Bia Bingwa imerudi?

Bia Bingwa imerudi?

Hiyo biere sitokuja kuisahau,2000+ years niliwahi kuishobokea kwa fujo Kama chupa nne hivi za baridi, nilijamba cheche siku hiyo.

Pale soko jipya kawe enzi hizo nilikuwa naishi mbezi chini.

Aseee ilikuwa saa 10 jioni hivi ilipofika saa 12 nikawasha pira mpaka home sikumbuki nilifikaje hapo naamini malaika wapo.

Mbaya zaidi nilikuwa peke yangu home, wameanza kurudi alikuwa mshua. Asee mshua aligonga kengele hola, alipiga simu yangu hola,

ilibidi abonye security alarm maana alikuwa anatembea nayo kwenye Gari. Ndiyo wakaja hao knights support wakaruka ukuta kuingia ndani wakakuta nimekata moto, Ilibidi niwekewe drip.

Baada ya hapo mshua akasema Sasa bongo hii uhame utakufa kabla Mungu kupenda hicho ndiyo chanzo Cha kwenda State.

Sikuiyona Tena hiyo bia hivyo kama bado ipo nitaitafuta pambano lirudiwe maana ilinipiga kwa TKO first round.
 
Ipo sanaaaa kreti ni 25,100/= unakunywa hadi unajinyea tatu tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ongeza maji mkuu chumvi nyingi mnooo!!!
 
Hiyo biere sitokuja kuisahau,2000+ years niliwahi kuishobokea kwa fujo Kama chupa nne hivi za baridi, nilijamba cheche siku hiyo.

Pale soko jipya kawe enzi hizo nilikuwa naishi mbezi chini.

Aseee ilikuwa saa 10 jioni hivi ilipofika saa 12 nikawasha pira mpaka home sikumbuki nilifikaje hapo naamini malaika wapo.

Mbaya zaidi nilikuwa peke yangu home, wameanza kurudi alikuwa mshua. Asee mshua aligonga kengele hola, alipiga simu yangu hola,

ilibidi abonye security alarm maana alikuwa anatembea nayo kwenye Gari. Ndiyo wakaja hao knights support wakaruka ukuta kuingia ndani wakakuta nimekata moto, Ilibidi niwekewe drip.

Baada ya hapo mshua akasema Sasa bongo hii uhame utakufa kabla Mungu kupenda hicho ndiyo chanzo Cha kwenda State.

Sikuiyona Tena hiyo bia hivyo kama bado ipo nitaitafuta pambano lirudiwe maana ilinipiga kwa TKO first round.
Dah kwahiyo upo State?
 
Mtoa mada
utakua wee sio mnywaji.

Chuma hiki apa[emoji116]
images-49.jpg
 
Bia Bingwa haikuachwa kutengenezwa, ipo siku zote. Kilichopo ni kwamba inauzwa sehemu ambazo mtengenezaji anajua ndiko kwenye mahitaji makubwa. Sehemu za mijini ambako ukinywa unachekwa kuwa huna hela hutazipata
 
Usicheze na huo mziki Kuna mtu mzima aliupiga akaanza kuongea kitoto .Badala ya kusema 'Shwari' akawa akiambiwa mambo anajibu ' Nchwariii'.
 
Back
Top Bottom