Bi. Khadija MKE wa Mtume Muhammad ndio Sampuli ya Mke Bora ambaye unaweza kufanya naye Maisha

1. Mke mwema hawezi akamuacha mmeweazini na vijakazi.

2. Mke mwema hawezi KUMUACHA MUMEWE ANYONYE NDIMI ZI AKINA ALHASSAN.

3. Mke mwema hawezi KUMUACHA MUMEWE aue WATU.

4. Mke mwema hawezi akamshauri mmeae KUOA mtoto wa miaka sita.

5. Mke mwema hawezi KUMUACHA mumewe akazini na kijakazi.

6 mke mwema hawezi akamshauri MUMEWE AKAE uchi.
 
🤣🤣🤣🤣Eti Mapenzi khaaa!mmmh mmmmmh hapana watu mna mbinu jamani

Ukishakutana na Mwanaume kama Mimi ukaingia kwenye mapenzi na Mimi Kutoka ni kipengele kikubwa. Hii Dunia yote utaiona ni yako. 😀😀 Najua utaona najipakulia minyama, lakini wanawake wenzako walioolewa na wanaume wa Aina yangu watakuambia.🏃🏃
 
🤣🤣🤣🤣Hapo kwanza ncheke!
Maana nimetoka Sasa hivi kumsikiliza mganga wa Diva the bawse ameongea sentence hivihivi!kumbe Sasa kinyume chake,,,,,🤣🤣🤣🤣🤣hiiiiiiiiii.
 
🤣🤣🤣🤣Hapo kwanza ncheke!
Maana nimetoka Sasa hivi kumsikiliza mganga wa Diva the bawse ameongea sentence hivihivi!kumbe Sasa kinyume chake,,,,,🤣🤣🤣🤣🤣hiiiiiiiiii.

Siku ukipata mwanaume WA Aina yangu utakumbuka kauli na maneno yangu. Muombe Mungu tuu!
Hao wengine sijui kina Diva siwajui Mimi
 
Siku ukipata mwanaume WA Aina yangu utakumbuka kauli na maneno yangu. Muombe Mungu tuu!
Hao wengine sijui kina Diva siwajui Mimi
Kwenye suala la mwanaume aisee Nina mwanaume special sana,.... lovable, supportive economically and spiritually...huyu huyu ananitosha sitamani mwingine Namshukuru Mungu Kwa ajili yake....(sio kwamba hamna changamoto,zinavumilika)
 
Sijaona hata kitu Cha maana Ulicho kiandika

Labda ungeniambia Mke WA MTUME ALIKUWA na sifa ZIFUATAZO.......

Umeandika UMBEA.
Nilikuwa NAKUHESHIMU kumbe ndio wale wale....
 
Kwenye suala la mwanaume aisee Nina mwanaume special sana,.... lovable, supportive economically and spiritually...huyu huyu ananitosha sitamani mwingine Namshukuru Mungu Kwa ajili yake....(sio kwamba hamna changamoto,zinavumilika)

Vizuri.
Hayohayo uliyoyataja hakikisha unamfanyia vivyohivyo. Ili naye akiulizwa ajibu kuwa amepata Mwanamke special mwenye Sifa hizohizo ulizotaja.

Hicho ndicho ninachoandikaga humu. Ila ninyi vichwa ngumu hamtaki kunielewa
 
Sijaona hata kitu Cha maana Ulicho kiandika

Labda ungeniambia Mke WA MTUME ALIKUWA na sifa ZIFUATAZO.......

Umeandika UMBEA.
Nilikuwa NAKUHESHIMU kumbe ndio wale wale....

Acha Hasira Mkuu.
Bi. Khadija ni moja ya Wanawake Bora kuliko unavyotaka kumueleza, sio kwamba Hana mapungufu Ila ubora wake wengi Hawana.

Unafikiri kuwa MKE wa MTUME mashuhuri ni Jambo Dogo?
Hivi unajua Muhammad anawafuasi wangapi Duniani tangu kuanzishwa Kwa uislam mpaka Dunia itakapofika tamati?

Ukiona kila muislam Duniani iwe unampenda au haumpendi basi huo ni mchango na matokeo ya Bi. Khadija.
 
BI KHADIJA apewe maua yake
Baada ya kufariki Bi Khadija Mtume (s.a.w) alioa wake wengine kibao, tena walikua ni pisi kali kwelikweli lakini kila siku alikua anamtaja Bi Khadija mpaka wake zake wengine wakawa wanaona wivu na kulalamika.
Mashaallah Bi Khadija alikua ni mke na nusu, yaani alijua kuisimamia ndoa yake mpaka Mtume wetu mwenyewe akapagawa kwa mahaba ndindindiiii aliyoyapata toka kwa Bi Khadija.
Wanawake kama Bi Khadija wana nafasi yao special kabisa peponi.
 
Vizuri.
Hayohayo uliyoyataja hakikisha unamfanyia vivyohivyo. Ili naye akiulizwa ajibu kuwa amepata Mwanamke special mwenye Sifa hizohizo ulizotaja.

Hicho ndicho ninachoandikaga humu. Ila ninyi vichwa ngumu hamtaki kunielewa
🤣🤣🤣🤣Am lovable and supportive spiritually namuombea sana azidi kufanikiwa.
 
umenifungua sana, shukrani
 
🤣🤣🤣🤣Am lovable and supportive spiritually namuombea sana azidi kufanikiwa.

Hakuna kitu kama hicho.
Mambo ya rohoni hudhihirika Kwa Njia ya mwili.
Imani pasipo Matendo imekufa.

Ninyi ndio wachungaji matapeli. Mnaombea Watu alafu ninyi mnataka mpewe Pesa, sadaka. Utapeli tuu
 
🤣🤣🤣🤣🤣Haki Umenichekesha Leo .

Acheni Utapeli wenu.

Ni Sawa na Baba Hatoi Pesa ya matunzo Kwa mtoto alafu mtoto anasomeshwa na wengine alafu mwenyewe anakuambia nilikua nakuombea. Uhuni na Utapeli mtupu!

Sema nisamehe mwanangu, sikuwa Baba Bora kwako, sikuwajibika. Watu tutakuelewa sio useme nilikuwa nakuombea. Tangu lini maombi yakasomesha au kutunza mtu?

Maombi na maneno matupu ni Lugha za matapeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…