Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

Katka wote waliochangia naona wewe ndo umekuwa mkweli.
 
We Jamaa iko siku nitakutafuta, nakumbuka kuna sehemu ulinishauri ninunue yale madude ya kusaga mawe huko mgodi. Bado nakumbuka, mambo yakikaa sawa nitakuchek.
Kaka umeniongopea kuhusu biashara ya kiwanja
 
Katka wote waliochangia naona wewe ndo umekuwa mkweli.
Hawa wengne si wanaongelea biashara kwa kuzijua kwenye vitabu na mitandaon,sis tunazifanya hiz biashara,..na biashara yoyote kama ndo unaanza nayo huijui vzur ,haishauriw kuanza na mtaji mkubwa hata sku1,unapoanza na mtaj mdogo unajiweka kwenye position ya kutotapelika,kutofuja ,na kua makin sana coz ts the only capital u have..ila ukianza na limtaj likuubwa,utaanza spend hyo pesa kwa matumiz yasiyo lazma
 
Wa kuu nampango wa kufungua biashara ya viatu vya mitumba lakini nivifuate Uganda , msaada tafadhali huko vinapatikana mitaa gani. Na bei ipo poje nawasilisha kwenu kwa msaada.
 
Na saluni mbili za kiume,na kijiduka cha mtaani fedha nayopata nizaidi ya hiyo 30/40 sema nimeweka hiyo kama kiasi cha chini kabisa.
Sawa kiongozi. Hongera sana kwa hatua nzuri uliyofikia.

Kwa mtazamo wangu ili kuongeza kipato ungefanya hiyo biashara inayokupatia Tsh 30,000/= + kwa siku kwenye location nyingine mbili tofauti ambazo zina population kubwa. Hii ni nzuri kwako sababu tayari unajua ABC za hiyo biashara yako.

Pili, unaweza fanya biashara ya mazao. Watu wanaweza waahirishe kuvaa, waahirishe kupendeza, waahirishe kufanya starehe lakini hawawezi kuahirisha kula. Biashara ya mazao ni biashara ya uhakika.
 
Sawa kiongozi shukrani saana,hio paragraph yamwisho nimeichukua kama ilivo.
 
Wizi mtupu
Hakuna wizi hukupata mentor mzuri au hukupata elimu tu nakukuhakukishia hi I biashara inalipa zaidi ya biashara yoyote duniani ila elimu ndio msingi wa hii biashara
 
Good idea
 
Hakuna wizi hukupata mentor mzuri au hukupata elimu tu nakukuhakukishia hi I biashara inalipa zaidi ya biashara yoyote duniani ila elimu ndio msingi wa hii biashara
Faidika peke yako, aacha sie twende na mfumo tuliozoea
 
Wa kuu nampango wa kufungua biashara ya viatu vya mitumba lakini nivifuate Uganda , msaada tafadhali huko vinapatikana mitaa gani. Na bei ipo poje nawasilisha kwenu kwa msaada.
Panda basi shuka kampala... Hapo hapo kampala kuna soko kuu la mtumba lina itwa owino.. Lipo jirani tu na kituo kikuu cha mabasi.. Ukimaliza hapo panda basi la kwenda mukono, luzira au bweyogerere shuka kituo kimoja kinaitwa Nakawa hapo hapo Nakawa pia kuna soko kuu linaitwa hivyo hivyo Nakawa ukishuka tu stendi unaliona soko..kwakuwa wewe n mgeni nimekushauri upande basi ila kama mwenyeji kama kina sisi tulikuwa tuna tembea kwa mguu tu kutoka hapo kampala cty center hadi hapo
 
Angalia duka la vifaa vya boda boda sina uzoefu ila naona kama ni emerging market sema linahitaji upate sehem iliyochangamka. Fungua cafe uza chakula kizuri na kisafi ukipata site nzur pia itakulia
Nc idea mkuu Duka dawa mifugo au dawa za binadam kitu inalipa pia spea za magar pikipik nakubali chakula cna hakika xn
 
dhahabu, njoo tupige kazi, 0716411720
Lazima ajipange hyo kama haelew utapigwa hapo mpaka bas hyo biashara nzuri kama utaingia mwenyewe front line kwenye machimbo yote kuanzia Karole,nyangarata, tarime kule singida,tabora na machimbo mengne vingnevyo jiandae[emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26] [emoji26]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…