Hii yangu ni kiduka cha nafaka tu, yaan nauza mchele,sukari, ngano, sembe, dona na soda.Mkuu na Mi nipo kwny mchakato Wa kufungua mgahawa kuna vitu muhimu nahitaji kujua VP nije pm?
4mWe una mtaji kiasi gn?
Me naitaka hiyo piaHiyo biashara inayokuingizia 30-40 kwa siku ni ipi hyo?? Share nasisi tujue
Hiyo pesa usije ukaichezea huko unakosema kwenye forex au btc, sikushauri. Biashara za kufanya ziko nyingi. Kama una muda hebu chukua milioni 2 tu, nenda kabebe viazi Njombe peleka hapo Masasi tu wala usihangaike kwenda Mtwara wala Lindi, shusha mzigo wako hapo ndani ya siku mbili umemaliza, na kama ni mjanja utakuwa umeshatengeneza network tayari. Na kama una mtu wa kukusaidia unamwacha Njombe wewe unakaa Masasi mnacheza huo mchezo, ni mchezo huku ukiangalia na mahitaji ya mazao mengine kama Maharage. Ni mchezo mzuri, ila uwe na muda tu.Wakuu mimi nimjasilimali mdogo tu,ambae kwa siku naweza tengeneza faida yakuanzia elfu 30 or elfu 40.Sasa kwa sasa natafuta biashara ambayo inaweza tengeneza faida yakuanzia laki tatu kwa siku.Navimiradi viwili ambavyo vinaniingizia hiyo pesa.
Mtaji uliopo ni kati ya (9/12 Million).Hii biashara nahitaji niisimamie mie mwenyewe.
Nimejitahidi kusoma forex,BTC lakini naona kichwa changu nikigumu kuelewa .
Napokea ushauri wowote ila isipokuwa wakuwekeza kwenye kilimo.Napia wakufanya biashara yakushirikiana na mtu(kugawana share).
Karibuni kwa mawazo.
Mkuu nimependa ulivyoumaliza mzozoPoa njoo nikuuzie kiwanja changu, tangazo lipo humu
Tatizo hujatililika kama wenzako ili kumshawishi kama itamlipa au vip?kuna order kila mwezi trip 2 nje kutengeneza milioni 15 kwa mtaji huo.mwenye order milioni 5,wewe milioni 5,na mm milioni 5 tugawane kila mwezi.ukiona inalipa na una 12 million cash nitafute tupige kazi.0625648094
Tapeli wewe siyo burenimekuambia nitafute,hutaki acha.
Hiyo 50000 bila shaka ni mauzo! Hapo faida (baada ya kuondoa gharama) ni sh ngapi? Kumbuka chakula chako, na gharama ya muuzaji hata kama ni mwenyewe ni sehemu ya gharama!Tatizo huwa tunawazia mabiashara makuubwa ambayo faida zake ni Tsh.100-300, anza kuuza miwa kwa kununua na kupaki kwenye vifuko, mfn. Kwa siku huwa target yangu kuuza vifuko 100-150 kwa Tsh 500 kwa siku. Nina uhakika wa kuondoka na Tsh. 50000 per day kila cku. But lazima uwe Town kwenye miji mikubwa
2 millions tu unaweza kuanza kununua DHAHABU!Hata mm na uzoefu huo ila kwa kiasi hicho bado hajanunua mzani, jiko la kuyeyushia, leseni, akarabati nyumba ya kununulia nk aajiri vijana
Hahaha kaka ukianza kuwaza vifungu vya sheria nchi hii utoboi mkuuKasome kifungu kifungu cha VI cha hiyo sheria 1-4 wameandika na adhabu zake kwanza huruhusiwi kujishughulisha na shughuli za madini kama huna leseni ukikamatwa madini yanachukuliwa na unashtakiwa we jipe moyo na ujuha wako huo
How is he going to get experience without practice it?Usimdanganye mwenzio wew,...akapoteza hela yake,we unaonekana biashara ya madin huijui na unaiskia tuu kwa stor za watu...mi nmefanya hii baishara kwa mda mref,kama mtu ni mpya kabsa kwenye biashara hii,had uje ukae sawa huo mtaj wa mil5-10 ushapotea,hii biashara inahtaj experienc ya hal ya juu,ni wazoef tuu ndio wanatoboa hii kitu,sasa mwenzio hajui chochote kuhusu hii kitu af aweke pesa hapo,mshaur kitu kingne ila sio madin,had apate experience ndo afanye