Bia na kitimoto ipi tamu?

Bia na kitimoto ipi tamu?

Wewe una akili kuliko Mungu aliyesema ndani ya Biblia na Qur'an kwamba nyama ya kitimoto ni haramu kula???
Biblia imesema pia ngamia, kambale, bata n.k ni haramu lakini nyie kila siku mnafakamia hadi maziwa yake na sisi tupo kimya. Lakini hamuishi kumuandama nguruwe. Why?Relax
 
Biblia imesema pia ngamia, kambale, bata n.k ni haramu lakini nyie kila siku mnafakamia hadi maziwa yake na sisi tupo kimya. Lakini hamuishi kumuandama nguruwe. Why?Relax


I'm relaxing as long as you have confessed kwamba Nguruwe ni haramu. Kwahiyo unakula kwa kichwa ngumu.
 
Kuna jamaa pale mbagala sabasaba anaitwa Dewis yule fundi balaa! anakutengenezea kitimoto na kachumbali na pili vyote vimekatwa kiustadi kama vimekatwa na mashine. Kisha mhudumu anakuletea bia baridi inatoa machozi na jasho, acha kabisa!
😂😂😂🤣🤣🤣🤣
 
Ulaji wa sana wa Nyama ya kitimoto unasababisha Ugonjwa uitwao "Epigenetics"---- huu ni ugonjwa unaoshambulia "Genes" za mlaji kitimoto.

Nyama ya kitimoto ni hatari sana kwa maneno mengine ni Sumu kwa binadamu na ndio maana kuna baadhi ya watu ambao miiki yao ni sensitive wakila hata kipande kidogo tu hupata Allergic reaction kali sana, hii maana yake ni kwamba sumu ya hiyo nyama ikiingia mwili ni huenda moja kwa moja kuathiri chembe hai za mwili kwenye "Genes" (Epigenetics).

Katika wanyama "wanaoliwa kimakosa"ni nguruwe tu ambaye hufanya ushoga, madume nawili ya nguruwe yakikaa pamoja ni lazima yafanye ushoga.

Watu wanaokula sana kitimoto na wao wanayo nafasi kubwa ya kuambukizwa tabia ya Ushoga kwani kitimoto anachokula huambukiza tabia za ushoga kwa huyo mtumiaji kutokana na "Epigenics", wataalamu wa Lishe na chakula wanasema; "you are what you eat", yaani mwili wako upo hivy kutokana na vyakula unavyokula, mfano hai rahisi ni huu; ukienda porini na ukaona madume ya Simba yanafanya Ushoga basi peleleza mahali hapo na bila shaka utakuta maeneo hayo waliopo hao simba kuna nguruwe pori wengi na hao ndio chakula kikuu cha hao simba. Chunguza pia jamii ya watu wanaoshabikia ushoga utakuta ni walaji wakubwa wa kitimoto na watakuwa walianza kula toka wangali watoto hao wote Epigenetics imewaathiri kwa kula kitimoto.

Katika wanyama ambaye inadhaniwa yupo karibu sana na Mwanadamu katika mifumo ya chakula na viungo ni nguruwe, na ndio maana watafiti wa tiba za binadamu wanafanya tafiti kuona ni jinsi gani viungo vya nguruwe kama macho, ini, mafigo, kongosho, moyo nk, vinaweza vipi kutumika kupandikizwa kwa mwanadamu, kifupi ni kwamba nyama ya kitimoto ipo karibu sana na nyama ya binadamu na mlaji wa kitimoto yupo karibu sana na mlaji wa nyama ya binadamu, na ndiyo maana mlaji wa kitimoto ukimwambie aache kula hapo umechokoza vita jinsi inavyosemwa kwamba mlaji wa nyama ya binadamu ukimwambia aache kula inavyokuwa ni vita.

Katika wanyama ambao mmeng'enyo wao wa chakula ni hafifu sana ni pamoja na nguruwe, mmeng'enyo unapokuwa hafifu unasababisha kutengenezwa kwa sumu (toxins) tumboni mwake, inapoondolewa na mfumo wa umengenyaji hiyo sumu huenda kuhifadhiwa katika mafuta mwilini mwake hivyo utaona mafuta ya nguruwe ndiyo yamebeba sumu nyingi zinazoathiri watumiaji na kuwasababishia "Epigenetics".

