Biashara 3 za kufanya ktk kipindi hiki kigumu


4. ni kuanzisha huduma ya kutoa elimu ya aina yoyote katika ngazi yoyote labda isipokuwa chekechea na elimu ya msingi au mpaka sekondari ya awali.
 
Mfano mkuu gari za mzingo, (scania) kusafirisha mzingo kutoa nje ya Tanzania na mikoani mfano kubeba cement, mbao na tank za mafuta?

Biashara nyingine ni kilimo
ajabu tunafanya biashara na congo,burundi, na zambia ....
 
[emoji4] [emoji4]
Anzisha kiwanda

Rubiikimimi[emoji85]
 
[emoji126] [emoji593]

Rubiikimimi[emoji85]
 
Mfano mkuu gari za mzingo, (scania) kusafirisha mzingo kutoa nje ya Tanzania na mikoani mfano kubeba cement, mbao na tank za mafuta?

Biashara nyingine ni kilimo
Ishu inakuja mtaji wa kununua scania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]milioni 500 my foot

commred Chichimizi
 
Usitutishe mjomba mi naweka pesa yangu kwenye mafuta lazima nitoboe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zote nzuri ila umesahau moja. Ukiona kitu watu wanalalamika sana kigeuze kuwa fursa kwako. Utawala huu kila mtu analia hana kitu ukianzisha kajitaasisi kako uwakopeshe watumishi wa umma wanaokopesheka hakika utapiga hatua sana hadi Uncle atoke ikulu utakua mbali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…