TANZIA Bi. Saada Ali Hassan amefariki Dunia katika hospitali ya Mnazi Mmoja

TANZIA Bi. Saada Ali Hassan amefariki Dunia katika hospitali ya Mnazi Mmoja

Wakati tunawaonya kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi, wengi mlikaza shingo.
R.i.P Bibi, yamkini ungelijua kwamba leo ulie mpigania ndio kwanza anakula meza moja na mtesi wako...[emoji25]
Hujui kilichomtokea huyu bibi, hakuwa sehemu ya walioandamana wala kuingia barabarani... ni bomu lililushwa katika nyumba aliyokuwa amelala..
 
Hujui kilichomtokea huyu bibi, hakuwa sehemu ya walioandamana wala kuingia barabarani... ni bomu lililushwa katika nyumba aliyokuwa amelala..
Sawa!! Bomu lilikuwa wanataka kumpiga nani?
 
Lakini huyu bibi alipigwa bomu chumbani kwake.
Wakati tunawaonya kwamba kuna maisha baada ya uchaguzi, wengi mlikaza shingo.
R.i.P Bibi, yamkini ungelijua kwamba leo ulie mpigania ndio kwanza anakula meza moja na mtesi wako...[emoji25]
 
Oho God. Mzee wa watu , Mtanzania huyu. Kipigo kimemfanya atoke duniani. Hiki kilio hakitawaaacha salama wanasiasa na vyombo vilivyoshiriki kuwatesa Watanzania .

Nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Bi Saada Ali Hassan ambaye amefariki majira ya saa saba za usiku katika hospital ya Mnazi Mmoja. Idadi waliopoteza maisha yao kama sehemu ya uchaguzi inaongezeka

Poleni wafiwa na HAKI itapatikana tu Insha’Allah Pumzika kwa amani



View attachment 1644429

Damu yake itamlilia fulani yeye mpaka kizazi chake cha nne.
 
vijana wanakuwa wamejikunyata mpaka bibi zao wanalazimika kwenda frontline
 
Mkuu lakini Maalim Seif sie aliyemdhuru huyu Mama, ni policcm ndio wanastahili lawama/laana hizo
Lakini Mama si alikua miongoni mwa Watu waliokua wanatekeleza maagizo ya Maalimu Seifu,ya uvunjifu wa Sheria!?
 
Sijaweka mzaha mimi nimesema huyo mama alikua chumbani kwake bomu likapigwa ndani kwakesasa hapo unataka kusema alikua anaandamana?
Wewe wenyewe umeweka mzaha kwenye hilo.
 
Back
Top Bottom