uhurumoja
JF-Expert Member
- Mar 2, 2014
- 9,616
- 22,521
Mtalaumu waandishi mtalaumu madaktari na Kila aina ya kada shida ni uwekezaji mdogo katika mfumo wa elimu
Je Betty na nguli wenzake waliongea chochote kuhusu mfumo wa elimu pale ambapo mwl mmoja mwenye njaa alifundisha watoto 1000 wenye njaa!?(Akiwa mkuu wa wilaya)
Je alihimiza upatikanaji wa walimu wa kutosha!?
Maabara za lugha na science
Viwanja vizuri vya michezo kukuza haiba za watoto n.k
Kifupi ni kuwa ukitaka kuharibu jamii haribu mfumo wa elimu na kwa hapa tulipo italaumiwa Kila kada huku wakitakiwa watoe kitu hawana
Je Betty na nguli wenzake waliongea chochote kuhusu mfumo wa elimu pale ambapo mwl mmoja mwenye njaa alifundisha watoto 1000 wenye njaa!?(Akiwa mkuu wa wilaya)
Je alihimiza upatikanaji wa walimu wa kutosha!?
Maabara za lugha na science
Viwanja vizuri vya michezo kukuza haiba za watoto n.k
Kifupi ni kuwa ukitaka kuharibu jamii haribu mfumo wa elimu na kwa hapa tulipo italaumiwa Kila kada huku wakitakiwa watoe kitu hawana