mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Oho God. Mzee wa watu , Mtanzania huyu. Kipigo kimemfanya atoke duniani. Hiki kilio hakitawaaacha salama wanasiasa na vyombo vilivyoshiriki kuwatesa Watanzania .
Nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Bi Saada Ali Hassan ambaye amefariki majira ya saa saba za usiku katika hospital ya Mnazi Mmoja. Idadi waliopoteza maisha yao kama sehemu ya uchaguzi inaongezeka
Poleni wafiwa na HAKI itapatikana tu Insha’Allah Pumzika kwa amani
Nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Bi Saada Ali Hassan ambaye amefariki majira ya saa saba za usiku katika hospital ya Mnazi Mmoja. Idadi waliopoteza maisha yao kama sehemu ya uchaguzi inaongezeka
Poleni wafiwa na HAKI itapatikana tu Insha’Allah Pumzika kwa amani