Mzee wangu alikuwa wapi kujikatia kapori pale posta!
Unajijua kabisa kuwa umekuwa fursa lakini unapata mtu wa kuku massage mpaka masagamba ta miguu.
Hii no sokoine drive...jengo linaloonekanani kulia ni mahakama kuu na jengo la kushoto lilikua ni court house lilivunjwa kupisha ujenzi wa kilimanjaro hotelView attachment 1127161
Aisee! Mamako naye kicheche anakula viben10 kama huyu? Mara ingine usiwe unaandika out of mind, utamdhalilisha mama yako bure.Kwani uongo mbona hatumjadili mama angu humu si vile sijulikani
Asante Mungu akubarikiAisee! Mamako naye kicheche anakula viben10 kama huyu? Mara ingine usiwe unaandika out of mind, utamdhalilisha mama yako bure.
Mie nahisi huwa anampenda sana Domo basi tu
Mzee wangu alikuwa wapi kujikatia kapori pale posta!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]babangu ana bonge la pori mnazi mmoja
Bora ya shilole mume wake fundi gereji
Jamaa namjua vzr ni mtu ambaye anapendaga kulelewa
Kitambo sana ndy style zake
Ila alipompata mama hyu duh nkaonaga kweli sasa Mai amepata[emoji23]
Hyu mluguru ni balaa kwa wale wa moro watakuwa wnamjua
Ila acha tumwache maana kuna wakati alipitia wkt mgumu kdg
Ovva
The issue here ni ukoo wa Tambaza sidhan kama tumeongelea shule....pia nimepita hapo mid 90s
Mama angeacha kusifi mtoto amuelekeze awekeze maana haijui kesho, huyo mama mwanae akipotea leo atapata tabu sana, Domo awekeze mama asimamie miradi aache kujitangaza mitandaoni kama binti wa miaka 18.
Sio kweli mbona ni hakuna anaenipenda kikweli ila naenjoy kupendewa pesa ,nikituma mm SMS njo nkutie anaachana na true lv anakuja ,demu unauhakika anakupendea hela unamla ka Malaya raha sana ,hakuna kufumaniwa wala uko wapi ? Plus service wasizopewa wanakula bure kwa kutargetiwa ndoaUkiona mtu anakupenda kwa ajili ya pesa zako basi andika umeumia.
Na hili ni tatizo kwa 80% ya wanawakeKijana alimchagua Wema over dada yake nisikiavyo dada ni uzuri wa mkakasi ndani hukoo hygiene ni 0