Bi. Sophia Edward Mjema sioni kama atadumu kwenye nafasi ya uenezi kuelekea 2025

Bi. Sophia Edward Mjema sioni kama atadumu kwenye nafasi ya uenezi kuelekea 2025

May be CCM imekosa watu sahihi sehemu sahihi: unapozungumzia Katibu wa kueneza (Mwenezi) tunatarajia awe mtu mwenye uwezo wakueneza, Mtu wakuweka mambo kichwani (anasoma machache anazungumza mengi) , mwenye maarifa na anayeifahamu nchi kijiografia na kimtawanyiko WA silka na Tabia. Huyu mama sioni kama anazo qualities zinazohitajika

Anaweza akawa mzuri kuandika au kujenga hoja ndani ya chama Ila siyo kwenye majukwaa. Anaweza akawa na connection Ila siyo kumkabidhi kiti kama hiki.

CCM Kwa sasa ina Katibu Mkuu asiye na ushawishi mkubwa na anayechipukia, ilipaswa iwe na Mwenezi kutoka kwenye siasa za majukwaa...watafute mtu wa lumuli nyingi contrary watakuja kushtuka uchaguzi huu hapa, mazingira magumu itawalazimu kurudi kwenye goli la mkono
CCM haina watu wengine tena , imefikia mwisho wake wa kawaida , hakuna kinachodumu milele
 
May be CCM imekosa watu sahihi sehemu sahihi: unapozungumzia Katibu wa kueneza (Mwenezi) tunatarajia awe mtu mwenye uwezo wakueneza, Mtu wakuweka mambo kichwani (anasoma machache anazungumza mengi) , mwenye maarifa na anayeifahamu nchi kijiografia na kimtawanyiko WA silka na Tabia. Huyu mama sioni kama anazo qualities zinazohitajika

Anaweza akawa mzuri kuandika au kujenga hoja ndani ya chama Ila siyo kwenye majukwaa. Anaweza akawa na connection Ila siyo kumkabidhi kiti kama hiki.

CCM Kwa sasa ina Katibu Mkuu asiye na ushawishi mkubwa na anayechipukia, ilipaswa iwe na Mwenezi kutoka kwenye siasa za majukwaa...watafute mtu wa lumuli nyingi contrary watakuja kushtuka uchaguzi huu hapa, mazingira magumu itawalazimu kurudi kwenye goli la mkono
Saahisha Mafue pressure itakuua.
 
Hiyo nafasi kwa sasa imekiea ya majalibio!
 
May be CCM imekosa watu sahihi sehemu sahihi: unapozungumzia Katibu wa kueneza (Mwenezi) tunatarajia awe mtu mwenye uwezo wakueneza, Mtu wakuweka mambo kichwani (anasoma machache anazungumza mengi) , mwenye maarifa na anayeifahamu nchi kijiografia na kimtawanyiko WA silka na Tabia. Huyu mama sioni kama anazo qualities zinazohitajika

Anaweza akawa mzuri kuandika au kujenga hoja ndani ya chama Ila siyo kwenye majukwaa. Anaweza akawa na connection Ila siyo kumkabidhi kiti kama hiki.

CCM Kwa sasa ina Katibu Mkuu asiye na ushawishi mkubwa na anayechipukia, ilipaswa iwe na Mwenezi kutoka kwenye siasa za majukwaa...watafute mtu wa lumuli nyingi contrary watakuja kushtuka uchaguzi huu hapa, mazingira magumu itawalazimu kurudi kwenye goli la mkono
Nimekuelewa SANA na naunga mkono hoja
 
May be CCM imekosa watu sahihi sehemu sahihi: unapozungumzia Katibu wa kueneza (Mwenezi) tunatarajia awe mtu mwenye uwezo wakueneza, Mtu wakuweka mambo kichwani (anasoma machache anazungumza mengi) , mwenye maarifa na anayeifahamu nchi kijiografia na kimtawanyiko WA silka na Tabia. Huyu mama sioni kama anazo qualities zinazohitajika

Anaweza akawa mzuri kuandika au kujenga hoja ndani ya chama Ila siyo kwenye majukwaa. Anaweza akawa na connection Ila siyo kumkabidhi kiti kama hiki.

CCM Kwa sasa ina Katibu Mkuu asiye na ushawishi mkubwa na anayechipukia, ilipaswa iwe na Mwenezi kutoka kwenye siasa za majukwaa...watafute mtu wa lumuli nyingi contrary watakuja kushtuka uchaguzi huu hapa, mazingira magumu itawalazimu kurudi kwenye goli la mkono
Hiyo nafasi wangempa Jesca Msambatavangu-Mbunge Iringa Mjini!
 
Back
Top Bottom