Bi. Hindu Shikamoo, kumbe una miaka 80!

Awafundishe na friquency ya kupiga game.
 
Na wee umri umeenda homgera nilodhaninkijana kijana wa 80ss sorry heshimamyako. Kuu
 
Hivi wazaramo wametokea Iringa? [emoji2954][emoji2954][emoji2954] Ukinithibitishia hili sasa hivi nakwenda kutafuta mishkaki ya mbwa!
 
Hivi wazaramo wametokea Iringa? [emoji2954][emoji2954][emoji2954] Ukinithibitishia hili sasa hivi nakwenda kutafuta mishkaki ya mbwa!
Kasome historia ya makabila ya Tanzania
 
Mbona huwa mnawacheka wanaume wa kizungu kuwa wanaoa wanawake wakubwa kuliko wao?
Bibi hindu anamzidi baba yake miaka 11 na mama yake miaka 16,kwahiyo kama mwaka huu bibi hindu atafikisha miaka 80 basi baba=miaka 69 mama=miaka 64,hapo nani mkubwa?mkienda shule muwe mnasoma mnaelewa sio kukua tu
 
Tuliomaliza miaka ya 1996_1999 si haba tumekula chumvi. Na hii si wadada tu, mimi nina jamaa zangu tuliohitimu nao mwaka huo 1998 ni wazee mpaka baadhi ya ndugu zangu nikiwaonyesha tuliosoma nao huwa hawaamini maana ni wazee kwelikweli.
 
Cheif U have spoken my mind
 
Wen
Tuliomaliza miaka ya 1996_1999 si haba tumekula chumvi. Na hii si wadada tu, mimi nina jamaa zangu tuliohitimu nao mwaka huo 1998 ni wazee mpaka baadhi ya ndugu zangu nikiwaonyesha tuliosoma nao huwa hawaamini maana ni wazee kwelikweli.
Wengine wametoka hadi vipara
 
Bibi hindu anamzidi baba yake miaka 11 na mama yake miaka 16,kwahiyo kama mwaka huu bibi hindu atafikisha miaka 80 basi baba=miaka 69 mama=miaka 64,hapo nani mkubwa?mkienda shule muwe mnasoma mnaelewa sio kukua tu
Mkuu u have spoken my mind
 
Binti wa siku hizi miili yao inakua haraka sana... mtoto wa miaka ya 90' daah utasema mdada wa miaka 35 huko...



Cc: mahondaw
 

sasa inakuaje tunaambiwa Wazaramu ndio wenyeji wa Dar na pwani wakati wao wenyewe ni wahamizi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…