Beyonce na Jay Z washitakiwa kwa kuiba mtoto (Blue Ivy) na kujifanya ni wao

Ndo madhara ya kujiunga na wajenzi huru!
 
Mbona mtoto kafanana sana na baba yake?Huyo mama anatafuta kick kwa nguvu sana
 
watu wanatoka mapovu kabisa hapa..!
Hayanihusu, ujinga tu.
 
Mmmmhhhhhh weka chanzo cha habariii bana ila inawezekana hao waabudu shetan kweli watoe wapi mtoto
 

Badala ya kuzungumzia EBOLA au mchakato wa KATIBA, unamdiscuss Jay Z!! anakujua? atakusaidia nini???
 
Badala ya kuzungumzia EBOLA au mchakato wa KATIBA, unamdiscuss Jay Z!! anakujua? atakusaidia nini???

hiyo katibatamgu umeidisscus imekusaidia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…