Mafuta ya nguruwe kwakuwa ni aina fulani ya sumu ndiyo maana nguruwe akigongwa na nyoka kamwe haathiriki kwani sumu ya nyoka huwa "neutralised", kupitia principle ya like dissolves like.

Kuhusu madhara ya pombe, hiyo mada inajukikana sana na hakuna haja ya kuijadili hapa.
Acha uongo ushoga siyo genetic, mm kijijini kwetu kila nyumba wanafuga nguruwe sijawahi/ona shoga kijijini, wadanganye hao hao
 
Acha uongo ushoga siyo genetic, mm kijijini kwetu kila nyumba wanafuga nguruwe sijawahi/ona shoga kijijini, wadanganye hao hao


Wewe, mimi siongelei kufuga kitimoto, mimi naongelea kula kitimoto, au hujui tofauti ya kufuga na kula???--- kweli wewe ni mtu wa kijijini.
 
Wewe, mimi siongelei kufuga kitimoto, mimi naongelea kula kitimoto, au hujui tofauti ya kufuga na kula???--- kweli wewe ni mtu wa kijijini.
Sasa wewe kwa fikra zako wanaofuga hawali njoo songea-mbinga-mbababay-liuli uone kila nyumba wanafuga na kula, hakuna shoga wala choko, wewe ni mlongo
 
Kitimoto kinasababisha ushoga.

Ile minyoo itakuwa inakuwasha huko kwa anus.
Uta tumia vidole kujikuna na kuona haitoshi, utatumia vitu vingine.


mwisho wa siku tunakukosa.
 
Sasa wewe kwa fikra zako wanaofuga hawali njoo songea-mbinga-mbababay-liuli uone kila nyumba wanafuga na kula, hakuna shoga wala choko, wewe ni mlongo


Wewe unashangaza sana kwa kutojua mila na tamaduni mbalimbali, katika mila na tamaduni za Afrika na Asia mtu kuwa shoga ni aibu kubwa na sio rahisi kumjua shoga katika jamii hizo kama asipojitangaza au asipogundukika hii ni tofauti na jamii za magharibi (Wazungu) wao kujitangaza shoga wanaona ni uhuru na haki na fahari ya mtu mwenyewe mbaya zaidi katika nchi hizo kuna sheria za kutambua ushoga na haki zao zimewekwa na kulindwa.

Huku kwetu Afrika ushoga ni jambo la siri kubwa kuanzia katika familia na ni aibu kubwa kama mtu atajulikana ni shoga matokeo yake atatengwa na jamii nzima na hata akitembea mitaani atanyooshewa vidole kila aendako, hivyo huko Mbinga, mbambabay nk, watakuwepo mashoga wa siri.

Huwezi kula kitimoto sana usipate "Epigenetics" isipokuwa tu kiwango cha Epigenetics ni tofauti kati ya mtu na mtu kama jinsi kiwango cha "gout" ni tofauti kati ya mtu na mtu kwa wanaokula sana nyama ya mbuzi.
 
Hamna noma we jamaa.
Maana nimeandika nimefuta,nimeandika nimefuta.....nimeandika nimefuta!!!
Nimeshindwa kuchagua maana wote hawa in wapendwa.
Say no to apartheid when it comes to Mkuu wa meza na pacha wake beer!
 
Hivi ukiambiwa uchague Bia na Kitimoto utachagua kipi?

Usije kusema vinaendana pamoja [emoji847][emoji847]akili za Naantombe Mushi [emoji847][emoji847][emoji847]
Ngoja nisubiri subiri uzi ufike mbali nitatoa neno baadae kidogo.
Hivi wewe uliwahi kunywa caste lite ya baridi kiasi ukiwa umesimama wewe !alafu uipige mkulu mkulu bila kutoa chupa mdomoni alafu ukija kuitoa unaambatana mcheuo mreeefuu
 
Kuna jamaa pale mbagala sabasaba anaitwa Dewis yule fundi balaa! anakutengenezea kitimoto na kachumbali na pili vyote vimekatwa kiustadi kama vimekatwa na mashine. Kisha mhudumu anakuletea bia baridi inatoa machozi na jasho, acha kabisa!
Nitamtafuta nikija mjini 😆 ni sabasaba ile kwa mpili au maonesho?
 
Back
Top Bottom