Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa! Maendeleo hayo, mhSiku hizi mtu anakata kreti ya bingwa na bado yupo njema
Duh pole mkuu. Ukaamua kuikimbia mpaka States?....!!!!Hiyo biere sitokuja kuisahau,2000+ years niliwahi kuishobokea kwa fujo Kama chupa nne hivi za baridi, nilijamba cheche siku hiyo.
Pale soko jipya kawe enzi hizo nilikuwa naishi mbezi chini.
Aseee ilikuwa saa 10 jioni hivi ilipofika saa 12 nikawasha pira mpaka home sikumbuki nilifikaje hapo naamini malaika wapo.
Mbaya zaidi nilikuwa peke yangu home, wameanza kurudi alikuwa mshua. Asee mshua aligonga kengele hola, alipiga simu yangu hola,
ilibidi abonye security alarm maana alikuwa anatembea nayo kwenye Gari. Ndiyo wakaja hao knights support wakaruka ukuta kuingia ndani wakakuta nimekata moto, Ilibidi niwekewe drip.
Baada ya hapo mshua akasema Sasa bongo hii uhame utakufa kabla Mungu kupenda hicho ndiyo chanzo Cha kwenda State.
Sikuiyona Tena hiyo bia hivyo kama bado ipo nitaitafuta pambano lirudiwe maana ilinipiga kwa TKO first round.
Hakipatikani kanda ya kaskazini mkuu. Juzi rafiki yangu alitoka Iringa ndo akaleta chache kama zawadi
Nashangaa huku hawatuletei. Juzi rafiki alituletea kama zawadi kutoka Iringa, tulizivamia kama simba wananyang'anyana ngiri Serengeti!MBONA MBEYA ZIPO BUKU JERO
Vijana wanaounguza maini yao kwa spirits wako wengi mijini. Hii ingewafaa sana.Bia Bingwa haikuachwa kutengenezwa, ipo siku zote. Kilichopo ni kwamba inauzwa sehemu ambazo mtengenezaji anajua ndiko kwenye mahitaji makubwa. Sehemu za mijini ambako ukinywa unachekwa kuwa huna hela hutazipata
Bia Bingwa haikuachwa kutengenezwa, ipo siku zote. Kilichopo ni kwamba inauzwa sehemu ambazo mtengenezaji anajua ndiko kwenye mahitaji makubwa. Sehemu za mijini ambako ukinywa unachekwa kuwa huna hela hutazipata
Solution ni kuipandisha bei. Mimi nikiiuza kwenye bar yangu nitaiuza kwa 2000/=Bia Bingwa haikuachwa kutengenezwa, ipo siku zote. Kilichopo ni kwamba inauzwa sehemu ambazo mtengenezaji anajua ndiko kwenye mahitaji makubwa. Sehemu za mijini ambako ukinywa unachekwa kuwa huna hela hutazipata
Yan kuna bia imejengeka tu iman kuwa ni za watu choka mbaya...Solution ni kuipandisha bei. Mimi nikiiuza kwenye bar yangu nitaiuza kwa 2000/=
Good ideaSolution ni kuipandisha bei. Mimi nikiiuza kwenye bar yangu nitaiuza kwa 2000/=
Ni mawazo mgando tu. Kwa kweli bia nyingi zinakosa soko si kwa sababu ya ubora bali mtazamo hasi tu.Yan kuna bia imejengeka tu iman kuwa ni za watu choka mbaya...
Serengeti lite 1500 ukinywa baaa unaonekana kawaida tu..
Ila Pilsner 1500, bingwa 1500 ukinywa unaona sijui umevuruguwa au umefilisika
na ka-bange kamoja........then punyeto....unalala....Sio kweli mm hyo napiga kama sita na Kvant naongezea
Kuna wakati fulani kulikuwa na sherehe nyumbani kwa jamaa mmoja sisi walituweka kwenye kitengo cha vinywaji, bia ziliwekwa kwenye mapipa na barafu tulizipiga sanaNakumbuka enzi hizo wanashindanisha Bingwa na The kick kipindi hiko watu walikuwa wanapombeka balaa.
Kabisa Iringa hata Mbeya nishaikuta piaIringa bado wanaitumia.
Kule beer nyingine hizi hulewi, Kuna baridi Kali sana.
Bange na punyeto hapana.na ka-bange kamoja........then punyeto....unalala....
Ewaaaa! Una akili sanaaa! Nakupa offer ya bingwa 5 baridiii
Hivi Maendeleo ni nini?Mnaacha kufanya maendeleo mnakunywa mapombe tu. Hopeless you