Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama bibi alitoka nje kwenda kupambana zaidi ya kufuatwa alipokuwa amejipumzisha.Wakati tunawaonya kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi, wengi mlikaza shingo.
R.i.P Bibi, yamkini ungelijua kwamba leo ulie mpigania ndio kwanza anakula meza moja na mtesi wako...😪
🤣🤣🤣Kwenye hili paskali anaweza kuja kutoa hoja mpka ukasema ndio huyu au?
Inasemekana bibi aliposikia Maalim anaenda kuunga mkono juhudi, aliona bora ajifie tu.Oho God. Mzee wa watu , Mtanzania huyu. Kipigo kimemfanya atoke duniani. Hiki kilio hakitawaaacha salama wanasiasa na vyombo vilivyoshiriki kuwatesa Watanzania .
Nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Bi Saada Ali Hassan ambaye amefariki majira ya saa saba za usiku katika hospital ya Mnazi Mmoja. Idadi waliopoteza maisha yao kama sehemu ya uchaguzi inaongezeka
Poleni wafiwa na HAKI itapatikana tu Insha’Allah Pumzika kwa amani
View attachment 1644429
Alipigwa na polisi baada kukutwa eneo ambalo polisi waliliona kama la vurugu, huamini nini sasa ?, watu wengi wamedhuriwa na polisi kwa ujinga wa polisi, polisi makini anatumia akili yake kabla ya kuchukua hatua yoyote ambayo inaweza kudhuru, wangapi wamejeruhiwa na polisi wakiwa hawana makosa ?, hawa policcm ni wa kulaani kwa nguvu zote na pia serikali haiwezi kukwepa laana ya damu iliyomwagika hapoUsimtetee kabisa maana alikuwa akiongea anaweka msisitizo wa ushari na kuhamasisha vurugu, viko wapi sasa leo anaapishwa wengine wanauguza majeraha, Visiwani igeni tabia ya Bara wenzenu tunawasikiliza tu na kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii lakini kwenye vurugu huwa tunawaambia watangulie wao na familia zao na Sisi tuwafuate,
Ila huyu mama yangu sijui yamemsibu yepi maana siamini kama alishiriki ktk vurugu
Maandamano yanaweza kuwepo kisheria,je kibali cha kuandamana wanacho pia? Mbaya zaidi ndio hao viongozi wao wanaungana kuendelea kula bata. Inaumiza sana, ila na sisi raia tuwe makini na ushawishi wa wanasiasa njaa,wanatutumia kisha wanatuacha tufe.Hivi nyinyi wengine mbona huwa wapumbavu saana!! sasa hapa unashabikia ujinga wa police wa ccm ?, stupid kabisa, hivi mnadhanai tukiendelea kuwachekea hawa polisi kuna siku watakuja kuheshimu haki za binadamu ?
Ujue, hakuna mahala popote ambapo polisi anaruhusiwa na sheria kumpiga mtu, sheria inataka mtu anapokosa apelekwe mbele ya mahakama, Hakimu ndie anaeweza kutoa hukumu, sasa hapa polisi wanapiga na kujeruhi watu kabla ya kuwapeleka mahakamani, ni kosa kubwa polisi kumpga mtu anapokuwa kwenye maandamano kwa sababu maandamano yapo kwa mujibu wa sheria za nchi, sio za ccm
Hii si bure ni laana, hivi mtu mzima kama huyo unaanzaje hata kumpiga kibao??? Hata kama kakuudhi vipi au kakukera vipi aise (Achilia mbali kuandamana au kuvaa nguo za upinzani).
Za huko kwenu ni zipi?"Sidhani"? Ndio kauli za afrika
Kweli kabisa, wakoloni waliyaandika ili watumwa tuishi kwa amani. Kwa utawala wa wakoloni.Hayo maandiko sometime si ya kuyaamini sana
Maalim ni mtu wa kutumia watu kwa maslahi yake binafsiMaalim anaona poa tu ili mradi yeye ale.
Na nyie CCM mnamtumia kwa uroho wake wa madaraka na pesaMaalim ni mtu wa kutumia watu kwa maslahi yake binafsi