Upanga ilikuwaga mashamba kumbe nayo pia aisee;What Diamond's Mother Said About Her Lover Cheating and Fathering Child With Younger Woman - Nairobi Wire
Sandra Kassim, the mother of Bongo superstar Diamond Platnumz, has responded to reports that her lover Rally Jones cheated on her and impregnated a much younger woman. The said woman, only identified as Sharifa, reportedly gave birth recently. In an audio recording shared widely in Tanzania’s...nairobiwire.com
Mama mtoto anaitwa Sharifa Tambaza. Kwa wasioujua huu ukiona wa Tambaza ulimiliki ardhi ya Upanga kama mashamba yao miaka hiyooo.
Yule dada sijui Domo alimfanya niniMange kamkalia kooni Bibi Sandra hahaha mjini hatuhami jamani hata ukiwa na stress unajikuta zimeisha
Hahahaha,Shamte kafika, yeye anasemaga Kigoma mwisho wa reli kapata bingwa sasa, mama ana mdomo kama nn jamaniKuna mahodari zaidi yake
Nadhan ule mchakato wa Dimonda are forever uliwagegedesha,Zaman nilikua nadhan ni kwa sababu ya kuachana na Wema kumbe nilibugiWalionjana wale wakaachana kwenye utamu si bure
Mie nahisi huwa anampenda sana Domo basi tuYule dada sijui Domo alimfanya nini
Kijana alimchagua Wema over dada yake nisikiavyo dada ni uzuri wa mkakasi ndani hukoo hygiene ni 0Nadhan ule mchakato wa Dimonda are forever uliwagegedesha,Zaman nilikua nadhan ni kwa sababu ya kuachana na Wema kumbe nilibugi
Bibi ana jinasibu ana watoto ma super star wanatingisha jiji. Bi Sandra taratibu basi.Kuwa na umri wa bi Sandra halafu uolewe na mwanaume mwenye umri wa Shamte na ujihakikishie upo mwenyewe ni ujinga, Shamte anahitaji watoto na anahitaji maendeleo, kulelewa na kupangiwa safari na Sandra kwake ni project tu ya kumuingizia kipato na ufanya utalii wa dunia hii. Kuna siku atamtema kabisa bibi.
Yaani hata Isma nae anatingisha jiji? Huyo domo anaejivunia angemuelekeza njia bora ya family asije ishia kufugwa kama yeye anvyofugwa, yaani kumbe hata nyumba mpya ya Domo amepanga..madale tu ndio kajenga.Bibi ana jinasibu ana watoto ma super star wanatingisha jiji. Bi Sandra taratibu basi.
Shangaa wewe wakati Jumba la vioo la babu Mengi tumelijua kisa msiba.Yaani hata Isma nae anatingisha jiji? Huyo domo anaejivunia angemuelekeza njia bora ya family asije ishia kufugwa kama yeye anvyofugwa, yaani kumbe hata nyumba mpya ya Domo amepanga..madale tu ndio kajenga.
Mama angeacha kusifi mtoto amuelekeze awekeze maana haijui kesho, huyo mama mwanae akipotea leo atapata tabu sana, Domo awekeze mama asimamie miradi aache kujitangaza mitandaoni kama binti wa miaka 18.Shangaa wewe wakati Jumba la vioo la babu Mengi tumelijua kisa msiba.