Biashara gani halali inaweza tengeneza faida ya kuanzia laki tatu kwa Siku?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti mtu maarufu
 
golden pride huyu mkuu sidhani kama anania mbaya kikubwa yy kaelezea namna Ishu ilivyo. Mkuu mm nitakuchek
 
hawa wasomi wetu wa EXPANSION JOINT mitaji hawana wanataka kukutapeli waogope! endelea na biashara yako mkuu ya zamani
Mkuu nauza kiwanja niongezee mtaji, njoo unisapoti, tangazo lipo humu. Na pia napangisha nyumba yangu, tangazo pia lipo humu
 
Nije tufanye hiyo kaz sawa
mshauri hapa jukwaani na akiona kama ushauri wako ni sawa na kuna wazoefu wengi watakuwa wamesoma ushauri wako yeye mwenyewe atatumia busara yake kukutafuta ila kumgombania huyo jamaa kila mtu anamwambia njoo tupige kazi na hujasema je utalipwa, na kama utalipwa itakuwa shs ngapi, kazi mtakayochapa naye ni ipina kwa hiyo hela mtaanzaje na atapata faida gani.weka vitu wazi kama una nia njema mkuu!
 
kama una experience mbona sasa bado hujatoka.usimdanganye mwenzako,sisi tupo machimboni huku tunaijua vizuri hii biashara
Hahaha wewe kukaa nyuma ya keyboard na kusoma post yangu moja mdo umeshafahamu kama nimetoka au la? Hahaha silence is the best answer to a fool
 
hacha ujuaji mkuu et nimepita migodi yote? una fahamu idadi ya migodi iliyopo tz?
 
Hahaha wewe kukaa nyuma ya keyboard na kusoma post yangu moja mdo umeshafahamu kama nimetoka au la? Hahaha silence is the best answer to a fool
unfortunately you are not silent! I think you are a wise enough to know that!
 
hacha ujuaji mkuu et nimepita migodi yote? una fahamu idadi ya migodi iliyopo tz?
Mi nimjuaj ndio,we nauhakika huna hata biashara 1,na wala madin hujawai fanya,ni mtu wa bla bla tuu,..kwa mfanyabiashara anaejua anafanya nin,ushaur wangu atachkua,ila,kwa mtu kama wew wa mitandaon kila siku kushaur watu akat field hujawai fika wala kuthubutu kwenye chochote zaid ya kuthubutu kuoa au kupata dem,lazma usinielewe tu
 
Mkuu hii biashara unaifanyia wapi!?Nna interest nayo kupita kiasi Cha kawaida.
 
nasimama pale pale... nina paamini daima na huwa siyumbishwagi na kejeri au dharau.... siku zote... kwakuwa nami nafahamu ninachokifanya...

NB:
hauifahamu na haujawahi fika migodi yote iliyopo tz zaidi ya kuisikia.... OVA....
 
We ni mfano hai wa Analysis paralysis.
 
nasimama pale pale... nina paamini daima na huwa siyumbishwagi na kejeri au dharau.... siku zote... kwakuwa nami nafahamu ninachokifanya...

NB:
hauifahamu na haujawahi fika migodi yote iliyopo tz zaidi ya kuisikia.... OVA....
Bas sawa.
 
FUGA NGURUWE ARUSHA.SOKO NI KUBWA KULIKO NGURUWE WENYEWE.NGURUWE MDOGO WA MWEZI NI 50,000 WA MIEZI MITATU KUANZIA 250,000 MPAKA 300,000 WA MIEZI SITA NI KUANZIA LAKI NNE MPAKA 500,000. WANUNUZI WANAKUJA WENYEWE NA UKIWA NA NGURUWE WAKUBWA HATA WAKIWA 100 WANACHUKULIWA WOTE.SASA NGURUWE WANAENDA KUNUNULIWA SINGIDA,TABORA ,IRINGA NK.TENGA HIYO HELA YA CHAKULA, NGURUWE NA UWAWEKE WAWE WANAZAA KWA AWAMU


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…