RIP malkia wa taarab Nasam Hamis 'kidogo'
Masanilo,,.....hapa tunatoa heshima kwa marehemu, we habari ya kuugua kwa muda mrefu inaanzia wapi tena.....
lakini aliyekuwa akinuvutia zaidi ni marehemu LAYLA KHATIB
RIP Bi Nasma Kidogo ulileta changamoto sana kwa Bi.Khadija Kopa kipindi kile cha miaka ya mwisho ya 90... Muungano Cultural Troupe.