Biashara 3 za kufanya ktk kipindi hiki kigumu

Ushauri kuntu! [emoji106] [emoji106]
 
Biashara 2 za kufanya katika kipindi hiki no:-
1,biashara ya mazao ,I.e mahnd,maharage,Katanga,mchele etc
2,biashara ya mobile money I.e Mpesa,Tgo Pesa,Crdb fahar huduma,Nmb,selcom etc
 
Acha masihara kusema kipindi cha miaka hii yote ya Ngosha ni kipindi cha mpito, wengine baada ya miaka hii tutakuwa na umuri wa uzee tena.
 
Hata biashara ya kuuza mademu pia inalipa tu maana watu hawaangalii mdororo wa uchumi kama network itahamia kwenye dushe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…