Labda hii ingesaidia...mimi nilishasema angekatwa kale kadude kule ukuryani asingefanya haya
hahahaaaaaaaaaaaa..... sasa utukane yupi, bhoke, BBA au wachangiaje??... au yule mganda aliyemnanihii bhoke kama kichecheMods, Naomba sometimes kwa issues kama hizi rules za JF ziwe zinaruhusu kutukana.
Nayo miguno ni maigizo!Hahahaha maigizo na ile miguno ya mahaba je?
Kule kwenye Jaccuzi ni kama alijiexpress!
mkuu umeona waganda walivyo brief kwenye kitendo??? na ile style ya kurusha kiuno kama degedege umeicheki??Unakuja Regency au umeamua kwenda Agakhan?
Hili ni wazo la mpwa wako Yo Yo ngoja akitoka likizo,nafikiri mkuu wanadada wa tanzania wanapenda kuchapwa nao na ndunde ambazo hazijatahiriwaHii imeidhalilisha nchi na mm mwenyewe nimedhalilika kweli imeonekana mademu wa bongo ni cheap sana
Jamani wadada kemeeni tabia hii chafu
Anahitaji maombi.Ana jini la mahaba na utaalamu wa zinaa!
Nayo miguno ni maigizo!
Nikipata muda nitasikiliza kwa mara ya kwanza mwaka huu Jahazi!Huyu demu atakuwa live leo kwenye kipindi cha JAHAZI cha Clouds FM mwenye kuweza ku rekodi arekodi aweke hapa
mkuu ndio mabinti zetu hao....Pambafu kabisa! Baada utumbo wale anakuja na kiburi chake hapa kutuambia hakuenda kuiwakilisha Tz. Kelele zote za kuomba surport za nini sasa!
mimi sipiti nipo
ninahasira nae sana,huwezi ku du me i do you wakati unaelewa kabisaaaaa kuwa kunakamera kibao,unamaanisha alikusudia kutuaibisha
mimi nilikuwa naona mashuka yanainuka na kushuka chini,nilidhani kuna mgonjwa anaumwa kumbe wana du bana
umetuaibisha sana
...ha ha hhhhhhhhaa haaa hha. you have make my dayNasikitika kwa nini hakumpa huyo Mganda ajiexpress lol
Jamaaa kakomaa na kifo cha mende
kweli kabisa, SHABBA was entertaining and interestingha! ha! ha! bora 'shaba ranks' angebaki kuliko huyu