Bia Bingwa imerudi?

Bia Bingwa imerudi?

Hiyo biere sitokuja kuisahau,2000+ years niliwahi kuishobokea kwa fujo Kama chupa nne hivi za baridi, nilijamba cheche siku hiyo.

Pale soko jipya kawe enzi hizo nilikuwa naishi mbezi chini.

Aseee ilikuwa saa 10 jioni hivi ilipofika saa 12 nikawasha pira mpaka home sikumbuki nilifikaje hapo naamini malaika wapo.

Mbaya zaidi nilikuwa peke yangu home, wameanza kurudi alikuwa mshua. Asee mshua aligonga kengele hola, alipiga simu yangu hola,

ilibidi abonye security alarm maana alikuwa anatembea nayo kwenye Gari. Ndiyo wakaja hao knights support wakaruka ukuta kuingia ndani wakakuta nimekata moto, Ilibidi niwekewe drip.

Baada ya hapo mshua akasema Sasa bongo hii uhame utakufa kabla Mungu kupenda hicho ndiyo chanzo Cha kwenda State.

Sikuiyona Tena hiyo bia hivyo kama bado ipo nitaitafuta pambano lirudiwe maana ilinipiga kwa TKO first round.
Duh pole mkuu. Ukaamua kuikimbia mpaka States?....!!!!
 
Bia Bingwa haikuachwa kutengenezwa, ipo siku zote. Kilichopo ni kwamba inauzwa sehemu ambazo mtengenezaji anajua ndiko kwenye mahitaji makubwa. Sehemu za mijini ambako ukinywa unachekwa kuwa huna hela hutazipata
Vijana wanaounguza maini yao kwa spirits wako wengi mijini. Hii ingewafaa sana.
 
Bia Bingwa haikuachwa kutengenezwa, ipo siku zote. Kilichopo ni kwamba inauzwa sehemu ambazo mtengenezaji anajua ndiko kwenye mahitaji makubwa. Sehemu za mijini ambako ukinywa unachekwa kuwa huna hela hutazipata

Bia Bingwa haikuachwa kutengenezwa, ipo siku zote. Kilichopo ni kwamba inauzwa sehemu ambazo mtengenezaji anajua ndiko kwenye mahitaji makubwa. Sehemu za mijini ambako ukinywa unachekwa kuwa huna hela hutazipata
Solution ni kuipandisha bei. Mimi nikiiuza kwenye bar yangu nitaiuza kwa 2000/=
 
Yan kuna bia imejengeka tu iman kuwa ni za watu choka mbaya...
Serengeti lite 1500 ukinywa baaa unaonekana kawaida tu..

Ila Pilsner 1500, bingwa 1500 ukinywa unaona sijui umevuruguwa au umefilisika
Ni mawazo mgando tu. Kwa kweli bia nyingi zinakosa soko si kwa sababu ya ubora bali mtazamo hasi tu.
 
Nakumbuka enzi hizo wanashindanisha Bingwa na The kick kipindi hiko watu walikuwa wanapombeka balaa.
Kuna wakati fulani kulikuwa na sherehe nyumbani kwa jamaa mmoja sisi walituweka kwenye kitengo cha vinywaji, bia ziliwekwa kwenye mapipa na barafu tulizipiga sana
Hizo ila hiyo kazi ya kutoa vinywaji ilivyoenda
Acha tuuu watu tulikuwa tingasss mbaya
Yaani vurugu tupu

Ova
 
Bingwa kama Bingwa
images.jpeg-3.jpg


Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom