mpaka watu aina ya akina "baba Level" nao ni "watangazaji". 😂😂😂
Umebadili Shemeji yetu Dada au? Hukuwa hivi na nimeshangaa sana.Basi kwa leo nimetelezaa mkuu!! Ni leo tyuuh.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli majukumu ni mengi sana kwa sasa.Umebadili Shemeji yetu Dada au? Hukuwa hivi na nimeshangaa sana.
Haina noma Dada naelewa na kuwa na Amani. Tuko pamoja.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli majukumu ni mengi sana kwa sasa.
Ila errors hizi ni kawaida, tuvumilianee.
[emoji120][emoji120][emoji120]Haina noma Dada naelewa na kuwa na Amani. Tuko pamoja.
You have got a point....Mkuu chakula kinatolewa kulingana na aina ya walaji , watangazaji hawa inatoa picha ya aina ya wasikilizaji iliyopo kwa wingi.
kuna classmates zangu wawili ni watangazaji wakubwa tu ila kwa nilivyowajua nimeshangaa wamepataje nafasi hiyo na kuwa maarufu kiasi hicho.
Betty apewe tena...Huyu dada alipewa ukuu wa wilaya kabla ya jiwe kumuweka benchi. 🍡 mpeni
Wanaoua tasnia ni Wana habari wenyewe"Siku hizi Mtu akiwa tu ni Maarufu, Mchekeshaji, Msanii au Mbwabwaji Mitandaoni basi haraka sana anakuwa Mtangazi wa Redio na Tv. Naumia sana kuona hii Fani yenye Heshima kubwa duniani kote sasa hapa Tanzania ikiwa ipo ICU na Siku si nyingi inaenda Kufa kabisa. Sikatai ujio wa Teknolojia kwani hilo ni Jambo jema ila pamoja na Teknolojia lakini ile Misingi Mama ya Utangazaji / Uandishi wa Habari haijabadilika na wala haitokuja Kubadilika. Na kinachonisikitisha zaidi Sisi ambao ndiyo Wahusika tumenyamaza na wala hatuhoji hivyo kuendelea tu kuruhusu Upuuzi na Ukiukwaji mkubwa wa Kimaadili kuendelea kuwepo", amesema Mtangazaji Mkongwe, Mshindi wa Kike wa Afrika wa Tuzo ya Uandishi wa Habari za Ukimwi na Mweledi wa Tasnia Elizabeth ( Betty ) Mkwasa alipokuwa akizungumza na TBC1 katika Miaka 73 ya Utangazaji Tanzania.
GENTAMYCINE kila mara nimekuwa nikiisema hapa JamiiForums hii Tasnia ya Habari na Utangazaji halafu naonekana kama vile nina Nongwa nayo au nina Agenda nayo / nao Binafsi na wapo hadi Wanaonishutumu haya sasa leo kasema Mhusika mwenyewe hebu mbishieni basi na Yeye au Mshutumuni kama mfanyavyo Kwangu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a Akili Kubwa na Tajiri wa Maono hakuna ambacho nakisema JF huwa hakiji Kutokea Ok?
Zembwela nae mtangazaji?"Siku hizi Mtu akiwa tu ni Maarufu, Mchekeshaji, Msanii au Mbwabwaji Mitandaoni basi haraka sana anakuwa Mtangazi wa Redio na Tv. Naumia sana kuona hii Fani yenye Heshima kubwa duniani kote sasa hapa Tanzania ikiwa ipo ICU na Siku si nyingi inaenda Kufa kabisa. Sikatai ujio wa Teknolojia kwani hilo ni Jambo jema ila pamoja na Teknolojia lakini ile Misingi Mama ya Utangazaji / Uandishi wa Habari haijabadilika na wala haitokuja Kubadilika. Na kinachonisikitisha zaidi Sisi ambao ndiyo Wahusika tumenyamaza na wala hatuhoji hivyo kuendelea tu kuruhusu Upuuzi na Ukiukwaji mkubwa wa Kimaadili kuendelea kuwepo", amesema Mtangazaji Mkongwe, Mshindi wa Kike wa Afrika wa Tuzo ya Uandishi wa Habari za Ukimwi na Mweledi wa Tasnia Elizabeth ( Betty ) Mkwasa alipokuwa akizungumza na TBC1 katika Miaka 73 ya Utangazaji Tanzania.
GENTAMYCINE kila mara nimekuwa nikiisema hapa JamiiForums hii Tasnia ya Habari na Utangazaji halafu naonekana kama vile nina Nongwa nayo au nina Agenda nayo / nao Binafsi na wapo hadi Wanaonishutumu haya sasa leo kasema Mhusika mwenyewe hebu mbishieni basi na Yeye au Mshutumuni kama mfanyavyo Kwangu.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE a.k.a Akili Kubwa na Tajiri wa Maono hakuna ambacho nakisema JF huwa hakiji Kutokea Ok?