Beyonce na Jay z wanatarajia watoto mapacha

Beyonce na Jay z wanatarajia watoto mapacha

Kuna matumbo mengine kituko,tumbo jeusiiiiii,usoni mweupeee mpaka unajiuliza kwani lazima mtu kupiga picha ya hivyo jaman
Siku hizi imekuwa ni fashion ya kuonyesha tumbo wakati mimba imekuwa kubwa tangu alipofungua milango ya kufanya hivyo Demi Moore. Zile picha za tumbo la ujauzito miezi nane/tisa ni bomba sana.
 
Beyoncé just made a major announcement!
View attachment 466332
Here it is: Beyoncé is pregnant … with twins!

The singer delivered the news on Instagram with a stunning photo of herself with her hands on her baby bump, kneeling in front of a wreath of flowers with a long green veil over her head.

“We would like to share our love and happiness. We have been blessed two times over,” she wrote. “We are incredibly grateful that our family will be growing by two, and we thank you for your well wishes.”

She signed the post, “The Carters.”

Beyoncé and her husband, Jay Z, currently have a 5-year-old daughter, Blue Ivy. Congrats to them both on pregnancy!
Mdau mi najuaga ww ni mtu wa siasa za mlengo wa kushoto (ngumu) sikuwahi kudhani kama pia upo kwenye issue laini laini kama hizi.......!! all in all tupo pamoja
 
Beyonce amepost kwenye account yake ya Instagram na kuthibitisha kuwa ana ujauzito wa watoto mapacha

Huyu mwanamke ni wa mfano wa kuigwa i wish wasanii wa kibongo wangekuwa na akili kama za kwake

e4eb9579e95fe7d8c3330c1995e768c7.jpg
77c8f4c4baa37eafa855803851aa8c72.jpg
Hapo akili ni nini? Kuwa na mapacha au?
 
Basi hujatembea humu ndani vinginevyo usingeshangaa na hii post yangu.

Mdau mi najuaga ww ni mtu wa siasa za mlengo wa kushoto (ngumu) sikuwahi kudhani kama pia upo kwenye issue laini laini kama hizi.......!! all in all tupo pamoja
 
Kazi ya Mungu haina makosa. Tumbo kuwa jeusi inaweza kuwa kituko kwa wengine lakini kwa wazazi husika wasione kama ni kituko cha aina yoyote ile.

Kuna matumbo mengine kituko,tumbo jeusiiiiii,usoni mweupeee mpaka unajiuliza kwani lazima mtu kupiga picha ya hivyo jaman
 
Mtu anajijua usoni anatumia mkorogo mkali bora akubali fasheni impite asifunue akawa kituko. Lakini akiwa mweusi mwili mzima picha inabalance na kuwa bomba.
Kazi ya Mungu haina makosa. Tumbo kuwa jeusi inaweza kuwa kituko kwa wengine lakini kwa wazazi husika wasione kama ni kituko cha aina yoyote ile.
 
Mtu anajijua usoni anatumia mkorogo mkali bora akubali fasheni impite asifunue akawa kituko. Lakini akiwa mweusi mwili mzima picha inabalance na kuwa bomba.
Unapokuwa mjamzito rangi ya tumbo kuwa tofauti na mwili ni kawaida sana, I think wanawake waliozaa watanielewa
 
Inatofautiana kati ya mtu na mtu. Wengine wakati wa ujauzito wanazidi kupendeza na wengine hali huwa tofauti na mimba moja inaweza kuwa tofauti na nyingine.

Aisee kumbe zari huwa anatudanganyaaa lazima nikamshtaki
 
Back
Top Bottom