Bi. Katherinie Johnson ndo mwanamke anayestahili kuwa na nyodo

Huku kwetu tunangalia lenzi mbinuko; hayo mahesabu tupa kuleeee, kwetu hata udiwani wa viti maalum hapati
 

pongezi kwake ameleta heshima na ku inspire jamii , ni mars au moon?


usikose kumwangalia Dr Nicky Fox WA John Hopkins university na Nasa , ni mwingereza amesimamia chombo kilichorushwa kwenda kwenye jua kuchunguza
 
Mulilazimishwa kuchukua hiyo physics
 
Hahahahaahaaa.

Kuna swali lilikuwa linachanganywa, circular motion na projectile motion hapo hapo.

Bibi kaokoa image ya wanawake aisee
Kumbe na wewe ni mkali wa haya mambo?
 
Daaaah umenikumbusha mbali sana
Hongera sana bibi( Mtaalam wa Hesabu)
 
Bibi kama huyo nyodo amfanyie nani?kwa kipi?...huyo hata akiweka k yake hakuna wa kutamani.....
Nyodo kwa akili aliyonayo kwa vile ni mathematical genius. Na amefanya kaxi nasa.. siku anastaafu alituzwa kwa kazi nzuri aliyofanya.

Sio ukiambiwa nyodo unawaza kutombana tu. Kuna nyoda za aina nuingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyodo kwa akili aliyonayo kwa vile ni mathematical genius. Na amefanya kaxi nasa.. siku anastaafu alituzwa kwa kazi nzuri aliyofanya.

Sio ukiambiwa nyodo unawaza kutombana tu. Kuna nyoda za aina nuingi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ww ndio umemuwekea hiyo nyodo.... stupid....alafu nani alikudanganya hesabu ni somo gumu ....labda kama ww ni kiazi...madem wanalingia k zao kutokana na uzuri wao....wp uliona mwanamke analingia akili....ww mbwisye kweli ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…