Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
wenzake wapo ikulu kuapishana , ila Mungu yupo na hana hasiraNdio bibi kafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wenzake wapo ikulu kuapishana , ila Mungu yupo na hana hasiraNdio bibi kafa
Kwahiyo wewe bado unaamini kuwa Tundu Lissu anapigania masrahi yako?Maalim anaona poa tu ili mradi yeye ale.
Oho God. Mzee wa watu , Mtanzania huyu. Kipigo kimemfanya atoke duniani. Hiki kilio hakitawaaacha salama wanasiasa na vyombo vilivyoshiriki kuwatesa Watanzania .
Nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Bi Saada Ali Hassan ambaye amefariki majira ya saa saba za usiku katika hospital ya Mnazi Mmoja. Idadi waliopoteza maisha yao kama sehemu ya uchaguzi inaongezeka
Poleni wafiwa na HAKI itapatikana tu Insha’Allah Pumzika kwa amani
View attachment 1644429
Mkuu lakini Maalim Seif sie aliyemdhuru huyu Mama, ni policcm ndio wanastahili lawama/laana hizo
Lao mojaMkuu lakini Maalim Seif sie aliyemdhuru huyu Mama, ni policcm ndio wanastahili lawama/laana hizo
Hata maandiko ya vitabu vya Dini yanasema tii sheria za watawala wa nchi.
Sitaki maslahi, nataka Demokrasia ya kweli, thme huru ya uchaguzi na Uhuru wa kujielezaKwahiyo wewe bado unaamini kuwa Tundu Lissu anapigania masrahi yako?
Maandamano sio vurugu japo yanaweza kugeuka vurugu.Tafsiri sahihi ya maandamano ni VURUGU!. sasa inakuwaje uambiwe kuandamana na anaekuambia hashiriki? Jihoji halafu ukipata jibu chukua hatua.
Bibi hakuandamana bhana acha kumzushia.vijana wanakuwa wamejikunyata mpaka bibi zao wanalazimika kwenda frontline
Hivyo ni kosa lake?Kisayansi unapozidi kuwa mzee akili zinakuwa za kitoto
Vitabu vinataka kura ziibwe ili uwe katika hayo mamlaka!Hata maandiko ya vitabu vya Dini yanasema tii sheria za watawala wa nchi.
Labda Kama huamini kitabu chote cha maandiko ya dini, huwezi sema unachagua mistari ya kuamini na mingine usiaminiHayo maandiko sometime si ya kuyaamini sana
bomu liliingia ndani mwakeIla huyu mama yangu sijui yamemsibu yepi maana siamini kama alishiriki ktk vurugu
Halafu kuna mtu anaomba ndimu achachue mnofu wakati ndio alikuwa chanzo.bomu liliingia ndani mwake