Bi Sandra mbona kam unfollow Rayvan Insta? kulikoni?

Bi Sandra mbona kam unfollow Rayvan Insta? kulikoni?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Kuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.

Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.


Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?
 
Kuna uwezekano mkubwa bi Sandra kuwa ndiye anayechochea suala la udini ndani ya wasafi.

Huwezi kuamini yani ,kisa Rayvan mkristo bi Sandra kaamua kumkataa kimtindo kwa kutomfollow ,na ukichunguza kwa makini zaidi utagundua hakuna mkristo hata mmoja ambaye Bi Sandra amemfollow ,na kama itatokea kuna mkristo amemfollow basi huyo ni team Bi Sandra kupindua ambaye 24/7 anakesha insta kumpamba Bi Sandra.


Ila yote tisa, kumi ni hili suala la kumkwepa au kumkataa pia Queen Darlin, sasa sijui kisa ni mtoto wa mke mwenza kwa mzee Abdul?
Je Bi Sandra kakuambia au unabuni majungu??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom