Bia Bingwa imerudi?

Bia Bingwa imerudi?

Hiyo biere sitokuja kuisahau,2000+ years niliwahi kuishobokea kwa fujo Kama chupa nne hivi za baridi, nilijamba cheche siku hiyo.

Pale soko jipya kawe enzi hizo nilikuwa naishi mbezi chini.

Aseee ilikuwa saa 10 jioni hivi ilipofika saa 12 nikawasha pira mpaka home sikumbuki nilifikaje hapo naamini malaika wapo.

Mbaya zaidi nilikuwa peke yangu home, wameanza kurudi alikuwa mshua. Asee mshua aligonga kengele hola, alipiga simu yangu hola,

ilibidi abonye security alarm maana alikuwa anatembea nayo kwenye Gari. Ndiyo wakaja hao knights support wakaruka ukuta kuingia ndani wakakuta nimekata moto, Ilibidi niwekewe drip.

Baada ya hapo mshua akasema Sasa bongo hii uhame utakufa kabla Mungu kupenda hicho ndiyo chanzo Cha kwenda State.

Sikuiyona Tena hiyo bia hivyo kama bado ipo nitaitafuta pambano lirudiwe maana ilinipiga kwa TKO first round.
Yaani uhamishwe nchi sababu ya kunywa beer? Sema walikufanyia kitu mbaya wahuni wa Kawe maana kule hawachagui,
Pole sana urudi sasa nyumbani watakua wameshasahau tukio.
 
Mi nipo songwe huku mkuu,,, hiyo ndio bia yetu walala hoi,,,[emoji23][emoji23],, maana inauzwa 1500, ukipiga mbili tu mzee unapiga kelele njia nzima Hadi gheto... Sema ukizidisha unaweza kujikatia gogo kabisa
 
Wakuu nimekutana na rafiki yangu Arusha ametoka safarini Iringa amekuta huko bia ya Bingwa akaja na chupa kadhaa. Hii bia kumbe imerudi tena? Ilipotea kitambo sijawahi kuiona.

Ukiwa unainywa ni lazima uwe Jirani ( Mkabala ) sana na Chooni lakini pia Toilet Paper isiwe mbali nawe kwani ukiinywa hiyo Shimo Kuu la Dampo kwa Mwanadamu huwa Wazi kwa Kutiririsha ulivyovila pamoja na Viporo vyako vyote tu.
 
Mi nipo songwe huku mkuu,,, hiyo ndio bia yetu walala hoi,,,[emoji23][emoji23],, maana inauzwa 1500, ukipiga mbili tu mzee unapiga kelele njia nzima Hadi gheto... Sema ukizidisha unaweza kujikatia gogo kabisa
Bia ya kubana matumizi😂
 
Back
Top Bottom