Bia na kitimoto ipi tamu?

Wewe una akili kuliko Mungu aliyesema ndani ya Biblia na Qur'an kwamba nyama ya kitimoto ni haramu kula???
Biblia imesema pia ngamia, kambale, bata n.k ni haramu lakini nyie kila siku mnafakamia hadi maziwa yake na sisi tupo kimya. Lakini hamuishi kumuandama nguruwe. Why?Relax
 
Biblia imesema pia ngamia, kambale, bata n.k ni haramu lakini nyie kila siku mnafakamia hadi maziwa yake na sisi tupo kimya. Lakini hamuishi kumuandama nguruwe. Why?Relax


I'm relaxing as long as you have confessed kwamba Nguruwe ni haramu. Kwahiyo unakula kwa kichwa ngumu.
 
Kuna jamaa pale mbagala sabasaba anaitwa Dewis yule fundi balaa! anakutengenezea kitimoto na kachumbali na pili vyote vimekatwa kiustadi kama vimekatwa na mashine. Kisha mhudumu anakuletea bia baridi inatoa machozi na jasho, acha kabisa!
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
 
Acha uongo ushoga siyo genetic, mm kijijini kwetu kila nyumba wanafuga nguruwe sijawahi/ona shoga kijijini, wadanganye hao hao
 
Acha uongo ushoga siyo genetic, mm kijijini kwetu kila nyumba wanafuga nguruwe sijawahi/ona shoga kijijini, wadanganye hao hao


Wewe, mimi siongelei kufuga kitimoto, mimi naongelea kula kitimoto, au hujui tofauti ya kufuga na kula???--- kweli wewe ni mtu wa kijijini.
 
Wewe, mimi siongelei kufuga kitimoto, mimi naongelea kula kitimoto, au hujui tofauti ya kufuga na kula???--- kweli wewe ni mtu wa kijijini.
Sasa wewe kwa fikra zako wanaofuga hawali njoo songea-mbinga-mbababay-liuli uone kila nyumba wanafuga na kula, hakuna shoga wala choko, wewe ni mlongo
 
Kitimoto kinasababisha ushoga.

Ile minyoo itakuwa inakuwasha huko kwa anus.
Uta tumia vidole kujikuna na kuona haitoshi, utatumia vitu vingine.


mwisho wa siku tunakukosa.
 
Sasa wewe kwa fikra zako wanaofuga hawali njoo songea-mbinga-mbababay-liuli uone kila nyumba wanafuga na kula, hakuna shoga wala choko, wewe ni mlongo


Wewe unashangaza sana kwa kutojua mila na tamaduni mbalimbali, katika mila na tamaduni za Afrika na Asia mtu kuwa shoga ni aibu kubwa na sio rahisi kumjua shoga katika jamii hizo kama asipojitangaza au asipogundukika hii ni tofauti na jamii za magharibi (Wazungu) wao kujitangaza shoga wanaona ni uhuru na haki na fahari ya mtu mwenyewe mbaya zaidi katika nchi hizo kuna sheria za kutambua ushoga na haki zao zimewekwa na kulindwa.

Huku kwetu Afrika ushoga ni jambo la siri kubwa kuanzia katika familia na ni aibu kubwa kama mtu atajulikana ni shoga matokeo yake atatengwa na jamii nzima na hata akitembea mitaani atanyooshewa vidole kila aendako, hivyo huko Mbinga, mbambabay nk, watakuwepo mashoga wa siri.

Huwezi kula kitimoto sana usipate "Epigenetics" isipokuwa tu kiwango cha Epigenetics ni tofauti kati ya mtu na mtu kama jinsi kiwango cha "gout" ni tofauti kati ya mtu na mtu kwa wanaokula sana nyama ya mbuzi.
 
Hamna noma we jamaa.
Maana nimeandika nimefuta,nimeandika nimefuta.....nimeandika nimefuta!!!
Nimeshindwa kuchagua maana wote hawa in wapendwa.
Say no to apartheid when it comes to Mkuu wa meza na pacha wake beer!
 
Hivi ukiambiwa uchague Bia na Kitimoto utachagua kipi?

Usije kusema vinaendana pamoja [emoji847][emoji847]akili za Naantombe Mushi [emoji847][emoji847][emoji847]
Ngoja nisubiri subiri uzi ufike mbali nitatoa neno baadae kidogo.
Hivi wewe uliwahi kunywa caste lite ya baridi kiasi ukiwa umesimama wewe !alafu uipige mkulu mkulu bila kutoa chupa mdomoni alafu ukija kuitoa unaambatana mcheuo mreeefuu
 
Kuna jamaa pale mbagala sabasaba anaitwa Dewis yule fundi balaa! anakutengenezea kitimoto na kachumbali na pili vyote vimekatwa kiustadi kama vimekatwa na mashine. Kisha mhudumu anakuletea bia baridi inatoa machozi na jasho, acha kabisa!
Nitamtafuta nikija mjini 😆 ni sabasaba ile kwa mpili au maonesho?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…