Danpol
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 5,727
- 8,918
Twa madei ...vaveneVaveneee...twa masiku....vavene vavene
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Twa madei ...vaveneVaveneee...twa masiku....vavene vavene
Itakuwa imepunguzwa makali mkuuSiku hizi mtu anakata kreti ya bingwa na bado yupo njema
Msukule wa Lumumba una maendeleo ww?Mnaacha kufanya maendeleo mnakunywa mapombe tu. Hopeless you
Bange na Pombe stata yake inakuwaga ya tofauti sana yaani unawaka zaidi ya moto😀na ka-bange kamoja........then punyeto....unalala....
Njoo nikutoe out nikununulie set nzima ya Bia Bingwa.. ujipigiee hadi roho yako ifurahi.. ukitoka hapo safii unaenda zako kwako kupumzika
Akhaaaa ninywe nijipupulie? SitakiNjoo nikutoe out nikununulie set nzima ya Bia Bingwa.. ujipigiee hadi roho yako ifurahi.. ukitoka hapo safii unaenda zako kwako kupumzika
Maendeleo fanya wewe Jane sie wengine tuache tunyweMnaacha kufanya maendeleo mnakunywa mapombe tu. Hopeless you
Hizo mtu akinywa zinaenda fungua mlango wa haja kwani ? Basi MOET 🙂Akhaaaa ninywe nijipupulie? Sitaki
Yaani uhamishwe nchi sababu ya kunywa beer? Sema walikufanyia kitu mbaya wahuni wa Kawe maana kule hawachagui,Hiyo biere sitokuja kuisahau,2000+ years niliwahi kuishobokea kwa fujo Kama chupa nne hivi za baridi, nilijamba cheche siku hiyo.
Pale soko jipya kawe enzi hizo nilikuwa naishi mbezi chini.
Aseee ilikuwa saa 10 jioni hivi ilipofika saa 12 nikawasha pira mpaka home sikumbuki nilifikaje hapo naamini malaika wapo.
Mbaya zaidi nilikuwa peke yangu home, wameanza kurudi alikuwa mshua. Asee mshua aligonga kengele hola, alipiga simu yangu hola,
ilibidi abonye security alarm maana alikuwa anatembea nayo kwenye Gari. Ndiyo wakaja hao knights support wakaruka ukuta kuingia ndani wakakuta nimekata moto, Ilibidi niwekewe drip.
Baada ya hapo mshua akasema Sasa bongo hii uhame utakufa kabla Mungu kupenda hicho ndiyo chanzo Cha kwenda State.
Sikuiyona Tena hiyo bia hivyo kama bado ipo nitaitafuta pambano lirudiwe maana ilinipiga kwa TKO first round.
Yani ni ndio sielewi kwanini ulikua hivoHizo mtu akinywa zinaenda fungua mlango wa haja kwani ? Basi MOET 🙂
Wakemia walio unda formula ya hiyo kitu sio watu wazuri. Bora mnazo undiwa warembo zinaweza shukia magotini au pale kati patamuu patamuu 😶😶😶Yani ni ndio sielewi kwanini ulikua hivo
yani mkuu badala ya kupata raha unanunua michangaHiyo hela ya kununua hizo bia si bora ununue matofali
Mkemia alitaka muokokeWakemia walio unda formula ya hiyo kitu sio watu wazuri. Bora mnazo undiwa warembo zinaweza shukia magotini au pale kati patamuu patamuu 😶😶😶
HIYO UNATAKIWA UKIWA GETO...ukipinduka uko kwa bed.......sio mtaani.....watakusachi....and so on..... 😎Bange na Pombe stata yake inakuwaga ya tofauti sana yaani unawaka zaidi ya moto😀
Sinunui mchanga nanunua tofaliyani mkuu badala ya kupata raha unanunua michanga
Hahahaha kweli mkuuHIYO UNATAKIWA UKIWA GETO...ukipinduka uko kwa bed.......sio mtaani.....watakusachi....and so on..... 😎
Wakuu nimekutana na rafiki yangu Arusha ametoka safarini Iringa amekuta huko bia ya Bingwa akaja na chupa kadhaa. Hii bia kumbe imerudi tena? Ilipotea kitambo sijawahi kuiona.
Bia ya kubana matumizi😂Mi nipo songwe huku mkuu,,, hiyo ndio bia yetu walala hoi,,,[emoji23][emoji23],, maana inauzwa 1500, ukipiga mbili tu mzee unapiga kelele njia nzima Hadi gheto... Sema ukizidisha unaweza kujikatia gogo kabisa
Michanga...😆😆yani mkuu badala ya kupata raha unanunua michanga