Jamaa hajui chochote huyo,wahitimu wengi wapo mtaani,mtu kasoma ualimu,ana maarifa ya kufundishia,hana mtaji hata wa kupanga chumba cha kufundishia watoto,au kuchapisha matangazo ya tuisheni yake,unamwambia atumie maarifa,maarifa gani?Kuwekeza kichwani bila mchongo au mtaji ni uongo aisee....
Wewe mwenyewe unatangaza biashara ya semina na isiyo na faida
Motivesheni spika😂heading na yaliyomo haviendani
Unadhani Serikali haijui kuwa tukitaka kufaidika na hizo resources tuna hitaji watu wetu ndio wafanye extraction??.That means tunahitaji technology + Capital,ambapo hivi vyote vinaweza kupatikana Serikali ikiamua kama technology tunaweza Ku import na kama Capital Serikali inaweza Ku finance but unadhani kwa nini haifanyi???????Hata nchi tunajidanganya tuna madini, gas na Maliasili lakini hatuendelei na kufaidika navyo Kwa sababu hatujawekeza kichwani. Hiyo ndio rasirimali muhimu sana kuliko madini na vitu vingine.
Wananchi wakiwa vizuri kichwani, mengine yote hayashindikani.
Mimi najua ila wewe ume boost zaidi kichwaWachache wanajua
Jamaa hajui chochote huyo,wahitimu wengi wapo mtaani,mtu kasoma ualimu,ana maarifa ya kufundishia,hana mtaji hata wa kupanga chumba cha kufundishia watoto,au kuchapisha matangazo ya tuisheni yake,unamwambia atumie maarifa,maarifa gani?
Mtaji ni muhimu sana.
Formal education gives me a living but self education itakupa fortuneMaarifa ya shule tu hayatoshi
Mimi naongelea informal education
I target audience or crowd ingekuwa purposely kwako ningekutumia inbox. Puuzia sio lazima. Mana nothing gonna changes whether you read or not. Yaani mie nimekuambia Niko shuleni kwa akili zetu zinavyofanya Kazi na Ni kwa Nini over.Unazani maandishi mengi kama haya nitasoma?
[emoji23][emoji23]Utakuwa umeweka bango lako stendi la kufundisha maarifa ya biashara limebuma unakuja huku kuwatia watu ndimu ili uokoe jahazi.
Action imekufikisha wapi.
“Speed is useless if you dont know direction”
Kinachoniumiza ni kuwa kwa vyovyote vile ukiwa masikini utaendelea kuwa masikini tu kwasababu kelele ni nyingi masikioni mwa masikini .
Mara panda miti itakutoa , walipojaribu maliasili wakasema tutaona [emoji3]
Mara nenda kachimbe madini huko wakaishia kuliwa hela kwa waganga na kuangukiwa na kifusi [emoji3] wakapungua idadi.
Mara chipsi zinalipa tafuta kijiwe huko wakaishia kufukuzwa na mgambo wa jiji ati sio eneo maalumu la biashara [emoji3]
Mwingine akamwambia kuwa bodaboda maana utapata hela zaidi ya maticha wote nchini [emoji3] huko masikini wa watu wakaishia kupata ajali na kuvunjika miguu wako nyumbani wanawategemea masikini wenzao
Cc mpwayungu village
ROBERT HERIEL akawaambia masikini jutahidi kuwa bahili ili uwe tajiri masikini wa watu wakafa na utapiamlo na kwashakoo wao na watoto wao.
Wakaambiwa nenda kalime maana mali utaipata shambani [emoji3] huko Mungu akawaambia sijawaita huku nyie akagoma kuwapa mvua .
Basi wanaharakati wakasema maendeleo ya mtu yataletwa na serikali yao ndiyo kwanza madaktari wa heshima za tozo , umeme na rushwa wakaongezeka nchini .
Mwisho ewe masikini popote ulipo unasoma hiki kipande wasikudanganye chochote hawa walioshiba nenda kafanye chochote ukipata mkate kwaajili ya familia ikutoshe kusema wewe ni tajiri maana hapa kwenye hii dunia tunapita masikini wewe .
Acha kuwaza makuu wakati vizazi vyako havikuwa nayo pambana upate chakula cha kutosha hayo mengine ni anasa bwana masikini[emoji3]
Ukiendelea kuwasikiliza hawa utakufa kwa mawazo rafiki yangu masikini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcourse yes [emoji120]Usiwakatishe watu tamaa mtu kama mzima ana afya
“Ukizaliwa maskini sio kosa lako,ila ukifa Maskini ni kosa lako”
Biashara ambayo haitokaa ikupe hasara ni kutujihusisha na biashara kabisa .Kama kweli unataka kufanikiwa anza kwa kuwekeza kwenye maarifa.
Watanzania wengi akipata hela anawaza kufungua biashara. utasikia nina mil 100, mil 5 au nina 500k nifanye baishara gani?
“Biggest investment you make is to invest in your head”
Hakuna biashara mbaya au nzuri ishu ni kuwa na taarifa sahihi na maarifa sahihi na hayo utayapata kwa kujifunza kupitia vitabu, blogs, social media na youtube au kulipia seminars.
Mimi my current business idea niliipata Kenya nilipoenda kujifunza na nilitumia 500k yangu niliyokuwa nayo kwenda Nairobi kujifunza .
This year alone i have made $50k
Never ask again “nina kiasi xxx niwekeze kwenye biashara gani?”
Hudhuria semina,soma vitabu,soma blogs,social media lakini pia safiri kajifunze nchi zilizoendelea
Hakuna mtu aliepata hasara baada ya kupata maarifa.
#billgatesUsiwakatishe watu tamaa mtu kama mzima ana afya
“Ukizaliwa maskini sio kosa lako,ila ukifa Maskini ni kosa lako”