Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Vaveneee...twa masiku....vavene vaveneBia Bingwa ipo, kwa sisi wakata miti Makete huko, hakunaga Serengeti lite.
Hizo ndiyo beer zetu! Mapembelo vavene!
Everyday is Saturday............................... 😎
Wewe ni mmanda au mpoto?Sio kweli mm hyo napiga kama sita na Kvant naongezea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ipo sanaaaa kreti ni 25,100/= unakunywa hadi unajinyea tatu tu!
Dah kwahiyo upo State?Hiyo biere sitokuja kuisahau,2000+ years niliwahi kuishobokea kwa fujo Kama chupa nne hivi za baridi, nilijamba cheche siku hiyo.
Pale soko jipya kawe enzi hizo nilikuwa naishi mbezi chini.
Aseee ilikuwa saa 10 jioni hivi ilipofika saa 12 nikawasha pira mpaka home sikumbuki nilifikaje hapo naamini malaika wapo.
Mbaya zaidi nilikuwa peke yangu home, wameanza kurudi alikuwa mshua. Asee mshua aligonga kengele hola, alipiga simu yangu hola,
ilibidi abonye security alarm maana alikuwa anatembea nayo kwenye Gari. Ndiyo wakaja hao knights support wakaruka ukuta kuingia ndani wakakuta nimekata moto, Ilibidi niwekewe drip.
Baada ya hapo mshua akasema Sasa bongo hii uhame utakufa kabla Mungu kupenda hicho ndiyo chanzo Cha kwenda State.
Sikuiyona Tena hiyo bia hivyo kama bado ipo nitaitafuta pambano lirudiwe maana ilinipiga kwa TKO first round.
Huamini mkuu?Dah kwahiyo upo State?
Nyanda za juu kusiniWewe ni mmanda au mpoto?
Ukanda wetu kule bado zipo nyingi tu.Wakuu nimekutana na rafiki yangu Arusha ametoka safarini Iringa amekuta huko bia ya Bingwa akaja na chupa kadhaa. Hii bia kumbe imerudi tena? Ilipotea kitambo sijawahi kuiona.
Tatu ndo ujinyee??.Basi Wewe hufai kuendelea kunywa bia,hamia tu kwenye soda.Ipo sanaaaa kreti ni 25,100/= unakunywa hadi unajinyea tatu tu!
Hivi yule mtu alikuwa anaitwa Bia yetu yuko wapi au alikufa kwa corona?Wakuu nimekutana na rafiki yangu Arusha ametoka safarini Iringa amekuta huko bia ya Bingwa akaja na chupa kadhaa. Hii bia kumbe imerudi tena? Ilipotea kitambo sijawahi kuiona.
Sisi huku Balimi tunayaita mabia ya Mwanza.Sio Iringa tu kwa kifupi nyanda za juu kusini wanayaita mabia ya Mbeya
Dah kwahiyo upo State?