TANZIA Bi. Saada Ali Hassan amefariki Dunia katika hospitali ya Mnazi Mmoja

TANZIA Bi. Saada Ali Hassan amefariki Dunia katika hospitali ya Mnazi Mmoja

Oho God. Mzee wa watu , Mtanzania huyu. Kipigo kimemfanya atoke duniani. Hiki kilio hakitawaaacha salama wanasiasa na vyombo vilivyoshiriki kuwatesa Watanzania .

Nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha Bi Saada Ali Hassan ambaye amefariki majira ya saa saba za usiku katika hospital ya Mnazi Mmoja. Idadi waliopoteza maisha yao kama sehemu ya uchaguzi inaongezeka

Poleni wafiwa na HAKI itapatikana tu Insha’Allah Pumzika kwa amani



View attachment 1644429

Who is she na alifanya nini? Mbona story fupi za mafumbo?
 
Ushauri wangu tu kwa wadau humu
Acheni na mambo ya wanasiasa kuwasikiliza
Ishini maisha yenu wanasiasa wanawatumia watu kama mitaji tu

Ova
 
Tafsiri sahihi ya maandamano ni VURUGU!. sasa inakuwaje uambiwe kuandamana na anaekuambia hashiriki? Jihoji halafu ukipata jibu chukua hatua.
Maandamano sio vurugu japo yanaweza kugeuka vurugu.

RIP Bibi...
 
kila mtu hulipwa haki yake anayostahili Maalim SEIF kapewa umakamu wa uraisi na wengine wamepewa ngeu na vilema kama haki yao ya kukataa kutii sheria bila shuruti

Ni wajibu wa kila mmoja kushukuru kwa alichopata kama haki yake
 
Huyu Bibi alipigwa akiwa wapi? Au walijua kavaa masiki mpaka kumshushia kipigo!?
 
Ndio maana nikiwaona tu polisi popote kuna hasiraaa inanijia.
 
Back
Top Bottom